Тёмный

Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni 

Подписаться
Просмотров 1 млн
% 3 607

Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

Опубликовано:

 

30 янв 2015

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 290   
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 5 месяцев назад
Tulioiona 2024 gonga like
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 5 месяцев назад
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
@personpeter2221
@personpeter2221 5 месяцев назад
Mrith wa bwege je umemwona??
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 Год назад
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
@chiefkaitaba8293
@chiefkaitaba8293 Год назад
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii. #Lissu Baba Laooo
@makimbiliotvtv2644
@makimbiliotvtv2644 7 лет назад
Big Up lisu mungu akupe afya njema
@twayibmood7319
@twayibmood7319 4 года назад
Sheria imezidiwa na tundu lissu Jamaa hatar uy7
@ken-ul2jg
@ken-ul2jg 7 месяцев назад
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
@victormollel3246
@victormollel3246 6 лет назад
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
@sadikisalumu5253
@sadikisalumu5253 5 лет назад
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
@liberatimasawe9520
@liberatimasawe9520 8 лет назад
lisu uko vizuri baba
@yohanaswalo4716
@yohanaswalo4716 5 месяцев назад
Nimemkumbuka Kwa kweli
@eliamkamba6899
@eliamkamba6899 3 года назад
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
@frankkabombo8439
@frankkabombo8439 8 лет назад
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
@MadeliTV
@MadeliTV 4 месяца назад
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 3 года назад
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
@kpetres2872
@kpetres2872 3 года назад
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 года назад
@@kpetres2872 kilaza wew
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Год назад
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
@ismailyusuf3543
@ismailyusuf3543 Год назад
2023 still watching him 🤣
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
Zaidi ya 1,000
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 лет назад
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
@adenjordan3659
@adenjordan3659 2 года назад
InstaBlaster.
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 года назад
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Год назад
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
@victormollel3246
@victormollel3246 6 лет назад
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
@allahisone6386
@allahisone6386 4 года назад
😆😆
@khalifaali9229
@khalifaali9229 3 года назад
CCM hamna kitu
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 года назад
Ni zaidi ya 2000
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Год назад
Mwamba wangu. MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Год назад
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
@danielsinkamba3719
@danielsinkamba3719 5 лет назад
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
@lawsofsucces5784
@lawsofsucces5784 7 лет назад
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
@marcomachiya9849
@marcomachiya9849 4 года назад
laws of Succes
@ernestmatimba9964
@ernestmatimba9964 2 года назад
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
@kelvinmbena4562
@kelvinmbena4562 7 лет назад
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Год назад
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Год назад
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
@williamkirway4620
@williamkirway4620 3 года назад
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 3 года назад
he was too good for bunge la tanzania
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Год назад
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
@shimmysima1311
@shimmysima1311 8 лет назад
lissu heshima yako.
@muhusinibakari7045
@muhusinibakari7045 5 лет назад
Hio nihazina yataifa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Год назад
Mungu akubariki risu ukoveeeem
@betramkapinga795
@betramkapinga795 8 лет назад
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
@sharifunchimbi785
@sharifunchimbi785 4 года назад
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
@datiusgabriel8277
@datiusgabriel8277 8 лет назад
Lisu kiboko Yao
@petermwasipu1778
@petermwasipu1778 8 лет назад
Safi Sana Lisu
@emmiliananasri7726
@emmiliananasri7726 3 года назад
Lisu wew ni mtu muhim sana
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 года назад
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
@xaveryngonyani-nb1nx
@xaveryngonyani-nb1nx Год назад
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
@festussichula8866
@festussichula8866 5 лет назад
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
@bugdadiajm8270
@bugdadiajm8270 7 лет назад
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 5 лет назад
Tundulisu anafaa kuwa Rais
@beberurafiki1273
@beberurafiki1273 2 года назад
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 3 года назад
Lissu for life
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 года назад
Lisu forever ♥
@msemakwelimdhalendo7782
@msemakwelimdhalendo7782 4 года назад
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 года назад
Ulikuwa wapiiii ww
@isaali9630
@isaali9630 7 лет назад
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
@mooking7913
@mooking7913 6 лет назад
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
@issaibuni5747
@issaibuni5747 7 лет назад
good lisu
@greenmedia002
@greenmedia002 2 года назад
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Год назад
AMINA
@mragahpallangyo6261
@mragahpallangyo6261 4 года назад
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
@ashirafubesta1018
@ashirafubesta1018 Год назад
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 5 месяцев назад
Hapindashagi
@othumanmassanja1472
@othumanmassanja1472 8 лет назад
Lissu we nisheeeda
@dotomadaraka4620
@dotomadaraka4620 4 года назад
Otuba za king msukuma
@user-ws6dq3vq7t
@user-ws6dq3vq7t 11 месяцев назад
😅😅 nakuelewa xana mze bb
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 лет назад
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 3 года назад
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
@innocentnkya2770
@innocentnkya2770 8 лет назад
lisu safi sana,..
@markomoter3190
@markomoter3190 9 лет назад
mrithi wa fedrick wa walema
@paulothomas7270
@paulothomas7270 8 лет назад
ukawa oyeeeeeeee power
@victormollel3246
@victormollel3246 6 лет назад
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
@htmmusic9240
@htmmusic9240 7 лет назад
safi brother.
@hajinyange4522
@hajinyange4522 7 лет назад
safi lisu
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 года назад
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
@abdillahichicha8035
@abdillahichicha8035 6 лет назад
Big up Lisu
@olendumbekiseya4583
@olendumbekiseya4583 Год назад
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
@mosesmpeta3241
@mosesmpeta3241 8 лет назад
kichwa
@liontvonline951
@liontvonline951 5 лет назад
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
@allyally6529
@allyally6529 7 лет назад
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
@emmiliananasri7726
@emmiliananasri7726 3 года назад
Lisu oyeeee
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 года назад
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
@liberatimasawe9520
@liberatimasawe9520 8 лет назад
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
@emmanuelyusto6240
@emmanuelyusto6240 7 лет назад
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
@anoldstephano6301
@anoldstephano6301 Год назад
God bless lisu for ever and never
@francissalamba8112
@francissalamba8112 7 лет назад
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Год назад
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 года назад
Lissu ever brave, competent, not lying
@nyaunyau3247
@nyaunyau3247 Год назад
LISSU
@erickmarcokabete5389
@erickmarcokabete5389 7 лет назад
Lisu ukovizuri kwa uongozi.
@deogratiousmchau8162
@deogratiousmchau8162 7 лет назад
Lisu hatari
@thomasjohn3499
@thomasjohn3499 2 года назад
HUYO NDIYE TUNDU LISSU.
@sadickgugud2556
@sadickgugud2556 7 лет назад
saf sana
@ayendamethusela3310
@ayendamethusela3310 Год назад
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
@emmanuelngadaya1412
@emmanuelngadaya1412 8 лет назад
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 2 года назад
😆😆😆
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 лет назад
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
@emmanuelngollej6415
@emmanuelngollej6415 6 лет назад
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
@FrankFrankmapanacom-eh1xy
@FrankFrankmapanacom-eh1xy Год назад
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
@neybenson7881
@neybenson7881 4 года назад
Lisu tunakusubiri urudi dah
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Lisu is the best parliamentarian
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 Год назад
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
@clementcharles5687
@clementcharles5687 9 лет назад
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
@tecnof1232
@tecnof1232 5 лет назад
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 лет назад
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
@kassimnasseb4845
@kassimnasseb4845 4 года назад
Genus!!!
@yusuphraphael6142
@yusuphraphael6142 Год назад
Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO
@eliusponde8564
@eliusponde8564 Год назад
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Год назад
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
@philimonambilikile6645
@philimonambilikile6645 2 года назад
Big up lisu
@abisaiamos1245
@abisaiamos1245 6 лет назад
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Год назад
Tundu lissu
@nak3477
@nak3477 3 года назад
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 Год назад
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
@mnyalukolotv35
@mnyalukolotv35 6 лет назад
Uko vinzur lisu
@MAJALATV485
@MAJALATV485 7 лет назад
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
@asajilepiusmahenge5729
@asajilepiusmahenge5729 7 лет назад
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
@elisharaulesi3085
@elisharaulesi3085 6 лет назад
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
@MelkizedekUrio-xl1jp
@MelkizedekUrio-xl1jp Месяц назад
Hili ndilo bunge
@ibrahimbaraka4607
@ibrahimbaraka4607 Год назад
Tundurisu umetishasana wambie
@hildamakala178
@hildamakala178 Год назад
Achukuwe urais kabisa anafaa👍🏼
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Год назад
Lisu kichwa kikubwa
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 года назад
Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Год назад
Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi
@husseinngurumo9384
@husseinngurumo9384 8 лет назад
Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi