Hapo kwa pacome nakuunga mkono , kwasababu unapocheza na timu yeyote inayokaa nyuma lazima uwe na mtu ambaye anaweza kuvunja ukuta kwa kudrive na kupiga danger penetration pass, sasa mimi kinachonishangaza sijui kwanini kocha ana opt kwwnda na azizi Ki na chama wakati playing style yao ni kama inafanana. Tukicheza na timu inayokaa nyuma PACOME ni muhimu mnoo kuliko mtu muhimu sana kwenye kutafuta matokeoo