Acha mwenyezi mungu uongezeke maishani mwangu pamoja na familia yetu tuondelee aibu ,kudharauliwa, umaskini na utubadilishie maisha yetu tuache kuchekwa mungu baba maana yote yawezekana katika jina kuu la bwana Yesu kristo 🙏🙏🙏
Nipungue mmi Mungu ongezeka kwenye masomo yangu level yangu nimake it to C2 from B1 . 🙏🙏🙏🙏Pia mambo ya dunia abortion 😔 nipungue ongezeka kwenye roho yangu Mola 🙏🙏kila mtu ananiona kwa kosa moja .🙏🙏kwako naomba msamaha na baraka .Nimepungua 🙏🙏❣️❤️🙏🫂🫂🫂moyo wangu umevunjika .Am only 19yrs 🙏🙏🙏take over my life Christ 🎉🙏🙏🙏🙏🫂🫂🫂🫂🫂change me
There is no sin that God cannot forgive, if He forgave Saul who killed Christians ruthlessly converted him to Paul and made him one of the mightiest apostles, even that which you think He can't forgive He forgives, just go to Him with an honest, repentant heart and sin no more. He says, if my people who are called by my name shall humble themselves, pray and seek my face and turn from their wicked ways, then I will hear from heaven, forgive their sins and will heal their land (2 Chronicles 7:14), God is a rewarder of those who diligently seek Him (Hebrews 11:6) and He makes everything to work together for good for them that love Him and are called according to His purpose Romans 8:28, I know exactly how you feel❤, I've been there, done that but I went to Him with all my sin, pain and guilt and asked Him to forgive me, heal me, restore me and use me for His glory. He has made a beautiful story out of my brokenness; He has made everything to work together for good🥺. Don't loathe and isolate yourself in self-pity and guilt, go to Him, cry to Him, repent ask Him to make His strength perfect in your weakness, I pray that He may use you for His glory and you'll come back here to give your testimony🙏. God sees your heart, faith and courage, keep striving🫂
Mungu wangu mimi nipungue, wewe Uongezeke katia maisha ya ndugu yangu Rasto Alusa, Mungu ongezeka katoka afya ya Rasto Alusa. Uinuliwe katika afya ya Rasto Alusa 🙏🙏
Mungu wangu uongezeke sana kwenye maisha ya mwanangu, uongezeke katika elimu yake, afya yake , Mungu uongezeke katika imani yangu nami nipungue Yesu wangu hata milele na milele Yehova
Leo tarehe 29/11/22 Mungu mimi nipungue,wewe uongezeke katika maisha yangu,katika matumaini yangu,unaniinua vyema yesu, Give me strength Lord, Give me the right Man for Me. Hallelujah!
MUNGU MKUU atupe utulivu ndani ya mioyo yetu atupoze majivuno atupoze usisii tumuishi na turuhusu atawale ndani ya maisha yetu 🙏❤️ajae yeye alie MUNGU MKUU ndani ya maisha yetu
Hacha Mungu wangu uongezeke ndani ya maisha yangu.ndani ya uzawo wangu ndani ya jamaa yangu sisi tuwe chini Yako baba.asante mana utatuwezesha katika yote ndani ya maisha yetu🙏🙏
Lord may you increase as i decrease....lord i need your intervention in my life,my family...lord I'm tired of being employed,,Lord i need a business i can call mine🙏.. please God hear my cry .. increase in my family, may you increase in my business...God of jacob hear out my cry🙏🙏
Almost delivering with no hopes of money anywhere my husband is jobless milango yake ilifungwa,nimebeba twins sina pesa ya cs ama ya kununua ata nguo moja but I trust God😭😭😭
Ongezeka kwenye maisha yangu kwenye ndoa yangu. Watoto wangu ongezeka kwao na kwa mke wangu nae ongezeka kwake akutambue wewe ndie unae ongeza. Uinuliwe sanaaaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
He must increase but I must decrease. Lord help us trust and have faith in you because in your presence we're safe. May the blood of our Lord Jesus Christ be upon your people
Mungu ongezeka kwenye maisha yang familia yang biashara yangu ikawe yakimataifa wanaonicheka nakunidhihak kuwa nmeshndwa Mungu naomb ukaongeze kwa zaid mimi nipungue Mungu wang niondolee aibu fedhea ninayoipata kwa sasa Amen
Mimi nipungue Jehova,,,ninamchungu mengi katika moyoo wangu,,dhambi ni nyingi baba yangu naomba uongezeke katika moyo na nafsi yangu ww ni Kila kitu kwangu na familia yangu,,, MWENYEZ UKAPATE KUONGEZEKA KATIKA MWAKA WANGU WA MASOMO 2023/2024 NA 2024/2025 FROM B to B+ and A ukaongezeke mwenyez mungu nakuhitaji sana mwenyew siwezii🙏
Oh God l come to u please godfogive ma sins and remember me my family my husband ad ma marriage, sacha we uongezeke mm ni funguo in Jesus name l Pray ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Somtimes unapitia kwenye mengi kiasi ya kuamba moyo wako unabatilishwa ..Mungu nisaidie utakaponiinua nione watu wako wote ni sawa niwatendee mema kwa kadiri atakavyonijalia
Uongezekee sana yesu ....katika my life,A good job for me God give me A right Man wenye atani support si wa kunipigia kila Saa in times of troubles ...and torwards my future marriage i cry to u God coz you're above all .
The songs has blown my heart coz of the joy....I have been sick from Jan up to march but i am healed.....during that period i have been listening to the song throughout.......He's a faithful God 🙏
Lord may you increase in my life,in my children's life,in our faith, in our health, in our hearts, in every part of our life,increase increase ooh Lord,as we decrease coz you're above all 🙏
Ongezeka Yesu ongezeka Yesu kwenye kila kitu changu naomba ongezeka Yesu mm nipungue nimekubali kupungua tena kwa unyenyekevu ili wewe tuu uongezeke Yesu 🙏🙏