Hiyo sistimu tanzania haiwezaekani ila.nchi zote ambazo bado kuna ichifu ndowanaweza kila chifu anakuwa natarifa zawatu wake hata uzaliwe wapi kwenye kitabu unaandikwa kwaiyo sisi haiwezakani ila hawa wanweza kwasababu yamfumo wa uchifu
Ndugu mtangazaji unafafanua Sana! Mwache jamaa atiririke mwenyewe...unamtoa kwenye mstari unasababisha umwamishe kwenye point mara kwa mara, mchizi anaongea swahili poa inaeleweka so unafafanua nini wewe muulize maswali tu
Mtoto wa South anatumia sir name ya mama kwa sababu kuna pesa ya mandera akitumia jina la baba hapati kitu na mama kama umemuoa basi atatumia sir name yako
Kiukweli south Africa sio nchi ya kuishi maana watu wanaoishi huko wenyewe maisha magumu tu maana kuna mtu namfahamu mimi yuko south africa hakuna alicho kifanya mpaka leo hana maendeleo kabisa
Na ndugu zangu wameenda walichokipata wengine wamekuwa miteja wengine wauzaji bora huyo muuzaji kajenga kwao waliobakia wamekuwa madhoba madenda yqnawatoka hatari sana