Тёмный

UCHUMI ULIOTEKWA (DAY ONE) - PASTOR SUNBELLA KYANDO 

Reality of Christ Church
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

KANISA LA REALITY OF CHRIST MINISTRY (ROC) LIPO SINZA MORI DAR ES SALAAM LINAONGOZWA NA WATUMISHI WA MUNGU PASTOR SUNBELLA KYANDO
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RU-vid: www.youtube.co....
#sunbellakyando #pastorsunbellakyando #pastorjohnsembatwa #realityofchrist

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 35   
@christinechambuni9060
@christinechambuni9060 10 месяцев назад
Nimebarikiwa sana amen and amen kutoka Kenya
@LudovikLudovika
@LudovikLudovika 8 месяцев назад
Naona kufunguliwa kwangu leo kwa Jina la Yesu
@FurahaMbughi-su3hb
@FurahaMbughi-su3hb Год назад
Amina Amina amina ninafunguka kwa masomo haya
@elibarickjulius4954
@elibarickjulius4954 Год назад
Mtumishi Sunbella Kyando tunakuomba uje KASULU KIGOMA kuhudumu pia, Mwaka huu huu.😢
@jeradbendiliba3828
@jeradbendiliba3828 Год назад
Kabsa
@MtemiJota-m6r
@MtemiJota-m6r Год назад
Asante mtumishi ubarikiwe natamani siku moja namimi uniombee ingawa Niko mbali lakini naamini siku moja na mwomba Mungu anipe kibali na neema ya kupata nafasi na kibali cha kukutana na wewe nakunifungua nimefatilia Sana masomo mengi nikaona kunashida kwenye maisha yangu
@LudovikLudovika
@LudovikLudovika 8 месяцев назад
Ameen
@NeemaMgaya-ez9un
@NeemaMgaya-ez9un 11 месяцев назад
Amina mtumish
@joycesanga6951
@joycesanga6951 Год назад
Amen
@LudovikLudovika
@LudovikLudovika 8 месяцев назад
Bwana Yesu Asfiwe,Mtumishi me nafanya biashara ilaniwakupoteza2,lakini kuna siku nilikuwa nimelala usiku wa manane ghafla nikasikia sauti inanambia inuka maana Roho Mtk,kakupaka Mafuta nilipo shtuka nijikuta nafanya Ishsra za kujupaka mafuta,sikuelewa maanayake Mtumishi
@paulinemuthoki7851
@paulinemuthoki7851 Год назад
Tunaitaji reality uku Nairobi Kenya,,,,mchungaji
@narggdhdv765
@narggdhdv765 Год назад
Asa bwaa yesu nimeuona mkono wako ukinifungua.niko saudia rabia namuona mungu akitenda.mbariliwe sana kwa huduma yenu
@petermunuo1657
@petermunuo1657 Год назад
Amen mtumishi barikiwa sana
@dingimtoto352
@dingimtoto352 Год назад
Amen👏
@musesjohn
@musesjohn Год назад
Mungu akuzidishe mtumish kalama utukufu kwa utukufu
@mamasmartcollection7063
@mamasmartcollection7063 Год назад
Hakika umenigusa yaani ni mimi kabisaaa, Mungu akubariki sana mtumishi
@magrethmvwango2682
@magrethmvwango2682 Год назад
Baba nifunguliwe Leo Kwa jina la yesu mapepo Majini hayana mamlaka kwenye maisha yangu Ameni 🙏 🙏🙏🙏
@atuganilembonge
@atuganilembonge Год назад
Barikiwa sana mtumishi
@neemamarko176
@neemamarko176 Год назад
Barikiwa my Pastor 🙏
@gabriellafaith6128
@gabriellafaith6128 Год назад
Amina Baba 🙏 Ubarikiwe kwa somo nzuri
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Год назад
Amen.
@EliyaJoseph-hp2ne
@EliyaJoseph-hp2ne Год назад
Uje na huku mtumishi mkoa wa mara hasa eneo la bunda naomba ROHO MTAKATIFU aseme na wewe kwa habari ya huku mkoa wa mara
@neemakyando9591
@neemakyando9591 Год назад
Ubarikiwe baba
@patricklaiton8939
@patricklaiton8939 Год назад
barikiwa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
HALLELUJAH
@CorneliusKipyego-x6o
@CorneliusKipyego-x6o Год назад
Mahubili yako huniguza sana natamani niaje huko one-day
@ruthouma9449
@ruthouma9449 Год назад
Natamani nije station yako ya TV hapa kenya mafunzo yako yanafungua sana
@annambilinyi2550
@annambilinyi2550 Год назад
Mungu atupee Neema mbeya
@neemamatiko3745
@neemamatiko3745 Год назад
Uko mwanza mtumishi nipe apoint ment nije from kahama
@kuziririzaisabatosiitegeko7088
Kwa nini Mungu aliruhusu hawo wafalme wasiyokuwa ktk mpango wake wanawekwa kuwa wafalme?
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 Год назад
Naomba namba ya simu ya mtumishi
@reachglobal9939
@reachglobal9939 Год назад
Tafuteni kwanza ufalme wa MUNGU hayo mengine mtapewa Kwa ziada
@reachglobal9939
@reachglobal9939 Год назад
Kama mtu kaompokea YESU kajazwa ROHOMTAKATIFU alafu hajafunguliwa basi hapo Kuna tatizo
@vicentkilonzo924
@vicentkilonzo924 Год назад
Amen
@isharakapapi
@isharakapapi Год назад
Amen🙌
Далее
UCHUMI ULIOTEKWA (DAY TWO) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
45:50
UCHUMI ULIO HURU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:24:51
Просмотров 4,8 тыс.
GHARAMA YENYE FAIDA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
21:47
Просмотров 15 тыс.
UFAHAMU WAKO JUU YA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
26:28
MAOMBI YA UKOMBOZI WA UCHUMI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:11:33
SABABU ZA MTU KUWA NA PEPO WENGI
58:42
Просмотров 43 тыс.