Тёмный

TUMEFURAHI AZAM NA COAST KUTOLEWA,AOHUA PALE BADO SANA WAPINZANI WATAJUTA .TAMBO ZA SEMAJI 

Kaje Tv
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 45 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@SureJR-yd3zm
@SureJR-yd3zm 2 месяца назад
Hata mm nmeshangilia sana kutolewa Azam ibwe anajitpa sana kutwa kuiongelea simba tu
@AdolophinaShawa-pd8yo
@AdolophinaShawa-pd8yo 2 месяца назад
So kwa tabasamu ilo❤❤
@PiusLaymond
@PiusLaymond 2 месяца назад
Leo umeongea ukweliii❤❤❤❤❤❤
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
KWELI AHMED ALIKERWA NA HAWA JAMAA..❤ Ni bora awasamehe tu❤
@SamwelRashid
@SamwelRashid 2 месяца назад
Azam wamedindikiza safari Tu na costal😮😮😮😮
@sospeterkasawanga3770
@sospeterkasawanga3770 Месяц назад
Wao waendelee kudhamini virabu waone Kama hiyo itawasaidia mechi za kimataifa.
@salustianchoma5011
@salustianchoma5011 2 месяца назад
Hashim ibwe hajielewi anajitapa na kumaliza maneno yote ligi ya mabingwa siyo ndondo cup ajifunze.
@JamilaJuma-kl2em
@JamilaJuma-kl2em 2 месяца назад
Hsaaaahaaaah😂😂😂 Ahmed bhna eti weka RIP au innalillah
@NeemaJuma-t4g
@NeemaJuma-t4g 2 месяца назад
mmmmmmh pole sana 😢😢😢😢😢
@thabitmgeni8775
@thabitmgeni8775 2 месяца назад
ULLO mie nimefurahi sana azama costal wana maneno mengi
@WistoniMtewele
@WistoniMtewele 2 месяца назад
Kiukweli Mimi ni mwanayanga lialia lakini umeongea ukweli kuhusu Azam , na sikubishi kwa shirikisho Azam Bado na club bingwa pia bado
@cesaryaudax6647
@cesaryaudax6647 2 месяца назад
Ni kweli timu bado, ila baadhi ya wachezaji hawako vizuri kutoa pass kama akina Balua wana haribu mipira mingi
@HusseinMohamed-t5o
@HusseinMohamed-t5o 2 месяца назад
Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 2 месяца назад
Mm mwenyewe nimefurahia
@JbabyYonas
@JbabyYonas 2 месяца назад
Kwer shamed wachane
@AlhajiJuma-s8j
@AlhajiJuma-s8j 2 месяца назад
Sasa mbn ateba hachiziiiiii
@simonzelote5998
@simonzelote5998 2 месяца назад
Ila Mimi bado sijaona uwezo wa aohua bado uwezo wake Ni mdogo na Kuna muda timu inashambuliwa badala ya kwenda kuisaidia timu anaenda mbele
@IsmailiMakuya-gy8co
@IsmailiMakuya-gy8co 2 месяца назад
Kweli semaji
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 месяца назад
Ahmed Ally leo kasem kweli pongezi. Azam maneno mengi vitendo zero
@kulwaallen-ev9nz
@kulwaallen-ev9nz 2 месяца назад
Leo umeongea kweli semani ukweli ndiyo unatakiwa
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 2 месяца назад
Kibu na barua waache ubinafsi wa kung'ang'ania kifunga wakitaka sifa,badala yake watoe pass kwa wenzao waliopo nafasi nzuri ya kifunga
@elickmaendeleo1141
@elickmaendeleo1141 2 месяца назад
😢
@sandalakabalo5442
@sandalakabalo5442 2 месяца назад
Simba nguvu1
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 месяца назад
Mm pia nimefurai hizo timu zote kutolewa
@josephvenus3259
@josephvenus3259 2 месяца назад
Semaji la CAF 🎉🎉🎉
@StevenTutuma
@StevenTutuma 2 месяца назад
We acha uongo we comedian
@MstakimShaban
@MstakimShaban 2 месяца назад
Hata mm nimefurahi feitoto kuondolewa
@simonzelote5998
@simonzelote5998 2 месяца назад
Ahamed tafuteni kikosi Cha Kwanza kwa mfano naina camara huseni kijili Abdul razak chameleon kagoma karabaka fenandes mashaka aohua na kibu Kama Wana ubora kidogo kiasi
@Frank_nzenga
@Frank_nzenga 2 месяца назад
Hii ndo tofauti ya semaji na ushabiki ibwe ally kamwe ni mashabiki tu 😅😅😅
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 2 месяца назад
Kocha abadili mfumo haeleweki
@AbasAthuman-n2t
@AbasAthuman-n2t 2 месяца назад
Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx
@TheopistaGauza
@TheopistaGauza 2 месяца назад
We jamaa ndio maana nakukubal ninja unaongea ukwel co yule chura Ally kamwe kwny ukwel uwongo kwny uwongo uwongo kwel ww semaji la CAF
@OluloBoy
@OluloBoy 2 месяца назад
Hawana ubavu
@marialumbanga
@marialumbanga 2 месяца назад
Hahahaha kwa mara ya kwanza taaira kapona 😂😂😂😂😂leo umeanza kuongea ukweli endelea kuongea ujinga wako uone
@Ahmedsalum-l5s
@Ahmedsalum-l5s 2 месяца назад
Kwanini msaliti akumbatie ni bora alivyoachwa tu huyo chama
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 2 месяца назад
Hahahaaaaa shule yasecondary ila Ahamed ally ngoja to uchukue ubingwa wahame nchi washamba franiiii
@HashimPepea
@HashimPepea 2 месяца назад
Jayant gani wewe unaeishia robo kila mwaka?
@joharimussa-x3h
@joharimussa-x3h 2 месяца назад
😂mashine ya kuongea #ubaya ubwela _
@JamilaJuma-kl2em
@JamilaJuma-kl2em 2 месяца назад
Ubaya ubayani
@nyamriakikube1077
@nyamriakikube1077 2 месяца назад
Hata mimi nimefurahi mnooo.. Walichonga sanaaaa...
@CantiusBenedict
@CantiusBenedict 2 месяца назад
Uzalendo kwanza nyie wa tz
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
UZALENDO KWA MZALENDO..
@JeniphaKipaji
@JeniphaKipaji 2 месяца назад
Waliyoihujumu Simba ili aende azamu mungu anawaona🤓🤓
@amp1952
@amp1952 2 месяца назад
Kuondoka kwa Chama Simba kumeacha pengo kubwa. Alikuwa nguzo ya Simba kufanya vizuri kwenye michezo ya kimataifa.
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
CHAMA SIO MWISHO WA SAFARI... ALISHA ANZA KUOTA PEMBE BORA AENDE TU
@sonmjofficialtv9090
@sonmjofficialtv9090 2 месяца назад
Hujui ball Kanye west huko ulale ivi ww kwa akili zako hizohizo ndogo kama mdomo wako umengoa jino na umeotesha jingine pengo linatoka wapi,
@IsackNzilu
@IsackNzilu 2 месяца назад
Jina tu lilikuwa linambeba
@marthamsacky6973
@marthamsacky6973 2 месяца назад
Simba ndio ilimfanya awe bora sio yeye kwamba akikosekana hatutafanya vixr Naimani tutafanya vzr
@edwardkwale4854
@edwardkwale4854 2 месяца назад
Badilika Chama unayemjua Taasisi ya Simba ndio iliyo mtengenezea jina...wapo wakina Chama wengine wanakuja...muda tu
@drankskhally7019
@drankskhally7019 2 месяца назад
Hata Mimi nimefurahi sana Azam kutolewa
@deogratiusGodfrey
@deogratiusGodfrey 2 месяца назад
Mmh hata wewe jaman dah mi naipenda azam lakn mie shabik wa simba
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 2 месяца назад
Azam wanatuaibisha, Bora wametoka warudi wakalambe ice cream tu
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
Waache kuchonga. Waheshim wakubwa hata kama wamekosa nafaSi. Mkubwa hupewa heshima sio MATUSI...
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 месяца назад
😂😂😂😂timu ya sekondari kabisa hii
@AbasAthuman-n2t
@AbasAthuman-n2t 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 leo jamaa kaogeya kimupila kabx siyo polojo
@PriscaKaishozi
@PriscaKaishozi 2 месяца назад
Jings
@InnocentPetermasonyi
@InnocentPetermasonyi 2 месяца назад
Naungana na were semaji nikweli
@YahayaBakari-hf5yk
@YahayaBakari-hf5yk 2 месяца назад
Ahmed ww ni mtu sana hao wengine vichaa tu maana hawakuwezi
@hamzarumela1784
@hamzarumela1784 2 месяца назад
Uzuri wako huwa unaongea ukweli
@ShukuruMathias-dx9xz
@ShukuruMathias-dx9xz 2 месяца назад
😅😅😅 kabisaaaaa
@razaqdumba
@razaqdumba 2 месяца назад
Aone nini?
@kisurangusa554
@kisurangusa554 2 месяца назад
Yani hapo umeongea jambo la maana sana,
@JbabyYonas
@JbabyYonas 2 месяца назад
Tena sana
@Heavenlighit123Heavenlighit
@Heavenlighit123Heavenlighit 2 месяца назад
Ubaya ubwela una Anza kuitika😅
@GraceMhoja-bu3ce
@GraceMhoja-bu3ce 2 месяца назад
hata me nmefutah sana Azam kutolewa
@RajabZombie
@RajabZombie 2 месяца назад
borawarivyotorewa
@silvestersamson8503
@silvestersamson8503 2 месяца назад
uzalendo kwen
@JbabyYonas
@JbabyYonas 2 месяца назад
Azam chali
@MsevenSaudisaidi
@MsevenSaudisaidi 2 месяца назад
Reo umesema ukweri
@Holiallen
@Holiallen 2 месяца назад
Ahmed Ali kichaa kimepona 😂😂
@JbabyYonas
@JbabyYonas 2 месяца назад
Utajuw kama kichaa au vp
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
AHMED AMEWAAMBIA UKWELI. HUWEZI KUFUZU KTK MASHINDANO YA AFRIKA KISHA UKAIDHARAU SIMBA AMBAYO NDIO MOJA YA TIMU BORA AFRIKA. UKILETA DHARAU HUFIKI MBALI.
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx 2 месяца назад
Kama yanga wanavofanya
@SalmaHamidu-t5z
@SalmaHamidu-t5z 2 месяца назад
Ww mwehu
@mombasa0076
@mombasa0076 2 месяца назад
Umenyoosha lakini vingine vimekuelekea mwenyewe yaani ww ni zaidi ya mwehu
@iddfundikira2817
@iddfundikira2817 2 месяца назад
Wachezaji wa Azam ni mayai mayai tu hawajitumi
@MsPapise
@MsPapise 2 месяца назад
True said kabisa ndugu wanaboa sana laiiiini sana.
@GodfreyMwendawila-ff7on
@GodfreyMwendawila-ff7on 2 месяца назад
Sijajua ni nini Leo ndo nimekufuatolia kumbe wew ni bonge la kumedian uko sawa sawa
@HusseinMohamed-t5o
@HusseinMohamed-t5o 2 месяца назад
Hiyo ndy furaha yetu hizi tim kutolowa zote
@OluloBoy
@OluloBoy 2 месяца назад
Hawana ubavu
@AbasAthuman-n2t
@AbasAthuman-n2t 2 месяца назад
Daa leo jamaa kazugumuza poiti yani kasema ukwer kabx
@OluloBoy
@OluloBoy 2 месяца назад
Hawana ubavu
@OluloBoy
@OluloBoy 2 месяца назад
Hawana ubavu
@OluloBoy
@OluloBoy 2 месяца назад
Hawana ubavu
Далее
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 3,1 млн
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 2,7 млн
Только ЕМУ это удалось
01:00
Просмотров 3,1 млн