Тёмный

TAZAMA RAIS WA YANGA ATOA TAMKO HILI/NIPO TAYARI KUONDOKA YANGA/MZEE MAGOMA ANATUMIKA NA MAADUI ZETU 

Scope Media
Подписаться 57 тыс.
Просмотров 16 тыс.
0% 0

#alikamwe #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yanga #yangasc #azizki #yangaleo #yangatv

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 12   
@josephgalandu128
@josephgalandu128 Месяц назад
Uchawi mbaya sanaaaaa ,mchawi hana jema maana boss wake (shetani)Sio mwema😂😂😂😂
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 Месяц назад
Hahahaaa nchi ina mambo hiiiiiii😂😂😂
@Henrickie-boe
@Henrickie-boe Месяц назад
Scope acha kuandika vitu ambavyo havipo tunapenda taarifa unazozitoa ila sasa uwandishi wako ndio unachangamotoo na picha unazoziweka
@MariaGarende
@MariaGarende Месяц назад
viongozi kuweni makini sana na uyu mzee maana kuna shabiki kutoka simba alisema laki saba inatosha kuiaribu yanga
@allyjuma7319
@allyjuma7319 Месяц назад
Kwanini mnakubali kusikilizwa na mahakama ya kiserikali? Wakati Mambo haya ya kimichezo yanatakiwa kusikilizwa na mahakama ya zakimichezo?.
@marcobulili4341
@marcobulili4341 Месяц назад
Hao wanamkono wa kolo! Eng anasumbua sana msimbazi, wameamua kununua watu ndani ya yanga kumdhoofisha Rais wetu. Hatukubali! Walisema mzizi wa yanga ni Eng akitoka yanga itakwisha ndo maana wajitshidi kumsogeza buddies jangwani na wameahidi wataroga badala ya kucheza mpira. Walaaniwe hao.
@user-ef2zr4un2u
@user-ef2zr4un2u Месяц назад
Ediga unachambuwa sawa na wenzio hapo klaizi kuhusu michezo lakini mnakosa busala takribani mda mwingi mnakuwa ni watu wakukejeli kejeli na kejeri mara zote kiswahili sahihi ni dharau simamieni imara mnapokuwa kazini kuliko kuwa mda mwingi mnakuwa nimashabiki na kusherehesha mambo badilikeni mambo mengi mnapeleka kishabiki sana na kejeli huo siyo weredi Kwa mwanahabari acheni kejeri
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 Месяц назад
Achana haya Mambo nyie tutakuwa atufungui video zenu
@japharymohamed6297
@japharymohamed6297 Месяц назад
Kichwa cha habari na yaliyomo ni tofauti kabisa.
@SamiraseifAlfan-ph4ke
@SamiraseifAlfan-ph4ke Месяц назад
Ni kweli Hy ni muhuni TU
@kolosii4351
@kolosii4351 Месяц назад
Kama kazi ni batili kwa nini wanaomba ripoti ya mapato na matumizi tu??
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 Месяц назад
Kuku wewe
Далее
AGASEKE K'AMAKURU AGEZWEHO YO MU KARERE 28 08 2024
6:42
Reforged | Update 0.30.0 Trailer | Standoff 2
02:05
Просмотров 152 тыс.