Assalam aleyikum warahmah tullah wabarakatuh, ndugu zangu waislam ninawaombeni nyote mniombee dua, ninamiaka 35 lakini bado sijajaaliwa kupata ndoa, naombeni mnikumbuke kwenye Dua zenu namimi Allah anijaalie mume mwema..shukraan
Maashaallah sheikh wetu Allah akubariki Sana akupe mema Mara dufuu ya Duniani na ya kesho akhera Aamiin sheikh tunakupenda kwaajili ya Allah jazaka Allahu khaira
Shukran shehe othman maalim allah akubarik ila utayafanya yote haya na utafanya ubunifu mwengine lakini mwanaume hajali wala hakusamini baada yamatusi heshima hana jee tutapata wapi pepo na mwenzio kalewa na dunia
Wakati ukifika uliopangiwa na allah mume utampata bila kuamini,utastarehe Sanaa tu,ndoa yoyote ni subrah tu.inshallah endelea kuswali Allah mjuzi utampata aliye wako na mwenye kheri.insahllah
Ya Allah utupe waume wenye na kheri yaraabi na waume uwape wake wa kheri kwa kila muislam Shukran shekhe wetu wallah i drops my tears Mungu atupe subra yarabbi
Ma shaa Allah jazzakallah khayra kwa darsa zuri mi ni mjane pia napenda Sana kuwa ndani ya ndoa ila wachumba wengi ujivika uchamungu mwisho wa siku na gundua sio wakweli japo wanaonekana ni watu wa dini Allah atujaalie tukutane na wenza bora maana ndoa upangwa na Allah tuzidi kuombeana dua
Aslam alaykum waramatullah wabarakatuh shekhe othumani maalim nikweli baadhi ya wanaume wanawadharau sana wanawake nahao wanaume wanaowadharau wanawake inamaanisha hawakumbuki wosiya wa MTUME MUHAMMAD S.A.W rehma na Amanda zimfikiye juu yake na maswahaba zake na aal zake kabla ya kufa kwake juu ya wanawake
MashaAllahu mashaAllahu mashaAllahu.ndiohivyo badhi ya .wanaume au tuseme vijana wasiona hekma na sara wanaita wanawake mademu.hajui akimweta dada au mama wawatu nisawa nakumweta mamayake au dada yake demu.innalillahi wainnaileyhi rajaouni
Mama zenu ni wanawake hamjajizaa wenyewe hao wanaume ni majahil mmekaa miezi 9 na zaidi katika tumbo la mama zenu na mkala chakula anachokula ma mama zenu mkizaliwa chakula chenu kinatoka katika kifuwa cha mama zenu na ni mama ndie waalimu zenu na maisha yenu nyie wanaume mnokibri na batra na jeuri Allah hayuko radhi na wanaume kama hao majahil wakubwa hao. Staghferuni mina Llah enyi wanaume majahil. Pia kuolewa ni majaaliwa ya Allah sio kuwa mwanamke alokuwa hakuolewa ndio hana thamani na alieschwa ndie sio mwanamke hana thamani tena mwanamke thamani yake ni kubwa kwa Allah sio kuwa kwa mwanamme kuolewa na mwanamme.
Wallah katka ulamaa tulio nao Sasa hivi duniani mmoja wao ni sheikh othman maalim,Allah akujaze kheir na akuzidishie Imani na istiqama thabit na atupe hidaya katka dini yetu na atujaalie mwisho mwema inshaallah