Kuwa nailmu nakusoma Macca au Madina haimanishi kuwa ndio munashinda watu waulimwengu wote tafauti ufahamu wenu ni mdogo na haina baraka sikikia ilimu yenye baraka naijaza huyu sheikh Mziwanda.
Kwakua hadhira ni tupu uwezo mdogo ktk dini basi anatamba anavyojisikia Lkn anachokifanya ni balbala uwongo na khiyana fundi wa kugeuze na kupindua maneno Muhim ni hicho cha Hao wenye kukusikiliza wasome nandipo watakapo bainimiwa na Haq hiyo mnayojitahidi kyificha3
Muongo we , kwanza sie hatusemi kusoma kwa njia ya marhalah ni ibada tofautisha mambo wewe , wala hatusemi asie soma kwa njia ya marhali ni mkosefu kama mnavyo sema nyinyi katika maulidi kua ni ibada na kukufurisha watu wasio yaadhimasha kama nyinyi
Mnavyokosea ni kua hua mnatumia akili kuliko nukuu ya kisheria, kama itakua akili haikubali japokua ni sheria hamuikubali... Kukiwa na jambo la kisheria Rudisha sehemu ya sheria lugha peleka sehemu ya lugha... Hem wacheni mambo haya msijifanye mnajua sana lugha wakati mtume alikua fasaha kuliko yeyote.. Sasa mambo ya mafuhumu mukhaalafa mmeanza kujua ninyi leo.
SHEIKH JINGA HILI KWELI. SWALA SIO MARHALA KUANZISHWA BAADA YA SALAF BALI SWALA NI KUANZISHWA KISHA WAANZISHAJI WAKAITAKIDI NI IBADA. Wewe SHEHE lini utaelewa, akili yako ndogo sana kuliko ya mende. KILA SIKU UNAAMBIWA TOFAUTISHA KUZUSHA WA JAMBO KISHA WATU MKASEMA NI IBADA.
Unaongea vizuri tena kwa vituo na pia unaeleweka lakin kwa mwenye maarifa anajua sasa huendi tena kielimu sasa nahisi unatuabisha sisi tunaochota elimu kutoka kwako mzee