Mungu mwenyezi Hatubariki kabisa kwa kazi ambayo tuko naji toa kwa kumutumikia , wimbo hizi ni bendera zangu n'a inuaka kila Siku . Mimi ni PAPA JEFF hapa Congo katika taune ya Kolwezi Jimbo ya Lwalaba . N'a penda ku gawanya na nyinyi habari jema pamoja . Please kwa namna ya mimi kwandika katika lunga tukufu la swahili , nina tatizo kwandika nazoea french . Isikilivu wema .
Halleluiah! May God bless each one of you members of Ufunuo Choir; your singing is of another level! May you continue praising and worshiping the Almighty God through His Holy Word like you do. Asanteni sana sana sana kwa kunibariki kwa nyimbo zenu nzuri na zenye jumbe maridhawa! Mungu aendelee kuwainua kutoka utukufu hadi utukufu mnapoeneza Injili yake!🙏