Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
Asante Mungu,uchaguzi umeisha vyema,nina imani nae nasubri mambo makubwa 3 kutoka kwake,1 bandari zetu,2 wamasai na maeneo yao asili,3 mikataba ya hovyo inayo pitishwa bungeni..
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote. Alitakalo Mungu hutimia kwa wakati na majira yake. Asante Mungu. Tumetenda sana dhambi ya unafiki. Imetosha. Mwabukusi hongera katimize mapenzi Mungu kaka.
Katika miaka yote haijawahi kutokea watanzania wakawa na uelewa mkubwa hivi,kwanza wengi tulikua hatujui kabisa TLS ni nini wala umuhimu wake kwa watanzania,hii inadhihirisha kuwa watanzania wana mambo mengi ambayo yanawasibu lkn hawajui nani wakuwasemea,sasa ushindi huu ni wa watanzania wote.Na serikali itambue sasa kuwa watanzania wanataka mabadiliko na wakati ule uliotabiriwa na baba wa taifa umefika sasa,Alisema wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm.Hiki ndicho ninachokiona sasa,watanzania wamechoshwa na rushwa,wamechoshwa na Ufisadi,wamechoshwa na utekaji n.k
Mwabukusi, hapo umeshinda, lakini nakuomba utapoenda popote pale kikazi, mwambie mke wako akupikie chakula, na maji nunua ya kwako. Roho ya shetani imevamia utawala uliopo ukifanya uovu wa bila hata kuogopa kwamba Mungu aonaye sirini anawaona na hukumu inawasubiri. Mungu akulinde katika nyanja zote.
Achukuwe taadhari , lakini Mwabukusi usiogope yupo zaidi ya watawala anayekulinda kila dakika ,halal wala hapokea Rushwa Kumbuka ngedere na bundi walitumika kuzuia msafara wa rais kufika Dodoma mapema, amina Mungu tuu!.
Halafu Nkuba unaenda mahakani kugomea ushindi wa Mwabukusi kwa Kura 1274 kwa 807 wapi na wapi ingekuwa tofauti ya kula 10 sawa lkn kwa utofauti wa kula hizi ungeendelea na mambo yako tu😂😂😂😂🙌
@@hajihassan5433 Sawa haina shida ila tunaamini waliomuengua mwanzo wakampa shida Mwabukusi kwenda mahakamani nawao waanze kwenda mahakamani tuone haki itendeke mdau😂😂🙌
Huyu jama alitumwa ila najua hata mkewake.anamzomea kwa kile anacho taka kufanya mana hata mke wake alimpigia mwambusi mana anajitambua kuliko ili lijama
Tunasubiri MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WA TLS NA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NCHINI KWETU ,TUNATAKA NJIA YA KUTUONGOZA KUDAI MABADILIKO MAKUBWA ILI KUPATA KATIBA MPYA KWA HARAKA ,,MWABUKUSI HONGERA
*Mawakili wengi wa mahakama duniani hukimbilia palipo na 'fweza' na / au heshima; lengo lao ni kushinda kesi za wateja wao hata kama wanajua wazi, kwa mfano, wanayemtetea ni fisadi, mwuaji au mwizi.* *Baadhi ya mawakili wetu wameshiriki katika mikataba ya kimataifa ya kuinyonya Tanzania yetu kwa maslahi mafupi ya matumbo yao.* *Mawakili wa namna hiyo wanahujumu utu na haki, japo guapa kuilinda na kufanyakazi kwa mawakili ya juu.*
Kesi nyingi tunazoshitakiwa nazo na kushindwa washtaki hupeleka kesi zao mahakama za kimataifa na hutafuta mawakili wao huko huko nje ambao wengi huwa ni wazungu na mawakili wa serikali hushindwa kwenye kesi hizo.sasa hapa wa kuilaumu ni serikali na mawakili wa serikali kwa kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa kutanguliza matumbo yao.Wakili kama wakili hana makosa yeye anatetea HAKI na anaongozwa na vifungu vya sheria na ndio kazi yake.Labda naomba uniambie kwa hapa Tanzania ni wakili gani unaemjua kwenye hizi kesi za kimataifa alikuwa anawatetea hawa wawekezaji wakubwa mfano kesi ya juzi tuliyopigwa dola elfu 90?Ukija ndani ya Tanzania kwenyewe,hawa watanzania wenzetu ndio hufanya ufisadi na ubadhirifu kwa makusudi huku wakijua kuwa hata wakishitakiwa watashinda kwa sababu washtaki huwa wanakosa mashahidi .
Wanaoihujumu nchi sio mawakili bali viongozi wa serikali walioingia mikataba hiyo ambayo haina tija kwa nchi.Hata ukienda Afrika kusini na umefanya kosa kweli ni lazima serikali ikutafutie wakili wa kukutetea.Kuanzia leo naomba uondoe dhana iliyojengeka kichwani mwako kuwa eti mawakili kuwatetea wawekezaji wa kimataifa ni kuhujumu nchi.Wewe ushalishwa ujinga na umeaminishwa ujinga ila mimi nakufumbua.
@@MathewNathan-yb2bz Eti, toka leo......[zaidi,] eti nimelishwa ujinga.... *Yakhe, nisipotekeleza hilo la "kutoka leo"...utafanya nini?Wewe Mungu? Nimelishwa ujinga na nani? Silishwi; ninajilisha. Na kamwe sili ujinga! Inaonekana una uelewa na hayo ya mawakili. Nimesena wapo mawakili wetu wanaoshirikiana na makampuni ya me yanayotunyonya. Mifano ipo mingi katika michakato ya usajiri wa makampuni hayo nchini.
Asante leo umeongea points isipo kuwa siku nyingine huwa unapinga vitu vingine ambavyo si vya kupingwa wewe ni binadamu hujakamilika kwa leo nakupa maua yako
Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿
Kwa nini asiseme kaibiwa😂😂 Hata uchaguzi wa magu 2020 ulimpa kura zote 99.9% pamoja na wabunge wake, ati kama uchaguzi wa kuchagua malaika asiye na mpinzani.
Wakili Mwabukusi atafarijika sana kama WaTanzania wenye haki ya kupiga kura watajiandikisha na kujitokeza kupiga kura ! Tutaonyesha Nguvu ya kura kama TLS.
Huyu Nkuba masikio na macho yake hayaoni tu vifijo vilivyotawala ukumbi?? Kura 807 nalizopata Nkuba wapi na wapi alizozipata Mwambukisi kura 1270wapi na wapi?? Nkuba aache chuki ajaribu tena miaka ijayo
Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu
Upo sahihi mkuu lakin nawanasheria wenyewe watende hak maana wenyepesa wanawatumia mawakil kutudidimiza sisi tusio na pesa unamkuta mtu katenda kosa kwer labda kauwa lakin wakil anamtetea na anakuwa hana hatia sasa haki ikowap isije ikawa tunaluka matope tunakanyaga maj taka sheria hio hio inaweza ikamnyima mtu hak yake ikitumika vibaya
@@festokemibala5832 Si ping Hilo ila ndungu ukimpeleka mtu mahakaman alafu huyo mtuhumiwa awe na pesa zake unatwanga maj kwenye kinu hata makonda alishasema watu wenye pesa wananamna yao Jin's wanavyochezesha mahakaman
Huu ni mwanzo tu tuvusheni wanasheria wetu na nchi isiliwe na vijitu vichache vinavyotumia kodi zetu kuonyesha kuwa watupenda kumbe ni ulaghai tu wa kutufanya sisi tusiwe nacho wapate upenyo wa kutuhonga.
Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.
Mwalimu mbona uchambui taharuki ya kutoonekana makonda!! Unachambuaga vzr sana jeserikali kupitia mkuu wa mkoa msaidizi makonda yuko likizo ?likizo ya wapi pasipo kuonekana
KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU
🎉🎉🎉 VIPI (TLS) YENYE Mwabukusi na Tundu Lissu IKISHILIKIANA NA WANAHARAKATI,, WATUMISHI WA MUNGU nà WANANCHI WAPENDA HAKI KUHAKIKISHA BILA Katiba Mpya TUSIFANYE UCHAGUZI??