Mkurugenzi wa Chuo cha Utangazaji na Uanddishi wa Habari UBA. Amehudhuria sherehe za ukaribisho na ufunguzi wa chuo kwa mwaka mpya wa masomo leo tarehe 7/10/2024
Na kuwataka wanafunzi wazingatie masomo ilikutimiza malengo yao katika taaluma ya Uandishi wa Habari.
Alikadharika amesisitiza wanafunzi kuwa na nizamu na utii kwa walimu wao.
14 окт 2024