Hawa wazungu wanajifurahisha tuu na maneno Yao Hawana kitu kipya mbele ya baba mtakitifu wa vita mwamba vladil putin 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺Russia for life❤
Mh. Rais Putin kwa muda mrefu amekua akiwaonya NATO juu ya kuchochea vita Ukraine Lakini haya maonyo yamekua yakipuuzwa mara nyingi sana na Magharibi....Matamshi Rais wa ufaransa yasipofikiriwa mara mbili na kuzuiwa basi Wataingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kibinadamu ambao hautasahaulikaa
@@hamidamussa-sy4fm shida ufaransa ilivyo ndogo nyuklia 3 tu nchi Zima hawataelewana tofaut na urusi yeye anaaridh kubwa mpaka kuwavuruga nchi nzima inatakiwa utumie mabomu mengi na mda ambapo katika huo mda lazma na yy atakujibu tu
@@hamidamussa-sy4fmtatizo urusi hana cha kupoteza watakaopoteza ni marekani na washirika wake yaani sio urusi sio marekani sio Nato watakufa wote maana urusi ana makombora ya kisasa sio kama yale ya marekani yaani kwake yamesukwa yakasukika moja tuu linasambaratisha ulaya yote ya marekani ni ya zamani hayana uharibifu kama ya mrusi.
Anajivunia nyuklia zake kwasababu anajua zina uwezo gani kwenye vita za Nato ni cha mtoto za kwake ni nzito ikipigwa moja hapa Africa mnakuwa majivu afrika nzima.
Mkuu.Putin.Hao sio wanaume kamili,so wala wasikusumbue.Coz hamna nguvu kamili,maana mwanaume akipoteza hali ya kuwa kamili huyo wala hamna kitu.Piga kazi kiongozi sahihi kwa wanadamu
Nanukuu maneno ya mtu asiependa vita.. Yapaswa wayafikirie maneno wanayo ongea kwan wao wananchi ndogo japokuwa inawatu wengi.. Amemaliza sasa ikiwa ufaransa haitafikiria anachokisema atajisonya naapa kuwa atajisonya
Kwa mawazo yangu naamini zelensky hatumii akili kabisa ameamua kuwatoa wananchi wake kafara kisa marekani me naona wengi watakao PATA madhara ni raia WA Ukraine
Uyo ni mkwala atapigwa na inci yake kubwa. Ukraine lazima asaidiwe coz anapigwa ndani kwake na miaka inazidi kwenda anapiga ncii jirani ilo nikosa kubwa sana lazima mataifa ya simame
Siku ulaya(Nato) ikiingia vitani na urusi, basi china ndo itakua economic superpower duniani.Uwingi wa NATO kumshinda urusi upo ila changamoto ni china ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi na taifa la pili kiuchumi duniani.
Mm naona Ni vita ya 3 kwani inchi za magaribi zimesha weka ramani zuri pakuazia nahapo unamuona Putin ana haha kila neno kwake Ni nyukiria acha tuone nani ataoba poa sio kwa mambilion ya mangaribi ya hera kwa Ukraine
Yanikumbusha unabii wa Prophet David Owuor kuhusu hii vita... Alisema kuwa Urusi itamlipua ufaransa Kisha uingereza halafu marekani Kisha na hizo nchi ndogondogo kama vile Norway... Unabii wa vita vya Nuclear vya Tatu unakaribia
Sikuelewagi Ally,,vielelezo vya picha tunavionaga kwa Netanyau,,acha kutudanganya, ,uingerereza ,ufaransa, ujerumani sio ndogo,,,, alimaanisha baltik countries, mkuuu unatowaga wapi days zako au kingereza kigumu mkuu
Najua kingereza kuliko unakivyojua.putin hajataja nchi nimesema kaongea kwa mafumbo we umejuaje kama ni baltics isitoshe poland nmeitaja hapo.usitangulize chuki mbele sikiliza kwa makini utaelewa.sns ni taasisi ambayo taarifa yoyote inahaririwa na kuhakikiwa usahihi wake kabla ya kuwekwa hewani na wahariri kazi yangu ni kutafuta habari na kuriport kwa urahisi zaidi kwa watu.kushindwa kuielewa habari sababu ya chuki hyo sio shida yangu.
Kikubwa Heshima ukiristo wa kwake mwenyewe kila mtu atabeba mzigo wak wakati wa Mtume sw kulikua na makabila hayakua waislam na walishirikiana ktk mambo muhimu na ya Amani wakiristo ndio huleta chuki ktk uislam
Wajina (Ally) acha nikujibu kana jinsi nilivyo kua namjibu djsmaa: for so long since hii vita ianze Germany 🇩🇪 ilivyo kataa kutoa silaha, imeenda m'vutano ukawa mkubwa ya kua haitoii ushirikiano katika vita hii but today wanairuhusu Ukraine 🇺🇦 ishambulie, Bro ninyi wawili kwenye uchambuzi wenu lazima mjifikirie, kwa nini hivi?? Huko nyuma Russia 🇷🇺 iliwahi kuonyesha ya kua inauwezo wakurusha mibomu yake hadi Paris miaka mingi kidogo so leo anajitoa na hali ya kua anajua treat zipo pale pale?? Hii vita hamna taaluma ya kuichambua. Jueni wamejiona wapo tayari ndipo wametoa ruhsa hio. Nipo huku ukweli naujua.
Wwe unaongela mazingira yako, unafikiri Putin yupo peke yake, Hilo ni kosa kubwa la kiufundi Kwa magharibi aamini. Kuwa huko ni sawa na kusema near the church far from God, pia hao nduguzo ni watu wa propaganda believe it or not ulaya itaumia zaidi kuna silaha gani mpya haijaenda Ukraine? That's y America hatoi jibu la wazi anafahamu ni janga la Dunia litakuwa.
Ila Ally bado yupo shallow sana wazee,,,hatadhmini chakuongea,,kwamfano Putin reality alimaanisha nchi ndogo ndogo za ulaya zenye demographic kubwa,nikimaanisha population,,sasa UK, GERMANY, FRANCE, hizi sio ndogo bingwa,, alimaanisha baltik Amazon zimekuwa namidomo alafu population nikubwa,then akipiga bas ataleta madhara makubwa,,sasa nishakwambia Ally hio GPS hatuskizi maana your not digging enough,,,huku sisi twawaskiza retired general kama wakina Scott Ritter,ambao walishakuwa masenior in the US military na bado hawaegemei upande wowote,,,unavyodanganya watanzania hapo kwa uchambuzi wako mbovu tunakushangaa Sana
Unadhani tangu kipindikile mpaka leo Putin hajadevelop military weapons zake,au ulichokijua ww yeye hajagundua na intelligence yake,au unamuona boya,wenyewe wanamfaham,jua kuwa kitawaka kisawasawa na shughuli zote duniani zitasimama kwa miaka na mikaka,tusiombee itokee
Kuwa ujerumani au urusi sio kujua kinachiendelea hiyo futa kwanza.then tuendelee na hoja. 1. Vita hii ni verry complex kutegemea we unaamua kuichambua kwa engo gani.silaha zinazoongelewa hapa ni zile zenye uwezo wa kupiga mbali zaidi ndani ya urusi(range to 300Km) kama vile storm shadow,atacams,excalibur istoshe huyo ujerumani unaemsema ww hata bado hajazitoa Taurus missiles ambazo ndo zaeza piga ndani ya urusi.on top of that wako tayari kvp ilihali ukiongelea uzalishaji wa silaha wa utusi kwa sasa uko juu mno. *nato ina 5% tu ya uwezo wa kujilinda na mashambulizi ya anga yaani airdefence ya makombora ya urusi * hizi details zote ziko verry accurate kingine tu kama ikitokea nuclear war nchi uerope ndyo itakayoanza kupotea mapema sana.kingine mimi na sma kila mmoja ana aproach yake ya uchambuzi so don't compare us bro.
Urusi Ana uchimi wakupigana na nato guys stop this propaganda of yours, look what happened since that war start every goes up fuel and food, we want peace enough is enough.