Ukiona mashekhe hawakujibu ujue umepuuzwa, halafu maa shaa Allah sheriff Habshy wewe ni khurafi na huyo ni hizby, lakini kumbe ni kweli mumeungana dhidi ya watu wa haki! الكلب ينبح والقافلة تسير! فاسكتوا يا هؤلاء فاتتكم القطار!
Uyu sheikh mbn yy kejeli tuu kwa masheikh wengn au ndio huo usalafy Hua uko ivo subir sheikh aseme ukate clip umradd dooohh yaani 90% ya clip zake ni matusi tuu na kukejeli masheikh
Hapo pia mimi panishangaza sana.Hili kundi nimelifuatilia na nimeliona lina shida fulani na hii dini japo mimi nilikuwa pamoja nao lakini kwa sasa nafuata dini sifuati kundi.
@@mohamedsalimaljahdhamy1436 kuhusu picha hakuna Sheikh yuwaeka picha wakati wa Raddi. Lkn wenye kuweka hizo clip ktk You tube ndiyo wanaweka picha pungufu. Zisizo kamili. Jambo hili maulamaa wakubwa wamelielezea. Natumai akhiy umelewa. Shukran
Wewe Mpuuzi kweli, Wewe si umesomea Saudia,mbona wao wapiga picha,Imaamu wa Saudia,na wanawachuoni wa kisaudia twawaona kwenye Runinga,wakiswali ktk msikiti mtukufu wa maka na Madina, kwahiyo wao hawajailewa Hadithi kuliko nyinyi?Ama kweli njaa itawapeleka pabaya
Hivi nyinyi mnaojiita masalafi masahaba kwenu hawana nafasi? Kila jambo la dini mnawanukuu masheikh wa suudia tu nikamavile masahaba hawakufanya chochpte katika uislam ila masheikh wenu ndio waliopigania hii dini ikatufikia????????????????
Lete hoja ya madai yako. Usifanye dhulma ya kusingizia. Manhaj ya Salaf ni kitabu na Sunnah kwa ufahamu MASWAHABA na Tabiyn na atbau Tabiyn. Allaah atuongoze