Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi