Iitafutwe, zipo picha nyingi za Baba/Babu yetu. Hizo ni Hela zinatuponza hata kukubali kumsahahau,⁉️kumuuza Mtuwetu muhimu! Mungu iponye TANZANIA Mungu ifungue TANZANIA, Mungu Ibariki TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 7 x 70 Amina.
Samia alikuwepo huko Addis Ababa kwenye uzinduzi hakuona hii kasoro? Kwa nini alikubali udhalilishaji huu wa Baba wa Taifa? IONDOLEWA HARAKA NA KUWEKWA SANAMU NYINGINE YENYE UHALISIA. Na hayo mamilioni ya pesa yaliyotolewa kwa ajili ya sanamu hiyo hao "waliopiga" hizo pesa wachunguzwe na hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao.
Mimi najiuliza hao wote wanaoitetea sanamu hii kuwa ni Mwalimu Nyerere tuna wasi wasi na vitu viwili wanatetea ugali wao au wamepewa bahasa ili kuongea uongo hata aliezaliwa 2000 hakubali kweli tunaongozwa na mazuzu kbs jmn dah
KWA NINI MH. RAIS SAMIA NA KIKWETE NA HATA MADARAKA NYERERE WAMEKUBALI NA KUIBARIKI HIYO SANAMU YA HAYATI MWALIMU NYERERE....AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI YETU YA TANZANIA.
SANAMU HII SIYO BABA WA TAIFA BORA IVUNJWE ITENGENEZWE NYINGINE SISI AMBAO TUNATHAMINI MCHAMGO WAKE na UTAWALA WAKE BORA HATUTAKI FOJALI LINAPOKUJA SUALA LA MUASISI WA TAIFA LETU NI ISHU NYETI & SERIOUS KULIKO HUYO Jk na Samia WASITUFANYE WAJINGA"
Sisi tumekaa na mwl muda wote tunamfahamu hata nikifumba macho Kwa herufi kubwa nakataa hii SI SURA NYERERE WETU. Hii ni serikali imekuweje Kila kitu Kona. Komaeni kutetea hili kama kawaida yenu. Mjadala ndo umeanza. "TUSHIRIKI" kujadili hii aibu.
Maoni yangu kwanza Mambo haya Yanazidi kutupa hasira watz huu Ni ufisadi mkubwa Sana ,sielewi wtz tunachukuliwaje , maoni yangu nikuwa kwanza CAG achunguze sanamu hiyo walio husika kuitengeneza nakwenda kuizindua walitumia kiasi gani Cha fedha,Jambo lapili wahusika nauzinduzii huo pamoja na mtoto wake nyerere Madaraka wahojiwe walikuwa na maana gani kulidhalilisha taifa la Tz kiasi hiki, kwani sanamu hiyo siyo ya ukoo Ni ya Taifa la Tz. Jambo la tatu Kikwete aangalie Sana Nini anachotaka juu ya nchi hii kwani tunashindwa kumuelewa analengo gani na Taifa hili
Hivi huyu Mzee utawala si uliisha? Anahitaji Nini alichokisahau, mtu mzima huhitaji kulaumiwa Kila Wakati, anataka akifa watu wafanye sherehe badala ya kumlilia?
Nakuunga mkono mia kwa mia.Ule ni ufisadi na ukosefu wa maadili.Ile sio sura ya Nyerere.Yaani kwa kweli wametudharau sana sisi watanzania kwa kutuona sisi ni majinga na mambulula.kuweka sanamu kama ile ni kumdhalilisha na kumkosea heshima baba wa Taifa.
Hebu sanamu ya mwl.Nyerere iliopo makao makuu Dodoma ipelekwa Adis Ababa italeta heshima kubwa...na hiyo iliyozinduliwa ibomolewe ksbisaa.Ya Dodoma itengenezwe ingine kwa tenda ya alieitengeneza!
Kweli viongozi wa nchi( CCM) hakikika MATAAHIRA. Mimi niimekuwapo tangu uhuri mpaka anan' ngatuka, hakika ,Si Nyerere niliyemjua. Duh! WANAFANYA UFISANDI HATA KWA BABA WA TAIFA, PUMBAVU KABISA.
Kwanza familia ya nyerere iache kabisa kuhondhi Ubaba wa mwalimu nyerere wachague moja kama ni baba wa taifa la watanzania basi haki zetu nao ziwe sawa. Na kama wanamhodhi wao peke yao basi tukome kumwita baba wa taifa..na madaraka kama angeitwa kwenye mdahalo na kujibu tuhuma asituone sisi ma zombie😢
Shemles s vitu vingine tunatia aibu hii Sanam haifani na mwalimu nyere kupeana kazi kindungu kisa pesa lakini jee aibu kwa sisi wote watanzania kisa wapiga deal kuzunguka serekali nchi yenye wanafunzi wa chuo kikuu wachoraji ktk taaluma zao ndani ya chuo kikuu alafu tunaonyesha nn Dunia aibu tupu hii sio sura ya mwalimu nyere
Toa kichwa.Nyerere JK niwetu wote, unaweza kuwa moto wake, usijue thamani yake, sisi watz tunajua Makongoro thibitisha. Huyo Anayetetea awe pembeni. Toa tengeneza nyingine. Hata loyal Family wameikataa. Na Mimi naikataa.
Itakuwa hao wanakamati waliweka macho yao kwa hiyo Tsh 500m, wakanunua sanamu feki ili wabaki na pesa ya kutosha. Ccm ni jipu lililoiva tayari, limekosa mtumbuaji tu
Hebu acha kuonyesha ujinga wako hadharani. Wenye kujua historia tumeona maisha magumu ya kutisha miaka hiyo. Sukari, sabuni, soda, bia, chakula usafiri ilikuwa jinamizi kipindi kikubwa cha utawala wake. Hatuna tatizo na mchango wake katika kuleta uhuru na kutuunganisha kama taifa lakini maisha yalikuwa magumu sana. Tumevumilia mengi sana kutokana tu na uwezo wake kutushawishi kuwa mbele kulikuwa matumaini. Lakini alivyoiacha ilikuwa juhudi za wenzake kwa kubomoa na kuanza upya.
Ni kujiaibisha sisi wenyewe kama Watanzania, pili tujifunze kusema hapana kama kitu sicho sicho huwezi kumshikia mtu fimbo akubali..... tuoneshe ile ya Mandela pale South Joberg' - Nadhani sio peke yetu ila hata wanayoitetea moyoni wanajua sio .... Madaraka - Tunaomba Picha Moja tu Ya Baba wa Taifa inatofanana na hiyo Sanamu au iliyotumika kuitengeneza
Ndugu Ngurumo, hiyo kamati haitakaa ijitokeze yenyewe, wala haitaomba radhi. Ni ya mafisadi. Wameshapiga, ndo maana wanamtanguliza Madaraka kuhalalisha upigaji huo. Dawa yao ni kuwaumbua.
Wengine tulibahatika kumuona Mwl Nyerere kuanzia tukiwa wadogo miaka ya 70s mpaka alipotuacha 1999.Hiyo siyo sura ya baba yetu wa Taifa.Tafadhari mtusaidie kuiondoa hiyo sanamu na kuileta nyingine walau inayofanana na Mwl Nyerere.
@@MathewNathan-yb2bz ww fanya yako ya muhim wachana nao hao na masanamu Yao.. hivi Unadhani kuna ataewacha kazi zake akarekebishe pua ya sanamu😂?! Hilo ni sanamu broo wala sio kwamba ndo litakua kilema.. nickilize mm hyo sanamu hawataibadilisha kwsabab haina tija yoyote ile kwa tulio hai
Nyerere hakuwa baba yangu wa kunizaa lakin namkumbuka vizuri jinsi alivyo. Nchi hii imezidi kuchekacheka na kuchakachuliwa kweupe mchana. Shame shame shame😢
Mama samia,kikwete,namtoto wamwalim nyerere,kweli hii picha niyamwalim nyerere tumepigwa nakitu kizito,mngewapa wamakonde wachonge kinyago chamwalim,kuliko huu upuuz.
Mchambuzi hiyo sanamu, si ya Mwl. Nyerere, huo ni udhalilishaji wa baba waTaifa letu ambaye pia ni mwasisi wa umoja wa Afrika, hiyo sanamu iondolewe haraka, hiyo ni fedhea tupu.
...ndiyo maana wakati mwingine unaweza kusema this is the land of ninnies and total mediocrity!!...kweli tunafanyiwa kejeli hii halafu unakuta mtu mzima anaitetea eti iko sawa!! Kaka Hansbert umenena vema!!...hii irudishwe kwao!!
Huu ni ukosefu wa adabu kwa baba wa Taifa.Huu ni udhalilishaji kwa baba wa Taifa.Huu ni ukosefu wa maadili.Huu ni ufisadi .yaani upigaji umezidi hadi kwenye sanamu la Nyerere.Bomoeni haraka sana sanamu hilo na waliohusika wawajibishwe.
Sura hiyo haiendani na sura halisi ya mwl Nyerere hata kama ndugu zake wanakiri ni ya baba yao binafsi kama Mtz napinga napinga mwl alikuwa kiongozi wa nchi nzima hivyo tuna kila sababu ya kutoa maoni yetu Nyerere tunamfahamu tusidanganyane mwl lazima apewe heshima yake
The problem is those two et al, wanasafiri sana, probably they were too tired to even look at it. They are more concerned about their bank accounts! DP World oyeeeee!
Haya ni muendelezo wa maudhi kwa watanzania kama watawala wanageuka wapiga deal kila kitu,kila mahali!! Sasa tunaamini kuwa hakika mjenga nchi au mvunja nchi atatokea miongoni mwa wale tuliowaamini na kuwapa dhamana watuongoze!
Hahaha ya mwaka 60 na 80 duh kweli hii nihatareee. Kwanza kwanini serikali inalazimisha hili jambo wakati watanzania hawataki nilikuwa naiman na serikali ya chama Cha mapinduzi ila kwa hili mh hapana.