Jackson,, Mimi nilikuja Qatar last year mwezi wa tiza mwenye alinileta alinipereka kwa supply company tukaenda medical,,tukatolewa vidole angalau tupate I'd,,bahati mbaya hiyo kampuni haikuwa na job but nikatoka hiyo kampuni nikaenda kampuni ngine,,hakunipea id although nilienda ulikuwa instaka kuchange kampuni haina Visa za Kenya,,nilimrudia anipe I'd anasema nilipe penalty ZA hizo id,,mimi ndio ninafaa nilipe penalty ama ni kampuni yenye ilinileta
Am sorry brother Jackson I think this boy is a Bangladesh and not an Arab ........but ist so painful our sisters now aki wamesahau kilichotutoa nyumbani.......
Wenye wanataka connection ya qatar for women house to house follow me na mjue commission ni lazima but kama unajua utafika uku ukemboi don't try to text me please
Jackson Natamani kuja huko Qatar job yeyote..Niko Lebanon nimechoka nakufungiwa kwa Nyumba.tafadhali nisaidie nipate kazi huko plz Jack...l like ur Chanel
Bro' how did you succeed? Indeed I paid money for my 23 year old nephew in mbsa and passport but we've waited for a year now mpaka nimeshindwa what to do. And now am n 🇸🇦 I don't know how I can sue this lady
Sir Jackson kindly ,would you mind to connect my brother to a genuine agency?? He's a good driver and as well he can work in any post available. Kindly help, thanks in advance.