Hawa mashetani wa kijani ccm na awamu yao ya dhuluma wamekataliwa na Mungu! Hivyo wapo kulazimisha mambo yaende kwa kutumia nguvu ya dola! Mungu awalaani ninyi watawala viongozi waovu na vizazi vyenu! Ameni.
Acha kupingana na watumishi wa Mungu Kuna mengine wanapewa ili wayasema ili watu wajirekebishe Kuna mengine wanapewa ya Siri. Suruhisho ni kurekebisha sio kukosoa watumishi.
Mimi naamini kama umepewa unabii na Mungu unatakiwa uombe wewe haswa. Wengi yakishstokea mabaya ndio wanaanza kusema tuliona. Kwa nini usiiombee nchi wewe mwenye huo ufunuo??
Acha uwongo wewe usitafute umaarufu tutabilie mambo ya Gaza na Israel wewe mbona hujazuia watu kutenda dhambi kanisani kwako acheni ushabiki mkisikia mitandaoni mnashika mic mnatabili chukua kadi ya chadema uingie kwenye siasa