Asalam alaiko shehe mimi nimeota nimepata juu nimenyoosha mikono juu nikisoma izaja nasurullah walfatuhu mara tatu na juu nikaona mionzi ya ajabu inaingia mikononi mwangu sasa nifanyaje shehe wangu
Asallam allaykum manshallah sheikh allah atujalie wote tue minnal fahidhina mbele ya allah nilimuta dada yangu alitangulia akherah muda akiwa katika hafla ya watu nililisikia sauti yake ndio ikisoma quroan ila sikujua ni sura gani
Aslm alyekum mie mara nyingi naota kunakitu kibaya kinataka kinifike kisha nataja majina ya Allah kwenye usingizi hatimae nashinda mie katika hiyo ndoto
Shekhe Mimi kunamaneno matatu ya Aya zakuruani Dio uyaota na ujirudia mara Kwa mara lakwanza ni Laila haila llah muhamada rasulu llah ni nikitaka ivyo uwa naona kitu chashuka kutoka mbinguni mfanowake nikkama msikiti neno lapili utamka usingizini hasbiallau wakafa Laila haila llah muhamada rasulu llah hilineno nililitamka majuzi nikiwa usingizini chanzo chakulitamka niliona msikiti wadhabu unashuka kutoka magharibi nakuja kusimama jaribu yangu neno latatu ni subuhana llah hii nimeitamka Leo usingizini nimeota Niko namimba kubwa na Niko mama mzazi ambae amefariki namtoto wadadaangu nilikua namtumia vitu yule mtoto wadada kabila sijamaliza nikamuona Jini nikatamka ilineno subuhana llah Jini akapotea Sasa naomba ufatanuzi wako shekhe sinaamani kwakweli
Asalam alayqum warakhmatullah wabarakatuh,shekh mimi nimeota surat-maida aya ya 44,ina ashiria Nini ? mana nimeisoma lakini sijaielewa,naomba unieleweshe
MUNGU anataka umshkuru kwa Neema anazokupatia uwe na Amani ju yake na yeye ndio umuabudu ALLAH (AS) Muunba wa Mbingu na Ardhi wala Usimshirikishe na Chochote na yeye ALLAH ndo atakupitisha kwa njia yake ngumu na yenye mitihani mizito yakuingia Peponi ila kwa wale watakao muabudu na kumuomba Halas
Maana yake umearifiwa na Allahu Subhana Wataallah uisome dini yake usipotoshwe na yaduniani uisome Quran na umdhiri yeye Allah na uamini kua ukitakacho kiko ndani ya Quran tukufu na uifate Quran tukufu basi utaongoka na yote yanayokuhadaa na shida za duniani
Inamaanisha Quran iko ndani ya damu yako uisome na umuombe Allah Aleyhi wasalam naye atakuongoa na yote ya duniani na atakufariji furaha duniani na kesho Akhera