Shalom kuhani wa Bwana,nimeota ngombe 2 mkubwa na mdogo wanakula madhabahuni kanisani tena wsmejengewa hapo,alafu nikaona kanisa zima kumemwaga kile kinyesi chao mpaka ofisi ya mchungaji na eti na mm nikatafuta ufagio nikawa nafagia kile kinyesi nikasema mbona ni pachafu hivi nitamaliza mwenyewe kufagia kweli?nikatupa ule ufagio pale chini nikaondoka,
Bwana asifiwe mm nimeota Ng'ombe imeanguka ndani ya shimo kubwa na imekufa kidogo to nikaona amekufia tena kwa nyumba yetu lakini kwa kichwa ilikuwa imeng'oka manyoya akabaki white