Ushuhuda wako kama wakwangu I was once like you and everyone was telling me that i have to serve God lakini nilikua mkaidi sana ilifika wakati Mungu aliblock kila kitu kwenye maisha yangu hapo ndipo niliamua kumrejelea Mungu nikafunga na kuomba seven days baada ya hapo Mungu aliniambia kuwa sitakiwi kumtegemea yoyote yule isipokuwa yeye tu tangu hapo Mungu alianza ku repair maisha yangu kidogo kidogo and am growing na ninamtumikia Mungu na kumtumikia Mungu haimanishi kuwa lazima uwe mchungaji nabii au muinjilisti lakini unaweza kumtumikia Mungu kwenye eneo lolote lililo halali na kila mtu aliyempa Yesu maisha ni mtumishi mtangaze Yesu dada Irene kumjua Yesu ndo ujanja sasa yani hapo ndo umekua mjanja
Limeinuliwa jina lake Yesu 🙌 Halellujah Hakika wew ni ushuhuda tosha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Na hii ndio maana ya kusema Mungu anawatu wengi sana hajawahi ishiwa🙌. Mungu aendelee kukutunza na ukafanyike baraka ya kuvuta watu wengi sana kwenye tasinia ya sanaa kupitia wew dada. And u will be among the richest women of God in Tanzania in Jesus name🙌
Hakika nimebarikiwa sana na huu ushuhuda!! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Ninatamani sisi tulio elewa huu ushuhuda tumuishi Yesu kwa aşılımia 💯 kuna raha na amani ndani ya Yesu!!
Hakuna raha kama Mungu akikupenda jamn,its a honour in this universe, your blessed dia so blessed ,sijui kama unanielewa,Hongera n never give up n go back,keep moving Cz God will give u a backup
Waoh huyu ndo Mungu wangu naemjua , Mungu si wa watu fulani fulani bali ni wa wote anawaita unqualified na kuwa fanya qualified to His kingdom.hallelujah.i love you ❤
Neema iliyokushukia ni kubwa mno.Amani ya Bwana iwe rohoni mwako daima.Umechagua fungu lililo jema sanaaa.I really learn and proud of God for His chosen person Irene.Endelea kuwa mtendaji kwenye mavuno ndani ya shamba la Bwana.
Hongera sana mtumishi, karibu kwenye ufalme wa Mungu aliye hai ,ushuhuda wako unagusa sana ,na Kwa ushuhuda huu wengi wataokoka ,hicho ndicho ulichitiwa
Endelea Mbele hajalishi kutakuwa na changamoto Gani ,hata Mungu alimwambia Musa awambie Wana wa Israel waendelee mbele wasitazame nyumba,najifunza vitu vingi sana inanifanya kumuona Mungu hatuwezi kumuweekea mipaka,yeye anauwezo wa kufanya chochote kama apendavyo,sisi ni vyombo vya Mungu anaweza kutumia chombo chochote akipendacho yeye,Ireni nakupenda sana
😭😭😭Your blessed ,Umebariki wengi kupitia huu Ushuhuda.Endelea Mbele Songa Mbele Mwenyezi Mungu hawezi kumuacha Mtumishi wake aibike,Endelea kumtumikia Mungu njia uliyochagua ndio nzuri kuliko vitu vyote Duniani.
Haleluyaa,yaani nakuonea wivu sana, MUNGU amekupendelea sana wewe ni chanzo cha wadada wengi kumrejea MUNGU ubarikiwe sana wewe na uzao wako kwa kusimama ktk nafasi aliokuitia Mungu,hakuna tena utumwa wala ukimbizi peperusha bendera. ya YESU matokeo yake ni makubwa mno,karibu sana kwenye fungu Jema, God protect you
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Irene, ni maombi yangu kwa Mungu kwamba asikuache na wala usirudi nyuma, roho mtakatifu azidi kukuongoza uzidi kumtumikia, kupitia wewe Wengi wapate kumjua Mungu, Haleluya.
Barikiwa dada erini ushuhuda wako umeniliza sana mungu anakupenda sana hakutaka akuache upotee umepata neema kubwa sana usiipoteze ata kidogo atazidi kukufungua❤️❤️
Mm mweyewe najiona kama irene ntafuata moyo wng ktk kuwa mwema kwangu ,Wallah nimejiona mm kupitia huyu dada ,ngoja sasa nkatafute panadol nimeze mana si kwa kulia huku mwanzo hadi mwisho wa interview yk,Mungu atuongoze wote
Im from burundi🇧🇮nafurahi kumuona Irene mpya 😭😭😭❤❤❤Mungu azidi kukubariki sana dadangu Irene umenikumbusha upendo wa Mungu lakini testimony yako itawasaidia wengii ....Mungu azidi kukutia nguvu ya kumtumikia🙏
Yule mama aliyepiga kelele na safari ya Irene aje kusiliza huu ushuhuda wake ...kasema hana kanisa na yeye bado sio mchungaji lakini an kitu cha kuwaleta wengi kwa Kristo hasa mabinti...ana kitu cha kuwaambia na wakawa na ile hamu au hari ya kuja kwa Yesu ...Mungu ana njia zake za kuwafanya watu wamtumikie sio mpaka uoge uoshwe sijui ujitakase ndio utumike...Mungu anajua namna gani anavyorehemu amtakaye ili aweze kuwa wake..hongera sana Irene songa mbele mwanangu kwa ulichoamua ni cha thamani kuliko ulivyowahi kuvimiliki maishani kwako
KWAKWELI NMEKUPENDA BURE IRENE WANGU.ALLAH AKUONGOZE.MIMI NI MWISLAM NINA IMAN YANGU LKN NMEKUSIKILIZA KWA MAKINI WW NI MKRISTO ULIOSHIBA YA DUNIA.UENDELEE KUKINAI YA DUNIANI.MANA DUNIA NI MAPITO.UBAKI KUMTUMIKIA MUNGU.NI KWELI TUMELETWA ILI TUMUABUDU MUNGU ❤. MUNGU AKUTUNZE❤❤❤❤❤POLE KWA MAPITO.HUJACHELEWA
I Love You Irene👏🏼Hongera sana kwa Kumtumikia Mwenyezi Mungu ushuhuda wako umezidi kunibariki sana sana sana your Blessed God Loves you so Much🙏🏿songa Mbele Endelea kusonga mbele
Hongera Irene ,Mungu aendelee kukisimamia hakika umekuwa ushuhuda kwa wengi, nashauri uweke namba ya simu kwa ajili ya michango kwa watakaoguswa kuchangia huduma. Binafsi nimeguswa mno na ushuhuda wako na naamini Mungu aliyetenda kwako atatenda kwangu pia ,Amina.
🙌hongera sana sana sis Mungu akujalie kusonga mbele usirudi nyuma Mungu ni wa wote wenye mwili na humchagua yy amtakaye ili amtumikie songa mbele kazana umenivutia jambo limenigusa sana kweli Mungu hana special🥰🙏tuombe ndugu zako ktk Kristo🙏
Dada irene mungu akubariki sanaa hata mm nilisha kuona sana kwenye ndoto nikawa nawaza nakupataje je utanielewa hatanikikuona lakini nashukuru mungu amekuokoa.andelee kukutetea.
Alellujah madam Irene mungu aliekuita kumtumikia nq Mimi aniweke katika nafasi hii kwa jina LA yesu mungu akuzidishe weww uwe mfano kwetu na kwa watoto wetu Amen❤❤🎉🙏🙏
Wewe ni ushuhuda halisi wa Mungu anamchagua yeyote kwa kazi yake, na kila kitu kina kusudi kinapotokea kwenye maisha ya mtu,ulitengeneza njia ili na wengine tuzidi kuamini na tuache kujihukumu na tumuamini Mungu kwa ajili ya kazi yake. Hongera kwa kuwa taa ya mabinti wengi wanaotakiwa kutumika katika ufalme wa mbinguni, barikiwa sana mtumishi wa Mungu, keep pressing on.
Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪
What an encounter 👏 Wow Glory to Jesus. You even had a chance to meet Prophettes Bebe Angel wow. Kwa kweli Mungu akimbiwi. Me ata ukianzisha kanisha sishangai. God can do all things
Amen God bless na azidi kukuonekania katika safari yako hii ya wokovu uliyoianza na azidi kukupa ujasiri wa kuzidi kusonga mbele......I pray for you in this journey uliyoianza ya Huduma na wokovu
Mungu akubariki sana Iene kwa kuitikia wito wa Mungu ili uwe daraja kwa wengi. With God, surely you are going far girl 🙌 . Asante kwa ushuhuda mzuri na very inspirational
😢😢😢 Bwana Yesu ni mzuri sanaaaa, Namemuona Mungu tena na tena kupitia huu ushuhuda. Bwana Yesu Asante Kwa haya matendo yako Makuu. Bwana Yesu aendelee kutukuzwa kwenye maisha yako mapya ya wokovu mwana wa Mungu
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Wengi watakubeza, watakucheka, watakudharau, watakukashifu na mengi mengineyo. Ila njia uliyochagua ni njema na sahihi. Mungu aendelee kukutunza na mwisho wa siku tukutane paradiso
Ireen umechagua jambo jema sana,sitamani hata kidogo urudie yakale uliyo yaishi kabla ya kuitwa na Mungu.Mungu akutunze sana asikuache hata hatua yako moja awe na wewe daima.Sijajuta kukusikiliza mtumishi wa Bwana.Barikiwa sana.
Powerful testimony Irene,He that started a good work in you shall accomplish it for his own glory,keep soaring higher,Jesus is proud of you,Sisterhood is proud of you❤
Jamani Mimi nashukuru Mungu juu ya maisha yako Nakupenda Sana dada Irene since way back hakika Mungu anawajua walio wake naalikujua kabla haujazaliwa Mungu akubariki mnoo
Hongera sana mtumwa wa Mungu,lipo kundi kubwa la vijana wataokoka kupitia wewe,,Mungu aendelee kukubadilisha uishi utakatifu wa ndani na nje,uwe natural natural kwa kila kitu.Mungu Akutie nguvu.
Nyieee mwachen Mungu aitwe Mungu,nmelia machiz ya furaha na kujifunza meng kupitia hili, Mungu akutie nguvu usirud nyumaaa thanks God kwa ajili yako❤❤❤