Maana halisi ya toba ( perent) ni majuto kwa zile dhambi ambazo umezitenda na kuzichukia kabisa na kuazimia kutokuzifanya tena maisha yako yote; Toba ni kitendo cha mtu kugeuka kutoka katika maisha ya kuufuata huu mwili na tamaa zake na kuanza kuish kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu. 2kor 5 : 16 - 17, Warumi 8 : 12 - 14, Galatia 5 : 16 - 23
19 сен 2024