Well said baba, God bless you, HAKUNA KAMA MUNGU NA MUNGU HADHIHAKIWI, TUNATAKIWA KUMUOGOPA MUNGU PEKE YAKE MWENYE UWEZO WA KUUWA MWILI NA ROHO. SIFA, UTUKUFU, MAMLAKA NI YA MUNGU PEKE YAKE, HAKUNA KAMA MUNGU. NIMEBARIKIWA SANA NA USHAURI WAKO NA COMMENT YAKO BABA
Kiongozi wa Dini Sheikh Alhaad alianzia mbali sana, na alisema kua ukitaka upendwe basi utakua zaidi ya Mungu, maana hata Mungu hapendwi. Hapa Mkuu ulimkatishia maneno Sheikh Alhaad. Hakusema kua Magufuli ni Zaidi ya Mungu.
Asiye Jua maana haambiwi maana huyu jamaa amekata hio clip Kwa makusudi kukebehi Islam. Anajua anachokifanya. Stupidity, huu ni udini kutukuza dini yako na kukebehi dini nyengine, hopeless, watu kama Hawa baada ya kuwasikiliza ni kuwapuuza tu!
Full video hii hapa. Ingia RU-vid uujue ukweli. Tusiwe wajanja wajanja wa kuedit, Video zinahifadhika na tunazo. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SCFVfQSP1-s.html
Mm niseme kaka kamtahadharisha mama samia asikubali kupewa sifa ambazo hazimstahikii yy na ss wasifiaji tuwacheni kusifia tumsifie allah ndie alie wapa hadhi hawo wanaosifia ukitaka kukusifia kitu msifu alie kitengeneza ndio itakuwa umetenda haki ahsanten
Mwanri alikosea tuu ktk uwakilkishaji sahihi wa maneno yake....mtumaini bwana kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili mwenyewe, ktk njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.......Nionavyo ni kweli pale unapomtumaini Mungu,,,Mungu hushusha baraka zake kwako,,,,,kuna namna tu Mwanri naona ulimi ulimteleza Kama ilivyo ulimi kiungo kdogo matatizo yake makubwa. Hata wewe unayezungumza hapo kuna mengi sana umemkosea Mungu na jua kuishi kwako labda ni vile tu Mungu anakupa wakati utubu na kumrudia....unapomnyooshea kidole mwezako kwanza hakiki usafi wa mikono yako
Mimi nimemfahamu Bwana ngurumo muda mrefu sana ,wakati wa vuguvugu la vijana wakatoliko kutaka kujua ufundi wa utunzi au uimbaji wa nita au muziki miaka hiyo ya 92hadi 98,wakati huo ,baadae yakutoka makoko seminary sijui kwa shida gani,alivuma sana nimtunzi mzuri sana wantimbo za Litrugia miaka hiyo ,nimwanamuziki mzuri sana wakikatoliki ,Huwa ana misimamo yake huwa anaamini like anachokijua yeye ,mara nyingi Huwa hakubaliani na mawazo hadi ya wengine,
Asante ndugu. Ni kweli nimekuwa mtunzi wa nyimbo za dini tangu 1985. Ni kweli nimeishi Musoma tangu 1991 hadi 97. Ni kweli nilisoma Seminari na nilikuwa frateri wa Musoma. Lakini sikuwahi kusomea Makoko. Ni kweli kwamba nina msimamo, lakini nikipata hoja nzito kuliko yangu, naifuata. Ninachokataa ni kulazimishwa au kulaghaiwa kirahisi rahisi tu. Ukitaka kunivuta upande wako, nishawishi kwa hoja. Usinitishe, usinidanganye. Sifuati mkumbo, nafuata hoja, nafuata mantiki. Napenda kuwajibika kwa maoni yangu ili nisisingizie wengine kwa makosa yangu mwenyewe.. Nilitaka kuweka hilo sawa tu.
Huyu Ni mshamba tuuu .SS hatuangalii sifa za watu wa hovyo wenye mihemuko tunaangalia kazi alizozifanya Magu.kama weweni kipofu Kama Batholomeo tutakuombea
Kuna Jambo umesahau kuandika.Mimi pia namfahamu vizuri sana Ansbert Ngurumo ni Mpenda Ukweli,hapendi ujanja ujanja.Ni mtu mwenye Afya njema ya Akili,Huwa hapendi kuongozwa Na tumbo, Anapenda sana kutumia zaidi akili kupambanua Mambo. Huwa hakurupuki katika maamuzi.
Nimekuelewa vzr alitakiwa awakemee na kuwaambia Mungu ni Mungu tu. Mimi nibinadamu tu. Ila tatizo la Magufuri alikua hapendi kushauriwa na kusahihishwa.
@@salimmalaka256 Fungua link hii umsikie wewe mwenyewe rais Samia akisema kuwa "rais hakosei". ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-KDnY6BZsyx4.html
@@deusrobart8181 Wapambe wake walimfananisha na Mungu mbele yake na yeye hajakemea bali alifurahia hilo na wegine kuwapandisha vyeo kwa sababu ya kumpa sifa za kiungu. Sikiliza baadhi yao katika link hii: ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SpCfLyeK7DY.html
Ni dhambi kubwa na nikufuru kwa mwanadamu kufikwa jiji la Mungu kumbuka Mungu hafananishwi na kitu chochote na Mungu ni uwezo isio kifani tumuogope Mungu ni kweli
Mama yetu samia nakuomba rudisha heshima ya viongozi wa juu, mfano henzi Ya magufuli mtu kama mbunge kukamatwa kama mwizi wa kuku badala ya kuitwa kistaharabu sio vizuri,
hata hivyo mzee, elewa tu kuwa hata wewe hapo una lako si bule. kila kitu ni IMANI kwa kila wakati wa inalokujia kwa wakati ulio nao. maana mapokeo wa wa hayo unayoongea leo unajua kwanini uongee leo na sio kipindi kile. japo RAIS wa sasa mmemzalau wengi wenu kwa kujifichia eti anademokrasia. wale mgando wakuone jiniazi.
Hii comment yako haieleweki kabisa sijui labda kwa kiswahili uchokitumia. Na labda humjui huyu mtoa hii mada. Kiufupi, tusijaribu kumlinganisha binadamu na Mungu hata awe na uzuri wa kila kitu. Mungu ni Mungu pekee yake hakuna mfano wake na hakuna alie juu yake.
Tuache ubishi jamani lipo lakujifunza.kukiri makosa hakutuondolei heshima yoyote.tunakushukuru kutukumbusha. Mungu uliye hai uliye popote tusamehe.tukutukuze wewe peke yako.mpe kiongozi wetu hekima na maisha marefu.Asante Mungu wetu kwa kuwa kiongozi huyu ametoka kwako.tuomba toba na rehema kwa taifa letu.
Aisee japo hata wengine wamekosea sana Ila huyu SHEKHE duh sidhani kama atapona vinginevyo amuombe mungu msamaha sana, sana, sana, sana tena sana!!!. Na kw mfano nikiingia msikini nikakuta huyu jamaa ni imamu ntatoka
Unaongea injili iliyo hai. Hawa walafi wa madaraka wana kiburi kupitiliza hawatakusikiliza watakushambulia. Hawtaki kujifunza kwa mfalme Herodi alifananishwa na Mungu akafurahi akauwawa na chango palepa. Hawa wa sasa ni kansa itawala na aibu tele wapokeyaji na watoaji wa sifa za Mungu kwa binadamu
@@beatricehenry6776 Si ndio apo? Na ayo maneno aliyasema yeye? Jamani msimpangie Mungu yeye ndiye anajua maisha ya kila mtu.Kwa hiyo waliokufa wrote wana madhambi? Msikufuru jamani ila Chanda chema uvikwa pete.
Duuh Apo sio poa wale waliokuwa wakimsifia ila kwakweli Mugufuli mwenyewe hakuwahi jisifiya ivyo nakwanza aliimiza watu wamtangulize Mungu mbele... to cut long story short Magufuli alikuwa mtu mzuri saana asa kwa watu wa hali yachini na huo ndio ukweli sema kuna viongozi tu waliokuwa wanajipendekeza
Ni hekima njema Mungu anaipenda Tanzania na huyu muungwana hana makuu amezungumza kama nabii ingekuwa wale manabii kanjanja nisingeshangaa kusikia wakimtaka Raisi na watanzania wapeleke sadaka ya ukombozi kwake
Mzee mda ukifka utakufa tu kwahyo hata maguufuli haktaka kusifiwa ivo Kama kweli unacho kisema mbona kunawachungaji wanajisfu tena wao wenyewe na hawafi
Ebu sema ma ma.zuri aliyo yatanya Magufuri...au unataka kutwambia hakuna chochote alichokifanya kizuri kwenye hii ardhi!? Mungu anakuona mzee..hubiri injiri Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewee
Mema Ni mengi kuliko mabaya ila mwenye chuki binafsi hata Kama yapo atayageuza mabaya hakuna watu wa hovyo km watumishi uchwara type neno acha kuhukumu
Subhanaallah tunaambiwa kwenye dini zetu kuwa tusiweke chukii mbele ila tunaambiwa tuweke imani na undugu mbele ili tupate kheri yake mwenyezi mungu lakini binadamu ufitina na chuki binafsi sio Vizuri watazania hakuna mjinga ila tutakase roho zetu tu bro
Apo kwenye clip ya shekh kama vile unai cut hakuwa na maanisha hivyo unaonekana unapotosha hakuna sifa aliopewa magufuli sema wale walikuwa wakimaanisha kingine.MAGUFULI MWENYEWE HAJAWAHI JISIFU IVYO AU KUJIITA MUNGU KWANZA ALIIMIZA WATU KUMTEGEMEA MUNGU JUST ADMIT THAT YOU HATED JPM
Utukufu ni wa mungu peke take tatizo la viongozi ama baadhi wanapenda kutukuzwa sijajua hata nemo mheshimiwa mtukufu kama kwa mungu lina kibari aielewi ila ni hatari sana kumcheZea mungu maana eye ni mungu anaetisha hazihakiwi atakomrsha viburi
Huyu ni mwongo anatumia maandiko vibaya. Biblia yenyewe inasema tiini wenye mamlaka kama kumtii Kristo. Tena inaongeza anayestahili heshima mpe heshima, mana viongozi wa Serikali ni watumishi wa Mungu ikiwa wanatenda haki. Tena inasema mkipigwa makofi kwasababu ya kutokutii iliyohaki mkipigwa hampati sawabu lakini mkipigwa Kwa kutenda haki mna sawabu. Hakunaga kumsema anayestahili kuogopwa ni Mungu tu, Mungu unayemtaja ambaye haonekani yupo Kila mahali, Serikalini Mungu anawakilishwa na viongozi watenda haki, kwenye familia wazazi, hata mke anapaswa kumtii Mine kama anamtii Mungu. Kusema mbona mume ni mtu tu hicho hi kiburi na ukipigwa usifikiri Mungu atakuhurumia, kwakuwa Mungu anafanya kazi ndani ya wanadamu. Hujui chochote Acha kudanganya watu. Kwa Mungu hakunaga usawa. Kuna mamlaka na unapaswa uzitii. Yaani wewe unasema haki Sawa huo ni ushetani na ndicho alichokifanya Lusifa kutaka kuwa Sawa na Mungu. Mugufuli hakujifanaya Mungu, Ila alinunyenyekea Kwa Mungu, mara ngapi aliita viongozi wa dini wamwombee? Ni raisi gani unayemjua wewe aliyewahi kumtukuza Mungu hadharani hata wakati Mungu anaonekana si kitu Kwa wenye akili za dunia hii kama Magufuli. Hakuona aibu kusema Jambo hili tumuombe Mungu, kuna watu wameingia madarakani tu wamejifanya sayansi sayansi, wakati yeye akisisitiza taifa kumwomba Mungu na tukashinda vitavingi hata ya korona. Acha kuwahadaa watu wasio na ufahamu7
Kwahiyo bado uko umemkalia magufuli kooni ,,mpaka leo??? Una laana wewe!!! hebu muache magifuli wetu apumzike!"!,,,,,huna jipya zaidi ya kumuongelea magufuli ndio usikike??chefuuuuu! Kama uliumia kipindi hicho ulikuwa wewe sio sisi watanzania wa kawaida! Ukome kutusemea!!"
Historia haifutiki bali hurejewa kwa ajili ya mafunzo - kwa wenye akili ya kujifunza. Tunajadili historia ya miaka 2000 iliyopita, sembuse miaka mitano iliyopita!!
Hivi Rais Samia anavua utu wake na kukubali kusifiwa na kutukizwa? Kama WAFUASI wake ni MAPOYOYO basi NI Bora awakemee mapema na kuwaeleza ukweli kuwa Hana HAKI wala hasitahili kusifiwa na kutwa Mtukufu Rais Samia. Hakuna binadamu ambaye NI kiongozi awe Mtukufu kwa sababu za wazi Tu kuwa wanayo makosa na dhambi nyingi za Utekaji, Kupotezwa maisha ya watu, Wizi na ubadhilifu wa Mali za Umma, haya machache yanatosha kuthibitisha wazi kuwa hakuna kiongozi mwenye Mtukufu. Na kama NI kweli basi ikubalike kuwa anasitajili KUHESHIMIWA na sio KUTUKUZWA NA KUABUDIWA,
Tumwombee kwa mungu mama yetu raisi SSH apokee ushauri wako uliotukuka na kuufanyia kazi Ndugu yetu Ansbert Ngurumo Mungu akubariki sana,na tunaelewa kuwa UKWELI HUWA UNAUMA SANA
Yaani natamani tupate rais aliye mara mbili ya Magufuli ili kufidia miaka hii inayopotea. Huyu kiwavi anajaribu kuharibu ukweli Kwa kumchafua Magufuli. Ningekuwa Mimi ndo rais, hawa wahuni wangenikoma nisingewahurumia hata mmoja wangeenda kuchumba chima Egypt na south Africa
NI matumaini yangu kuwa wewew siyo Chadema.Kama wewe NI Chadema basi wewe NI bonge ya hatari ktka Nchi Hii.Kama Wewe NI mtu mzuri na mstarabu Lazima utakuwae inajua namna ya kuufikisha ujumbe huu kwa wahusika bila ya kutupotosha Na kutuchanganya akili
USILETE UVYAMA HAPA WAHUSIKA NI WEWE NA WA TZ HAIHUSIANI NA UCHAMA YULE MAGU HANA TOFAUTI NA FIRAUNI KUJIFANYA MUNGU MTU KWQ SASA MAGU MZOGA YEYE KA LAANIKA BADO WEWE ENDELEA KUMTETEA.
Full video hii hapa. Ingia RU-vid uujue ukweli. Tusidanganyane kwa kuunga unga vivideo tuu ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-SCFVfQSP1-s.html