Hiyo ni kilainishi tu. Waweza hata kukadiria tu. Swali la msingi kwa Mwl tunapataje faida hapa? Maana miche inayopatikana hairidhishi hata gharama za mafuta..!!
Mkuu kwa vipimo hivi bado nina swali kwako. Napataje faida kwa formula hii? Mbona nimejaribu nikajikuta nimeangukia pua Mkuu? Naomba kama kuna namna ya kuboost ili nijikwamue nielekezwe
Yaan ili upate faida apo lazma upate vitu kwa bei ya jumla na utengeneze vitu ving ila kwa kutumia vitu kidg ningum kuona faida masna unanunuwa kwa bei ya reja reja