Тёмный

UFUGAJI WA NG'OMBE KIBIASHARA 

Kilimo Biashara
Подписаться 32 тыс.
Просмотров 56 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@bonfasmahenge
@bonfasmahenge Год назад
Nikweli vijana wengi tunapenda vitu lahisi tuludi huku tunapote Asante kwa ushauli mtalam
@bensonmwakyando5776
@bensonmwakyando5776 6 лет назад
Asanten sana kwa Elimu mnayotupatia.
@bensab7224
@bensab7224 6 лет назад
Aibuu kubwa,Maziwa yanakuwa imported kutoka Njee...
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 года назад
Hawa ng'ombe si pure breed na kwa kuwatizama hawawezi toa zaidi ya lita 14. Ng'ombe wa Kenya ni wazuri na sijui kwa nini hatufugi kitaalamu kama Kenya. Hata wataalamu wetu hawaonyeshi jitihada ya kufanya wawe pure breed. Kenya ng'ombe anatoa lita 40+
@allaboutbts9226
@allaboutbts9226 4 года назад
Nadhani wao wamejitahidi kuwekeza nguvu nyingi katika kuwahudumia hawa ng'ombe na kuweka umakini zaidi kuliko sisi, sie tunachukulia poa kila kitu
@mohamedghasia95
@mohamedghasia95 2 года назад
My assumption ni kwamba wewe ni mfugaji. Naomba kufaham aina ya Ng'ombe unaowafuga mkuu!!!
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 10 месяцев назад
​@@mohamedghasia95mimi pia ninafuga ng'ombe kama hawa sina wale ambao ni high yield kama Kenya. Simkosoi prof. yeye ni mbobezi na naamini ameamua kufuga aina hii ili kuepuka magonjwa haswa kwa ng'ombe ambao ni high yield kwenye uzalishaji wa maziwa wanahitaji uangalizi mkubwa kuliko hawa ambao ni Cross breed.
@wilfredbyabato4732
@wilfredbyabato4732 5 лет назад
nimejifunza
@praygodshayo6324
@praygodshayo6324 6 лет назад
nimefurahi leo nimejua ata majani ni biashara
@ahmadnejad4796
@ahmadnejad4796 3 года назад
@kilimo biashara naomba kujua bei za ng'ombe wa Maziwa
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 Год назад
Nikitaka ngombe napataje
@rodgersakwilini7762
@rodgersakwilini7762 6 лет назад
Habari, naweza pata namba ya Prof nahitaji kupata mitamba kutoka kwake , kipindi kizuri sana ila pia mngefanya naye kingine kwenye upande wa maziwa zaidi maana hiki kipo zaidi upande wa nyama
@user-of2qt8nk7w
@user-of2qt8nk7w Год назад
Mnapatikana wapi?
@jrkimara
@jrkimara 4 года назад
Tunapataje hawa ngombe wa maziwa?
@uswegemalango7993
@uswegemalango7993 3 года назад
Kwahili tunawapongeza
@adrianmallyakibona.352
@adrianmallyakibona.352 5 лет назад
Prof unatudanganya kweupe.. Hao ng'ombe wako hapo hawana ubora stahiki.. Fresian ninawakamua hapo ni too much crossed then u told us kuwa u nawatoa Hiefer!? From which breed Papaa? Nikitazama hapo sioni ng'ombe mwenye kiwele cha litre 40. Mi nadhan tu jifunze kwa waken ya
@jumannechagulla9110
@jumannechagulla9110 5 лет назад
Nimefaidika sana na kipindi hiki kwani kinatoa miongozo mizuri ya fursa ya kilimo kijana tuamke tusitegemee kuajiliwa. Asante pro .shem kwa dalasa lako zuri.
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 4 года назад
Tunaomba contacts za huyu Professor.
@brunomwakalyobi9101
@brunomwakalyobi9101 7 лет назад
mnatupatiaje elimu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kwa sisi tuliopo Kyela ambapo hali ya hewa huku ni joto sana?
@upendomichael3498
@upendomichael3498 5 лет назад
Wataaalam wa mafunzo ya ufugaji na uchakataji unawapata vipi?
@everlastingmessage7663
@everlastingmessage7663 6 лет назад
kilimo biashara hamjibu message za watu, tuna maswal mengi hamtoi support
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 лет назад
Swali kama lipi, mengi ambayo hatujibu majibu huwa yamo ndani ya kipindi ila watu huona uvivu kutazama chote, pia namba za simu zinaoneshwa ndani ya kipindi
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 лет назад
tunajitahidi sana , pia kwa uharaka zaidi tuma message kwenda +255 713 588 410 kuhudumiwa kwa uharaka
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 лет назад
ENGITECH TV hawa jamaa siwaelewi kabsa ata ukiwapgia simu wajidai wako bize wananikela sana yaan nakujibu niko bize ukimtext nkupigie saa ngapi anasema eleza shida kwa text kha basi tu
@upendomichael3498
@upendomichael3498 5 лет назад
Namba ya baba tafadhari
@irakozemaissarah4325
@irakozemaissarah4325 6 лет назад
mnamo suala la gharama nkombe mmoja ndie anauzwa milioni na laki nne?ao nimeelewa vibaya?tafadhali naomba jibu
@moringelangas7276
@moringelangas7276 6 лет назад
Hiyo milioni na laki nne ni ndogo,kuna hadi m4
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 лет назад
Irakoze Maissarah milion na laki kwa mitamba mitatu bro
@dastankibwana6425
@dastankibwana6425 5 лет назад
@@moringelangas7276 haloo
@wegesamwita4762
@wegesamwita4762 7 лет назад
Najua Kuna faida Za kufuga kama bio gas tuelimishwe na kuelekezwa wap tutapata wataalamu na Jinsi rea wanavyo saidia
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 лет назад
Mna makala nzuri ila tatizo lenu mkipigiwa mnakuwa wazito sana mnataka mtumiwe sms mkitumiwa sms ata hamjali kama vp kuweni wawazi kama simu yenu inalipiwa semeni kwa dk kadhaa tuma shilingi kadhaa ndo usikilizwa ni ushamba kuweka namba ya simu alafu mkipigiwa kila time mnajidai mko bize tuma messeji alafu ziro
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 лет назад
Watu wanao hudumiwa ni wengi, pia muda mwingu huyo anaepokea simu anakua na kazi za kuandaa makala, pia na mambo binafsi ya kijamii, zote makala zimeandaliwa kwa juhudi na rasimali binafsi za waandaji bila kuchangiwa na wanachi Wala serikali, endelea kujaribu simu itapokelewa
@justiniankasinja8471
@justiniankasinja8471 Год назад
Ni kweli. Sijui kwa nini hawajiamini. Kama wamajiamini watoe namba zao halafu wapokee simu
@japhetmombia
@japhetmombia 6 лет назад
Asante sana Prof. Mimi ni mtaalamu wa Mifugo, pia Mazingira. nimekuelewa. contact me via +255765890358 and mombiajaphet@gmail.com
@Lialye
@Lialye 4 года назад
You're doing those ribs wrong
Далее
UFUGAJI KUKU CHOTARA
28:34
Просмотров 98 тыс.
Rate our flexibility 1-10🔥👯‍♀️😈💖
00:12
KILIMO KWA NYUMBA KITALU GREENHOUSE
30:37
Просмотров 22 тыс.
KILIMO CHA MAHINDI
28:53
Просмотров 49 тыс.
UFUGAJI WA SAMAKI NA MBEGU ZAKE
28:54
Просмотров 70 тыс.
MAKALA BBT - LIFE MIFUGO (AGRF 2023)
6:09
Просмотров 3,7 тыс.
KILIMO CHA UMWAGILIAJI
28:05
Просмотров 34 тыс.
Rate our flexibility 1-10🔥👯‍♀️😈💖
00:12