Тёмный
No video :(

Ubora wa mbegu mpya za minazi 'usipime'! zina uwezo mkubwa wa kuhimili ukame na magonjwa. 

PROMO ONLINE TV
Подписаться 8 тыс.
Просмотров 3,6 тыс.
50% 1

‪@promoonlinetv7442‬ inakuletea habari, dondoo na makala za kilimobiashara, mazingira, maliasili na utalii.
Je unaswali, au unahitaji kuunganishwa na watalamu wa kilimo, mazingira, maliasili na utalii? KIJANI CONSULT itakuunganisha nao, unachotakiwa kufanya ni kulipia sh. 1000 tu kupitia TIGO LIPA NAMBA 22922127, kisha tuma ujumbe au piga simu kwenye namba ya 0655753023, kueleza hitaji lako, NASI TUTAKUHUDUMIA.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 17   
@jiwekichwa2857
@jiwekichwa2857 Год назад
We are not serious. Mkombozi wa upungufu wa mafuta ya kupikia ni large scale kilimo cha michikichi. Wahindi wana-import mafuta ya mawese then wanai process to different kind of mafuta ya kupikia. When they said we are importing cooking oil,they meant unprocessed plums oil.
@muhammadalibhaz1390
@muhammadalibhaz1390 Год назад
siasa inatukwamisha + roho mbaya ya wadau nimeshuhudia taasisi serikali tari zinazozalisha Miche wanaukiritimba nyingi nilishuhudia katika maonyesho ya sabasaba walieleta mche mmoja kama . mfano wa maonyesho badala ya kuuza nyingi katika maonyesho (roho mbaya)
@jiwekichwa2857
@jiwekichwa2857 Год назад
Kwa ninavyo fahamu mafuta ya nazi hayapendwi na siyo mazuri hata kidogo . Watu wanatumia tui la nazi kupikia . Tui linapatikana kwa kukamua machicha ya nazi. Huyu mtaalam katufunga kamba huwezi kutengeneza furniture kwa kutumia mti/ shina la mnazi.
@carolinemasonga163
@carolinemasonga163 7 месяцев назад
Mti wa Nazi uliokomaa una mbao ngumu usivyojua na haipekechwi na wadudu kama mbao nyingine na ni kweli Inatengeza fenicha. Fuatilia kwa mafundi.
@adamunkwabi9646
@adamunkwabi9646 2 года назад
Naomba msaada minazi yangu inashambuliwa na mdudu na sijuwi in mdudugani
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
Inshallah baba
@elvisjonas8520
@elvisjonas8520 2 года назад
Na maanisha miloni 800 sio milioni 8.
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 3 года назад
Tanzania tuna rasilimali nyingi zinazoleta utajiri , sijui tunakosea wapi ????
@promoonlinetv7442
@promoonlinetv7442 2 года назад
Uko sahihi kabisa, naamini kadri tunavyopata taarifa sahihi za fursa hizi Watanzania tutazitumia na kupata maendeleo. Nadhani tatizo ni kukosa taarifa sahihi za fursa kama hizi
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 2 года назад
Kweli kabisa
@zainabushabani7309
@zainabushabani7309 Год назад
Chambezi ndo wapi wadau
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 года назад
Changamoto za wahandishi wetu ni kubwa, sasa tushajua minazi ina faida sasa hizo mbegu zinapatikana wapi?
@promoonlinetv7442
@promoonlinetv7442 2 года назад
Ukifuatilia vizuri utapata jibu la swali lako, huyo anayezungumza ni mtu kutoka TARI Dar es salaam, na ndio wanaozalisha hizo mbegu. Lakini maoni yako tumeyaelewa na tutayazingatia
@kitonikitoni6299
@kitonikitoni6299 2 года назад
Binafsi ninashida na namba ya huyu mzee kiofisi
@elvisjonas8520
@elvisjonas8520 2 года назад
Tz tunazalisha nazi miloni 8 kwa mwaka, je nikati eneo la 265ha? Au kuna siri ya aina flan ya minazi yenye uwezo mkubwa wa kuzaa?
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
Inshallah baba
Далее
▼НОВЫЙ FNAF (мы в пицце) 🍕
29:32
Просмотров 581 тыс.
SUNGURA NI FULSA MPYA MJINI
2:44
Просмотров 14 тыс.
▼НОВЫЙ FNAF (мы в пицце) 🍕
29:32
Просмотров 581 тыс.