We have come along way, from Misri (Egypt) of legend, down the Nile valley, past the first blue and white Nile intersection, beyond the prime body source of the Nile in lake Victoria to the GREAT LAKES region----we are a great people, great stolen civilization and greater problems today....
jamani isiwe afrika ni shamba la wazungu kujivunia mazao kwao ila lazima viongozi wakae waweke bunge moja kuu la afrika yote kila nchi rais wa nchi urais wake inabakia nchini kwake pale anakuwa kama mbunge ili wazungu tuwashinde
Ole kwa wazungu wa American na France kutatiza inchi yetu ya Congo...yote tunaona ginsi wanatumiziya Rwanda na Uganda ile wa Congolese wa kose salama...
Mon frère un jour tout va changer nous les congomani nous sommes tres genti et nous sommes les peuples de Dieu au qu'une puissance du monde qui peut vainqueur les peuples de Dieu
umoja wa afrika ekuas AU ama nchi zote za afrika lazima zikae pamoja na wawe wakeli waondoshe migogoro yao isiwe kila kitu tunategemea wazungu pia iwe vyanzo vya migogoro vichunguzwe kwa hataka ili tafauti ziekwe sawa kwa haraka vingozi wa afrika mumekubali kuwa Marais lazima mushirikiane. bara letu la afrika migogoro isimamiwe na maendeleo yaonekane ila ushirikiano ndio kila kitu hii migogoro hadi lini ? lazima mushirikiane pia iwekwe taasisi moja kubwa ya kijeshi yenye kulinda maendeleo ya afrika yenye makao makao makuu ya kudumu kama wenzetu wazungu
Ni hv tuache ujinga na propaganda za kuwa chini ya mwavuli wa nchi za magharib,kiukweli waafrika tunasalitiana kwa matumbo ya watu wachache,hili ni game au ni usanii,amani ya kweli ni ssi wananchi kupinga huu ujinga endelevu