Kwaya ya Vijana KKKT Mlandege ni moja kati ya Kwaya zilizojipatia umaarufu mkubwa mkoani Iringa na Nyanda za juu Kusini kutokana na uwezo wake wa kuimba na kucheza jukwaani. Wengi wameifahamu Kwaya hii kupitia Mikutano na Matamasha mbalimbali ya Kiinjili ambako imekuwa ikialikwa kumtangaza Mungu na kutumbuiza. Sasa inavuma kwa kibao kipya cha TUNAUTANGAZA USHINDI WA YESU.
MTUNZI: Meshack Mgaya
PRODUCER (Audio & Video): Rizikia Media
Mawasiliano/contact
Mwenyekiti/Chairperson +255655020419
Katibu/Secretary +255757733085
Social Media
Facebook: Kwaya ya Vijana KKKT
Baruapepe: mlandegevijanachoir@gmail.com
@vinajakkktmlandege9671
4 окт 2024