Kwani wewe huijui siasa? Kazi ya mwanasiasa ni kumpa matumaini mwananchi anapokosa matumaini kwamba matumaini yapo hata kama yeye mwenyewe hana matumaini !!
huyu ffiisssadii papa jk hana shida ys umeme anajeneretabkubwa kuriko lolote africa anaongea nini mpotoshaji huyu mbona wakati wa mwambs jpm alijificha???