Hii kitu kweli zanzibar saizi kumejengeka sana yaani kunazidi kujengwa majumba ya kifahari barabara nzuri na haijawahi kutokea unabii huu ni kweli kabisa ❤
For the first time i meet a real and genuine prophet in Tanzania, sina maana wengine hawapo ila sijawahi kukutana na hata mmoja kwa maana walio wengi tunaowajua na wenye majina sio watumishi wa kweli wa Mungu.. Im so grateful kukujua na kuanzia leo nitaendelea kukufuatilia na kujifunza zaidi kutoka kwako.
Mungu amejibu Maombi yangu ya Janary 2022. Nilipata mzigo wa Kuombea Kanisa la Tanzania na huduma 5 na kipekee sana huduma ya Kinabii. Nikamwambia Bwana fichua Manabii walioko underground waonekane na Tanzania iipokee hii huduma ya Kinabii. Napita pita zangu RU-vid kucheki kuna nini cha Kinabii for the yr 2024, mara paap Prophet Edmound. Wengi wengi mwaka huu 2024 watajulikana. Since then, I have seen the prophetic ministry in Tz, growing in an unusual way. Thank you Lord Jesus
Hao ni manabii wa uongo ambao Mwenyenzi Mungu alishasema katika siku za mwisho watajitokeza sana!.pia tambueni kuwa mungu awezi kuwafanya washirikina na wazinifu na wanaotembea uchi kama wauza bar kuwa nabii. Hawa ni wasaka tonge na wezi wanaotumia biblia kujipatia kipato kwa watu maskini kwa slogans ya upako na miunjiza.hakuna nabii yeyote aliyeabudu miungu mingi yaani 1+1+1=1 where did you getting this devil worshipping? ITS really devil philosophy,while all the prophets waliabudu mungu mmoja.From the first prophet Adam and the last prophet Muhammad...
@@Juma-qd5eq Juma jnabii waachie manabii wa Mungu. Wewe kama huamini kaa kimya. Maana haya aliyosema Nabii Edmund lazima yatatokea. Waliotoa unabii wa Raisi ajaye wa Kenya mlionaje. Acheni kuandika kwa vile mna midomo. Maana awazacho mtu ndicho kimtokacho.
Mtumishi Mimi naitwa EMANUEL DAVID.....Kuna ndoto niliota ...niliona jeshi la nchi yetu lime kusanyika na katikati ya kusanyiko hilo kulikuwa na jukwaa lililo pambwa vizuri lakini likiwa halina msemaji likiwa tupu
🙏🙏🙏🙏🙏,ee mungu zidi kumfunulia mtumishi wako uliemchagua,jina lako liinuliwe kupita majina yote,ninavyosikiliza unabii huu moyo wangu unasisimuka,mungu ibariki nchi yako Tanzania ikumbuke
Uzinzi umewaangusha watu wengi sana..na ndio siraha ya shetani kuuua ndoa za watu na nyingi zimeshaanguka....tumtafute sana MUNGU maadamu anapatikana,tumuite yeye maadamu yupo karibu
Hawa manabii wa uongo wamejazana sana Tanzania na hii ni dalili ya kiama, hii ishu kaitengeneza kiakili kwa mtu msomi ataelewa pia kuna shida ya kuabudu miungu mingi hapo ndipo mnafeli.
@@RastaSumasi wanakusanya sadaka tu hawa, maana akishatamka hayo watu wanakimbilia huko kusikiliza na kutoa sadaka ndo utawaona wao wanakula na kushiba matumbo hayo yamevimba kama nini kumbe sadaka za watu😂 Tafakarini wanadamu wenzangu mi namwamini MUNGU pekee .
Kwa watu wenye elimu ndogo watasema hivyo lakini watu wenye elimu ya Mungu wa kweli aliyeumba mbingu saba na ardhi saba na viumbe vyote kwa uwezo wake asiyehitaji msaada wa viumbe.Nasema huyo ni nabii wa uongo kama alivyosema Mwenyenzi Mungu kuwa siku za mwisho kutakua na manabii wa uongo.
Unaesema.bandari unajichosha tu dhambi inaharibu uchumi wa nchi.Elia.alimuambia.ahabu mvua.haitanyesha isipokuwa.kwa.neno langu.jamani.kama.tunaona.dhambi inazidi tusiwafariji watu njaa kubwa.magonjwa makubwa vita uchumi wa dunia.kwa.heri
Yeremia 14:14 Ndipo Bwana akaniambia, Hao manabii wanatabiri uongo kwa jina langu mimi; mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru, wala sikusema nao; wanawapeni unabii wa maono ya uongo, na uaguzi, na neno la ubatili, na hadaa ya mioyo yao. 😢😢
Ubarikiwe ndugu philipo Justine, Mathayo 24:23-24 23 Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki. 24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
😂😂😂😂😂😂 wanashindana na wanasiasa hao. Kwani hasa hivi nabii wanaijua maana yake au kukurupuka na kujiita nabii. Tumuogopesa sana Allah. Halali wa hasinzii. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Walahakuna anayefanya naye.
@@glorynguma3593 ,,sasa Quran ushaongea hayo yote,, ila sasa mim cwez kuongea namuogop Mungu kujitangaz mim ni Nabiii daaaah hiyo siwez ,,sabb naona kabisa napingan nae !!!
Ila Watumishi wa Mungu mtambue dunia imebadilika acheni kuwatembelea hata kukutana nao mbali na eneo la huduma watu hawa hasa wasio na wanaume. Jamani kesi nyingi zimewakuta watumishi wa Mungu Mungu atusaidie. Halafu mnapogombana mkamalizaneni huko au ukipewa mafunuo kwa mtumishi mwenzako muite muonye maana maubomoa mwili wa Kristo ndio maana watu wanasema duniani hakuna manabii wala wachungaji hasa madhehebu ya Kipentekoste. Watu wameacha kuwaamini ila ni kwa sababu mnajibomoa wenyewe. Tizama Katoriki ikitokea Mpakwa mafuta akakengeuka anaitwa kwenye vikao vya siri na hata ikiwezekana vaticani hiyo yote ni kulinda mwili wa Kristo usichafuliwe. Mungu atusaidie.
Kuhusu kitambaa cheupe niliwahi sikia aliweka sadaka ya damu ya mnyama so inaweza ikawa kweli Mungu azidi kukutumia Na kuhusu Riverside inawezekana maana wanawake wanajiuza hazarani tena hadi aibu aiseee Mungu atusaidie.....
Ni keli kabisa mungu wenu waislam, siyo mungu wa wakriato. Kwan nyie mnaabudi na mapepo kama majini lkn wakristo wanamwamini yesu na Kam njia pekee ya kwenda mbinguni
Haya ni mawazo ya kawaida tu kwa kuangalia mambo yanayoendelea Zanzibar na Bara kwa sasa. Vitu hivi vinaonekana wazi ingawa kuna nyongeza ya chumvi kidogo.
O lord have mercy up on your Nationn of Tanzania 🇹🇿 Have mercy up Us Lord I am hurting in my spirit this is so painful to the Body of Christ I am ready to save the Living God YAHWEH in Jesus name
Nimeona maono mara mbili Kwa wakati tofauti,lakini ni ndoto inayofanana..kiufupi,Watu watataharuki...Ni tafaruku ,Watu wakuu,wakikimbilia kwenye nyumba ya Maskini nakutafuta hifadhi,Watu wa meza Moja wakatengana,Maafisa wakuu walio na miguu,Sasa wako kwenye viti vya viwete,wote wakitoka katika nyumba hiyo iliyofanyika kama kimbilio,na kutafuta pa kukimbilia,...Mauaji yakifanyika kati Yao na Watu Wengi wakikimbia makazi Yao..Kisha nikaona kiongizi Fulani AKIWA ameinama kichwa Kwa masikitisho...Hayo ndiyo Mungu aliyonionyesha.....Maji yaliyo mengi yameebea juu ya nchi.Yesu atusaidie.
Sema gwajima namuona sana kwenye hii nchi kupewa kwa mshangao mkubwa sana,kwa utabir huu namuona makonda kurud chini tena na gwajima kupanda mara dufu mmmh!