Huyu jot mshenzi kwanza tu utangulizi anafika msibani na mshangazi kaaja mkuubwa kama kahamia pili kafika makaburini nakuvuruga ibada kila anachohubiri mchungaji anapinga 😂😂😂😂 sasa alikuwa anataka bora afee yeye marehemu kafufuka afe sasa yeye ndo kwani anatafuta msaada na Mungu aliye kuwa ana mpinga ndo wa kwanza kumwomba msaada Zito unajua baba huna baya ila hapo mwisho mmenivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂
Joti upo vizuri katika tasnia ya uchekeshaji na ktk nchi yetu ya Tanzania 🇹🇿 na Zanzibar 🇹🇿 visiwani ww ni wa kwanza ila tatizo lako moja wale uliokuwa ukicheza pamoja umewatoa wakina kipande na yule jamaa uliyeact nae mtoto wa tajiri yaani yule alikuwa akikuinua katika tasnia hii ya uchekeshaji yule anacheza part ya tajiri