Tunashukuru Kwa utabiri wako mzuri,,, na imani yetu itafika kama ulivyosema ❤❤❤ UBAYA UBWELA Kombe litaenda Mubashara Kwa Msimbazi Mwaka huu,,, Shusha like nyingi hapa jamani nawaaminia wanasimba Wenzangu
Wana Simba SS Mmehamia Kwa Mwamposa Hee Jamani Mbona Mnahangaika Na Dunia Ee Allah Tuepushie Hili Balaa La Kumuamin Binaadam Sheitan Kuasha Kumuamin Allah Subhanna Huwataallah
Acheni uzushi wenu ni wapi Mwamposa ameitabiria simba ubingwa wa kombe la shirikisho?Mwamposa ni watumishi wa Mungu makini sana nataka niwaambie hata siku moja hawezi kutoa kauli hiyo ebu acheni hiyo tabia
Kwani hata shetani alimwambia mungu. Utawatuma hao watakae mwaga damu na kufanya ufisadi ktk ardhii. Utabiri wa shetani umekamilika. Sisi wanaadamu tunauana wenyewe kwa wenyewe. Je shetani nae mungu kwa kuwa alitabiri na yamekuwa😂😂😂😂😂. Nabii sabri duwil
MTUMISHI HUO UTABIRI WAKO ANGALIA YASIJE YAKAKUTA KAMA YALIYOMKUTA KOMANDO MASHIMO KTK UTABIRI WAKE ULIOENDA OP KWENYE GEM YA NGAO YA JAMII YA SIMBA NA YANGA.... MWISHO WA GEM SIMBA KAFA KIMOJA... MPAKA LEO KOMANDO MASHIMO HAJULIKANI KAJIFICHA WAPI.... 😂😂😂
Lengo lilikuwa lipi juu ya hii title Yako?? Ulikuwa unahitaji engagement ya mashabiki wa Simba SC kwasababu ni wengi sana kwenye Social media! Umemkosea Mungu Kwa kusema uongo na umemkosea sana Mtu wa Mungu Kwa kumnukuu yambo ambalo hakulisema. SI SAWA
Muhuni mama wewe mbwa wewe unawaambiaje watumishi maneno hayo kama je angewaambia yanga ungesema maneno kama hayo, baba mwamposa uwasamehe watu yanga maana pale kuna kundi la wasenge pia kuna makafala ya ng'ombe, waache watiane vidole vya mikundu wamechanganyikiwa