Тёмный

UKUU WA MUNGU Ben Nturama KWAYA YA MT GABRIEL MALAIKA MKUU PAROKIA YA SEGEREA DAR ES SALAAM TZ 

KWAYA MALAIKA GABRIEL PAROKIA YA ROHO MT. SEGEREA
Подписаться 3 тыс.
Просмотров 62 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@gabrieledes1541
@gabrieledes1541 7 месяцев назад
Hiii nyimbo kila nikiiangalia hua inanibariki sana❤
@AdrianMgwama
@AdrianMgwama 7 месяцев назад
Hongera Sana nyimbo imebariki sana
@TizomkaliMkali
@TizomkaliMkali 6 месяцев назад
Nice
@kdnambala3820
@kdnambala3820 8 месяцев назад
Hallelujah nimebarikiwa kupitia wimbo huu ❤🙏🏿 Hakika Mungu amenidhihirishia ukuu wake kupitia magumu niliyoyapitia
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 8 месяцев назад
Amina Dada...ubarikiwe sana kila usikilizapo wimbo huu...Mungu akuangaze Daima...wimbo huu ukawe faraja katika maisha yako Amina
@AgaboyNgiymbele
@AgaboyNgiymbele 7 месяцев назад
Hongera mmeimba vzur me solo na pia mpga ngoma mzur npo mwanz naomba nafas
@AgaboyNgiymbele
@AgaboyNgiymbele 7 месяцев назад
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 8 месяцев назад
Asante sana Mungu kwa zawadi ya UKUU WAKE...TWAPATA UPONYAJI HAKIKA .
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
❤❤
@OdileMuyombi
@OdileMuyombi 2 месяца назад
Ongereni wimbo unatuliya kabisa na ni mtamu❤❤❤ naitaji nota.
@frankmhoja2460
@frankmhoja2460 Месяц назад
Kuimba ni kusali mara mbili hakika nabarikiwa sana na hizi nyimbo ...Hongereni sana wanakwayaaa na mungu atubariki sana kwa ukuu wake...mandhari safi ya chuo kikuu dar es salaam video ina quality,saut safii..
@MankaMushi-y1b
@MankaMushi-y1b 8 месяцев назад
Hakika kazi ni nzuri.nyimbo imetulia
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@rosenyachi2277
@rosenyachi2277 3 месяца назад
Hakika Ukuu wa Mungu nitautangaza milele na milele 🎉
@mathiasmateru9977
@mathiasmateru9977 8 месяцев назад
Kazi nzuri sana na inatafakarisha vizuri mno.
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 8 месяцев назад
Amina
@salomemhalule5213
@salomemhalule5213 8 месяцев назад
Hakika kazi ni njema na jina la Bwana lihimidiwe daima, Hongereni sana❤❤❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@ConfusedArcade-hu4hx
@ConfusedArcade-hu4hx 8 месяцев назад
Hongereni na hongera kwa mtunzi Ben nturama ❤❤❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@VenasLujinya22
@VenasLujinya22 8 месяцев назад
Hongereni sana Waimbaji Mmeutendea Haki huu Wimbo. Hongera sana kwa Mtunzi Kazi Nzuri sana.
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina Mungu usiyeshindwa lolote
@clementlugoda7870
@clementlugoda7870 8 месяцев назад
Mungu Atukuzwe, mwanadamu Atakatifuzwe. Hongera sana kwa utume!
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina 🎉🎉
@AdrianMgwama
@AdrianMgwama 7 месяцев назад
Kweli Mungu ni mwenye rehema Anaheimba vizuri amesali Mara mbili utukufu huu unajithirisha umesali Mara mbili
@rabanmwanambesi1482
@rabanmwanambesi1482 Месяц назад
Huuu wimbo umekuja kwangu muda muafakaaa kazi nzuri sanaaaaa sanaaaaa ❤❤❤❤
@Anitaraymusic
@Anitaraymusic 8 месяцев назад
Hakika wewe n Mungu unaye stahili sifa n utukufu🎉🎉🎉❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@eddiezunda1066
@eddiezunda1066 7 месяцев назад
Asante kwa kunibariki na wimbo mzuri
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 7 месяцев назад
Amina
@simonmwanisenga7815
@simonmwanisenga7815 19 дней назад
Asee hongereni sana nyote mpewe mauwa yenu🎉🎉🎉. Mauwa mengi sana kwa mtunzi wa wimbo, despina pamoja organist🎉🎉
@LucasPeter-hd5ms
@LucasPeter-hd5ms 4 месяца назад
Mungu azidi kuwasimamia wimbo ni mzuri by kat Lucas peter mzuka parokia ya Ngokolo jimbo la shinyanga
@reginanankana416
@reginanankana416 8 месяцев назад
Ukuu wa Mungu ni WA mile.❤ Kazi nzuri
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@despinae.mdende
@despinae.mdende 8 месяцев назад
Acheni ni Mwimbie.amenitendea Makuu
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina Sololist wetu...🎉🎉🎉
@JohnSkanda-u8o
@JohnSkanda-u8o 8 месяцев назад
Mpo vidhur sana
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
❤❤
@fransiscodindiri5947
@fransiscodindiri5947 8 месяцев назад
Hatari sana. Hongereni mnoooo
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina Eng....Dindir🎉🎉🎉
@anjelinamdugange825
@anjelinamdugange825 2 месяца назад
Mmenibariki sana, nanyi muendelee kubarikiwa katika utume wenu, hakika nimemuona MUNGU
@jeskalungu9604
@jeskalungu9604 Месяц назад
❤❤ hongereni Sana mmeimba vizuri sana🎉🎉
@matumainimelodies2023
@matumainimelodies2023 5 месяцев назад
Hongera kwa kazi nzuri. Hongera sana mtunzi, hongereni wanakwaya. Mungu awatunze
@GETRUDAWILLISON-je5if
@GETRUDAWILLISON-je5if 8 месяцев назад
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@MarthaKikanka-yc2fo
@MarthaKikanka-yc2fo 7 дней назад
Hakika Mungu anastahili sifa,hongereni sana kwa kuinjilisha kwa njia nyimbo
@NalynPaul-re1bn
@NalynPaul-re1bn 18 дней назад
❤🎧🎤💝💝👌 wimbo mtamu Sana jamaniiiiiiiii daaaaaah,hakika mmejua kututeka mioyo
@geoffreymogendi4241
@geoffreymogendi4241 8 месяцев назад
Wimbo mtamu sana ❤❤❤❤❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina ndugu yetu Mugendi ...Karibu sana...
@audasnzige7404
@audasnzige7404 2 месяца назад
❤❤❤
@tempochoir
@tempochoir 8 месяцев назад
Amina...Hakika Mungu ndiye astahili sifa na utukufu.🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
🎉🎉
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
🎉🎉
@OdileMuyombi
@OdileMuyombi 2 месяца назад
Wimbo unatuliya, nawependa sana❤❤❤ naitaji nota
@ChrisVeronica-xt6sf
@ChrisVeronica-xt6sf 4 месяца назад
Asante sana kwa kumtumikiya Mungu mubarikiwe
@josephmlaponi76
@josephmlaponi76 16 дней назад
Mungu awabariki sana, na neema tele kwa mtunzi Mungu ayakumbuke maisha yako 🙏🙏
@TamasinaChepson
@TamasinaChepson 8 месяцев назад
Hakika kazi nzuri 🎉🎉🎉
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 8 месяцев назад
Amina
@AliceOpinde
@AliceOpinde 6 месяцев назад
Well done
@michaelrimisho
@michaelrimisho 5 месяцев назад
👏👏👏nice one
@PendoJohn-yf1bg
@PendoJohn-yf1bg 7 месяцев назад
Hongera waimbaji kwa wimbo mzuri 1:43
@renatadaniel3789
@renatadaniel3789 Месяц назад
Amina🙏🙏
@bernomollo5741
@bernomollo5741 8 месяцев назад
All the best.Good job...receive my likes from +254.
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Thanks 🎉🎉 Most welcome
@CharlesKaroli-w8f
@CharlesKaroli-w8f 7 месяцев назад
Naipataje kopi yake
@BoaziMathias
@BoaziMathias 3 месяца назад
Kazi nzuri mnoo
@CeciliaMwakanyamali
@CeciliaMwakanyamali Месяц назад
Mambo moto
@ivankahango1845
@ivankahango1845 2 месяца назад
Kazi nzuri sanaaaa
@ZachariaMbango
@ZachariaMbango 5 месяцев назад
Hongera kwa wimbo mzuri Mungu awabariki kwa utume wenu
@pricillapaulo4012
@pricillapaulo4012 8 месяцев назад
Hongereni sana good job ❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
🎉🎉🎉
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
❤❤🎉🎉🎉
@laurentlugema593
@laurentlugema593 8 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
🎉🎉
@eddiezunda1066
@eddiezunda1066 7 месяцев назад
Kinanda umekifanyia haki, nasikia km niko mbinguni
@waromokello
@waromokello 5 месяцев назад
Beautiful
@linetnangati346
@linetnangati346 6 месяцев назад
I love it❤❤❤❤❤🔥
@SalomeThomaso
@SalomeThomaso 8 месяцев назад
Safiiiiiii sana
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
Amina
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 2 дня назад
Duuu
@HusnaPaul
@HusnaPaul 18 дней назад
Hakika Mungu mkuu❤❤❤
@catherinecharles8710
@catherinecharles8710 8 месяцев назад
😋😋😋
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
❤❤
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 8 месяцев назад
🎉🎉
@paulinaluvubu979
@paulinaluvubu979 5 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏
@richardjohn8020
@richardjohn8020 3 месяца назад
ila despina una kiti chako mbinguni
@popla_tz
@popla_tz 27 дней назад
Naweza kupata copy tafadhali
@OdileMuyombi
@OdileMuyombi 2 месяца назад
Ongereni wimbo unatuliya kabisa na ni mtamu❤❤❤ naitaji nota.
@OdileMuyombi
@OdileMuyombi 2 месяца назад
Ongereni wimbo unatuliya kabisa na ni mtamu❤❤❤ naitaji nota.
@OdileMuyombi
@OdileMuyombi 2 месяца назад
Ongereni wimbo unatuliya kabisa na ni mtamu❤❤❤ naitaji nota.