Тёмный

UFUNDI WA SHEIKH MZIWANDA AKIIELEZEA BID'AA - SHEKH MZIWANDA 

SHEKH MZIWANDA ONLINE TV
Подписаться 2,4 тыс.
Просмотров 3,6 тыс.
50% 1

UFUNDI WA Shekh mziwanda akizungumzia bid'aa#twariqa online tv

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 29   
@yusuphomary7410
@yusuphomary7410 Месяц назад
Sheikh Muharam Mziwanda ALLAH akuongoze uendelee kutufundisha zaidi.
@ramadhanitwahili6837
@ramadhanitwahili6837 4 месяца назад
sheikh mziwanda ulivyo viongea vyote ni vizuri na asiekuelewa uyo atakua mbinafsi.
@shabanimwinyiwiwa754
@shabanimwinyiwiwa754 4 месяца назад
Ufanisi mkubwa sana wa maneno Hamdulillah allah kutupa katika huu umma Shekhe na mlezi wa Masuf
@seifsalum3018
@seifsalum3018 3 месяца назад
Kwel al imam shafii hakukusea masufi ni mapumbafu hayana akili hata kidogo
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 4 месяца назад
Mashaa Allah hakun wahabi alosom zaid yk never ever wote kazi upingaj tu wao n ufitinishaj na malumabn hawana elimu hat moja
@shabanabdullaziz9934
@shabanabdullaziz9934 4 месяца назад
SHEIKH JINGA KABISA HILI - Sasa mmeanza kubadilika ktk qauli zenu.
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 4 месяца назад
Kauli ipi kabadili au ujinga unao ww kwaua huelewi anachokisema. Nadhani unaelewa anachokisema ila ujinga umekutangulia
@rushu1232
@rushu1232 4 месяца назад
Kuwa nailmu nakusoma Macca au Madina haimanishi kuwa ndio munashinda watu waulimwengu wote tafauti ufahamu wenu ni mdogo na haina baraka sikikia ilimu yenye baraka naijaza huyu sheikh Mziwanda.
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 4 месяца назад
Sheikh Mziwanda Rudi katika Haki Umri unaenda Acha Kutetea Bid'aa Kwa kuzungusha Zungusha Maneno Bid'aa ni Bid'aa tu
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp 4 месяца назад
Kwa iyo natukiazini ktk sala ya jeneza au sala ya idi nisawa mbona nia mzuri tu
@user-ju1iq1pu3i
@user-ju1iq1pu3i 4 месяца назад
Ikiwa sheikh Hali hiyo ,wanafunzi watakuwaje ,ni aibu Kwa mtu mwenye kujinasibu kuwa na ufasaha wa kusema ,kutetea Bidaaa
@MkindiJujan
@MkindiJujan 3 месяца назад
Kwakua hadhira ni tupu uwezo mdogo ktk dini basi anatamba anavyojisikia Lkn anachokifanya ni balbala uwongo na khiyana fundi wa kugeuze na kupindua maneno Muhim ni hicho cha Hao wenye kukusikiliza wasome nandipo watakapo bainimiwa na Haq hiyo mnayojitahidi kyificha3
@AdamRajab-xd3zg
@AdamRajab-xd3zg Месяц назад
Elimu yako ya dini imkufkisha hapo
@user-bp6fb6wo5u
@user-bp6fb6wo5u 4 месяца назад
Wewe ngoja mzee wa kazi shkh Abuu Khaula Albajuny kiboko yako atume vimondo!!! 😂😂😂😂 ukiskia jina hilo unatetemeka tumbo mziwanda!!! 😅😅😅😅
@abuumansoor
@abuumansoor 4 месяца назад
Kalaga bao na ujinga wako....Tunamshukuru Allah kuwa Masalafi...Sisi tunaona unapuyanga!
@shabanimwinyiwiwa754
@shabanimwinyiwiwa754 4 месяца назад
Unaelewa kitu gani sasa
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 4 месяца назад
@@shabanimwinyiwiwa754 Hawaelewi chochote zaidi ya mawazo yao na itikadi yao tu.
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 4 месяца назад
Wewe mtu mjinga hutamuelewa hao mashehe zako wajinga wanamuelewa anasema Nini ila ww huwezi kumuelewa wkt hao mashehe zako wenyewe wa kiwahabiya ujinga ndio unawasumbua lkn wanamuelewa anasema nini
@huseynmaitaya9002
@huseynmaitaya9002 4 месяца назад
Muongo we , kwanza sie hatusemi kusoma kwa njia ya marhalah ni ibada tofautisha mambo wewe , wala hatusemi asie soma kwa njia ya marhali ni mkosefu kama mnavyo sema nyinyi katika maulidi kua ni ibada na kukufurisha watu wasio yaadhimasha kama nyinyi
@user-ix3pl1ey6n
@user-ix3pl1ey6n 4 месяца назад
Yan Bado huja muelewa abudu haulla
@Harunery
@Harunery 4 месяца назад
Huu ndo ufundi 😂😂😂kashabomolewa kakimbia barazani
@allywaziry6419
@allywaziry6419 4 месяца назад
Sheikh mjanja mjanja..
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 4 месяца назад
Namba alishatoa Mwambie Shekh wako Kama anajiweza aandae mnaqasha tuone ukweli upo wapi akhi na elimu itajipambanua yenyewe.
@Ochuminho
@Ochuminho 4 месяца назад
Mnavyokosea ni kua hua mnatumia akili kuliko nukuu ya kisheria, kama itakua akili haikubali japokua ni sheria hamuikubali... Kukiwa na jambo la kisheria Rudisha sehemu ya sheria lugha peleka sehemu ya lugha... Hem wacheni mambo haya msijifanye mnajua sana lugha wakati mtume alikua fasaha kuliko yeyote.. Sasa mambo ya mafuhumu mukhaalafa mmeanza kujua ninyi leo.
@AminCoaf
@AminCoaf 4 месяца назад
Kwa maelezo hayo bakwata kwenye mwezi wako sawa?
@shabanabdullaziz9934
@shabanabdullaziz9934 4 месяца назад
SHEIKH JINGA HILI KWELI. SWALA SIO MARHALA KUANZISHWA BAADA YA SALAF BALI SWALA NI KUANZISHWA KISHA WAANZISHAJI WAKAITAKIDI NI IBADA. Wewe SHEHE lini utaelewa, akili yako ndogo sana kuliko ya mende. KILA SIKU UNAAMBIWA TOFAUTISHA KUZUSHA WA JAMBO KISHA WATU MKASEMA NI IBADA.
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 4 месяца назад
We ni mtu mjinga ktk ubora wake
@AdamRajab-xd3zg
@AdamRajab-xd3zg Месяц назад
Jinga n ww soma kwanza acha chuki
@abuunaraimansalumal-shaib9260
@abuunaraimansalumal-shaib9260 3 месяца назад
Unaongea vizuri tena kwa vituo na pia unaeleweka lakin kwa mwenye maarifa anajua sasa huendi tena kielimu sasa nahisi unatuabisha sisi tunaochota elimu kutoka kwako mzee
Далее
УДОЧКА ЗА 1$ VS 10$ VS 100$!
22:41
Просмотров 364 тыс.
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Просмотров 84 тыс.
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
2:40
KWANINI TALAKA ZIMEKITHIRI*" SHEIKH  MUHARAM MZIWANDA
1:28:56