Тёмный

USHINDI WA MWABUKUSI NA ATHARI SABA ZA DHULUMA YA DOLA KWA WANATAALUMA 

SK Media Online TV
Подписаться 58 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 194   
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 2 месяца назад
Ushindi wa mwambukusi ni ushindi wa katiba mpya yenye tija kwa watanzania,hongera jemedari,Tuvushe kamanda, mwenyezi mungu akutangulie
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад
Asali akirambishwa atanyamaza kimya
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 месяца назад
​Amekwisha pita hiyo ngazi hiyo ,hakuna cha aslii ! Wale waliopewa fedha za campaign na mawakili wakakataa .hongera mawakili wa TLS.😂
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 месяца назад
@@KassimAlly-xp4dz Angetulia kwenye bandari
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 2 месяца назад
Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
@WigesaNyerere
@WigesaNyerere 2 месяца назад
Asante Mungu,uchaguzi umeisha vyema,nina imani nae nasubri mambo makubwa 3 kutoka kwake,1 bandari zetu,2 wamasai na maeneo yao asili,3 mikataba ya hovyo inayo pitishwa bungeni..
@simonMollel-rr3gb
@simonMollel-rr3gb 2 месяца назад
Ni kumwombea MUNGU pia maana watamwandama km Tundu lisu alivyopigwa risasi
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 месяца назад
Hiyo ni kweli.
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 месяца назад
Kweli kabisa, mwabukusi OYEEEEEEEE.
@mahengepascal
@mahengepascal 2 месяца назад
Tumtangulize Mungu kwa kila kitu
@WigesaNyerere
@WigesaNyerere 2 месяца назад
@@simonMollel-rr3gb hii inch ilipo fika tukiendelea kuogopa kifo,ujinga hauta isha na ukifa unatetea ni kifo bora
@magdalenanicholaus5459
@magdalenanicholaus5459 2 месяца назад
Hongera sana mwabukusi ,,🙏🙏🙏🙏
@khalidmwakabuta5045
@khalidmwakabuta5045 2 месяца назад
Nilikuwa nasubiria sana utaongea nin kuhusu uchaguzi huu wa TLS Pr Ngurumo kweli nimefarijika sana kusikia maoni yako
@leonardinnocent9638
@leonardinnocent9638 2 месяца назад
Makala nzuri sana hii. Umefanya uchambuzi yakinifu🙏🙏🙏
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 2 месяца назад
Be blessed Kamanda Mungu akubariki Mno,Wewe ni Mchambuzi Mzuri sana
@AnsbertNgurumo
@AnsbertNgurumo 2 месяца назад
@@emmanuelsulle911 Asante!
@EddaKiputa-cz7gf
@EddaKiputa-cz7gf 2 месяца назад
Mawakili nimewakubali,mmetuonyesha kuwa inawezekana kwa msaada wa Mungu.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад
Mwabukusi hongera sana kwa ushindi.Mungu azidi kukubariki na kukulinda.
@FidelisiKidungu
@FidelisiKidungu 2 месяца назад
Nimeikubali TLS HALISI Imefufuka HAKI Imeshinda nchi yetu TANGANYIKA imefufuka Freedom is coming to day not tomorrow Thanks GOD Alta continue
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 месяца назад
Vocē é menu melhor amigo [Vocē é melhor amiga]: "A Luta Continua!"
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 2 месяца назад
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote. Alitakalo Mungu hutimia kwa wakati na majira yake. Asante Mungu. Tumetenda sana dhambi ya unafiki. Imetosha. Mwabukusi hongera katimize mapenzi Mungu kaka.
@Yustina-q7x
@Yustina-q7x 2 месяца назад
Honger sana Mwabukusi
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 2 месяца назад
Mwenyezi mungu akubaliki sana ndg Ngulumo hakika unatoa darasa zuri xna katika mambo mbalimbali
@juliuskitomari3057
@juliuskitomari3057 2 месяца назад
Katika miaka yote haijawahi kutokea watanzania wakawa na uelewa mkubwa hivi,kwanza wengi tulikua hatujui kabisa TLS ni nini wala umuhimu wake kwa watanzania,hii inadhihirisha kuwa watanzania wana mambo mengi ambayo yanawasibu lkn hawajui nani wakuwasemea,sasa ushindi huu ni wa watanzania wote.Na serikali itambue sasa kuwa watanzania wanataka mabadiliko na wakati ule uliotabiriwa na baba wa taifa umefika sasa,Alisema wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm.Hiki ndicho ninachokiona sasa,watanzania wamechoshwa na rushwa,wamechoshwa na Ufisadi,wamechoshwa na utekaji n.k
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 2 месяца назад
Kafatilie pia uchaguzi wa Lissu kuwa rais wa TLS
@Gaynor1234
@Gaynor1234 2 месяца назад
Mwabukusi, hapo umeshinda, lakini nakuomba utapoenda popote pale kikazi, mwambie mke wako akupikie chakula, na maji nunua ya kwako. Roho ya shetani imevamia utawala uliopo ukifanya uovu wa bila hata kuogopa kwamba Mungu aonaye sirini anawaona na hukumu inawasubiri. Mungu akulinde katika nyanja zote.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 месяца назад
Achukuwe taadhari , lakini Mwabukusi usiogope yupo zaidi ya watawala anayekulinda kila dakika ,halal wala hapokea Rushwa Kumbuka ngedere na bundi walitumika kuzuia msafara wa rais kufika Dodoma mapema, amina Mungu tuu!.
@saviomlelwa
@saviomlelwa 2 месяца назад
Umeongea vema Sana. Always stay blessed
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 месяца назад
Hongera sana mwambukusi
@PaulLukumbi-en3qd
@PaulLukumbi-en3qd 2 месяца назад
Mungu akulinde,ni ushindi kwa TAIFA mwabukusi na TLS endesha jahazi nahodha wa uhakika tutafika salama bandarini.
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 2 месяца назад
Stay blessed Mkuu Ngurumo
@davidsamson8204
@davidsamson8204 2 месяца назад
Mungu mwema Ongera sana Mwabukusi Mungu akuongoze kuisimamia TLS ongera sana Mmetufurahisha watanzania hii inatutia Moyo sana.
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 месяца назад
Hongera zake.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 месяца назад
Hongera SK media kwa kutoa Elimu. Tutakukumbuka kama Lucky Dube wa Tanzanian, keep it up!!
@ChristinaKilianNyoni-xb7lk
@ChristinaKilianNyoni-xb7lk 2 месяца назад
Hata sisi wanakijiji tumefurahi saaaana viva Mwabukusi
@KasalamaAlly
@KasalamaAlly 2 месяца назад
Huyu anaepinga matokeo ndio wale wale mapandikizi kifupi ndo machawa wenyewe jemadari Mwambukusi pambana mwanangu Katiba mpya ndio ndio iwe kipaumbele
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Halafu Nkuba unaenda mahakani kugomea ushindi wa Mwabukusi kwa Kura 1274 kwa 807 wapi na wapi ingekuwa tofauti ya kula 10 sawa lkn kwa utofauti wa kula hizi ungeendelea na mambo yako tu😂😂😂😂🙌
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 месяца назад
Haki haitegemei idadi hata huyu aliyeshinda alienguliwa na tume na kutafuta haki akarejeshwa.
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
@@hajihassan5433 Sawa haina shida ila tunaamini waliomuengua mwanzo wakampa shida Mwabukusi kwenda mahakamani nawao waanze kwenda mahakamani tuone haki itendeke mdau😂😂🙌
@JohnPallangyo-k9n
@JohnPallangyo-k9n 2 месяца назад
Ni hivi Mwabukusi ni kichwa na tunamwamini ktk uongozi
@FrankNzombo-k3j
@FrankNzombo-k3j 2 месяца назад
Huyu jama alitumwa ila najua hata mkewake.anamzomea kwa kile anacho taka kufanya mana hata mke wake alimpigia mwambusi mana anajitambua kuliko ili lijama
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 месяца назад
Mamluki
@StevenSanga-n3n
@StevenSanga-n3n 2 месяца назад
Daaaa nimefurahi sana mwamba mwabukusi woooyoooooooooooo❤❤❤❤
@JamesAbel-ig8wb
@JamesAbel-ig8wb 2 месяца назад
Hongera Mawakili wote Kwa kujitambua, hivi mwanasheria mkuu alikuwepo? Amejifunza Nini?
@GabrielJoseph-n7z
@GabrielJoseph-n7z 2 месяца назад
Hongera sana kaka mkubwa Kwa ushindi mkubwa uliopata
@EvaKiswaga-j2o
@EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад
Kweli kabisa. Ushindi wa mwabukusi. Si. Wanashelia peke yake. Na sisi wananchi tupo tumefurahi saaaana. Pigania tanganyika yetu. Hongera saaana. Mwabukusi.
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 месяца назад
Kweli ushindi huu si wa wanasheria tu.
@pdaxofficial3144
@pdaxofficial3144 2 месяца назад
Mwabugusi namkubali sana yule jamaa anajua Sheria kiukweli Yuko vzr sana sana kiukweli..
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 2 месяца назад
Huyu ambaye hakubali matokeo warudie wakiwa 2 tu aone atakavyo tandikwa.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@veronicanabina3380
@veronicanabina3380 2 месяца назад
Sijapiga kura ila naona nimeshinda, maana niliyekuwa natamani na kumuombea kwa Mungu ashinde ameshinda . ASANTE SANA MUNGU
@TampeBra
@TampeBra 2 месяца назад
Hongera sana Mwabukusi boniface. Kapige kazi kwa weledi
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 месяца назад
PIGA KAZI MUZAZI TUKO NYUMA TUNAKUOMBEA MUNGU AKUTANGULIE
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 месяца назад
Mungu baba, popote Mwabukusi aliyo naiomba uwe mlinzi wake, tunakuomba MUNGU.
@nicholaussizya8054
@nicholaussizya8054 2 месяца назад
Uchaguzi sahihi kwa Wanasheria wote 1274/941. Hongereni !
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 2 месяца назад
Unanielimisha Sana Mzee
@Yussuf-b3b
@Yussuf-b3b 2 месяца назад
Tunasubiri MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WA TLS NA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NCHINI KWETU ,TUNATAKA NJIA YA KUTUONGOZA KUDAI MABADILIKO MAKUBWA ILI KUPATA KATIBA MPYA KWA HARAKA ,,MWABUKUSI HONGERA
@MonicaTimotheo
@MonicaTimotheo 2 месяца назад
VIVA MWABUKUSI VIVA TANZANIA
@ZabronJonathan-b5s
@ZabronJonathan-b5s 2 месяца назад
Mungu ambarikina kumlinda.
@FrankNzombo-k3j
@FrankNzombo-k3j 2 месяца назад
Mungu amejibu maombi ya kilio Cha watanzania kumpata shuja
@RestitutaNjau-k8x
@RestitutaNjau-k8x 2 месяца назад
Hongera sana Mwabukusi,ushindi wako ni wa Watanzania wote,piga kazi Taifa hili tunahitaji kiongozi kama wewe.Hongera sana,sana
@barakamanga5502
@barakamanga5502 2 месяца назад
Duuuuuuh hatamimi Nampa kura yangu, ijapo mimi ni fundi ujenzi
@isayaerasto7550
@isayaerasto7550 2 месяца назад
Tunataka, vyama vya madaktari,ma engineer, waalim,na vingine wakatae kutumika na serikali
@richardrenatus9582
@richardrenatus9582 2 месяца назад
tayari watanganyika tumechukua risasi moja ya ushindi paleeee TLS, Bado Risasi lingine 2025 ili tuishi kwa rahaaaa
@mohsixtus7048
@mohsixtus7048 2 месяца назад
Tunasubiri mwamba
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 2 месяца назад
Mwabukusi ni mtetezi wetu wa rasili Mali za Tanzania #
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 2 месяца назад
Asanteni wanzania wote wapenda Aki,
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 месяца назад
*Mawakili wengi wa mahakama duniani hukimbilia palipo na 'fweza' na / au heshima; lengo lao ni kushinda kesi za wateja wao hata kama wanajua wazi, kwa mfano, wanayemtetea ni fisadi, mwuaji au mwizi.* *Baadhi ya mawakili wetu wameshiriki katika mikataba ya kimataifa ya kuinyonya Tanzania yetu kwa maslahi mafupi ya matumbo yao.* *Mawakili wa namna hiyo wanahujumu utu na haki, japo guapa kuilinda na kufanyakazi kwa mawakili ya juu.*
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад
Kesi nyingi tunazoshitakiwa nazo na kushindwa washtaki hupeleka kesi zao mahakama za kimataifa na hutafuta mawakili wao huko huko nje ambao wengi huwa ni wazungu na mawakili wa serikali hushindwa kwenye kesi hizo.sasa hapa wa kuilaumu ni serikali na mawakili wa serikali kwa kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa kutanguliza matumbo yao.Wakili kama wakili hana makosa yeye anatetea HAKI na anaongozwa na vifungu vya sheria na ndio kazi yake.Labda naomba uniambie kwa hapa Tanzania ni wakili gani unaemjua kwenye hizi kesi za kimataifa alikuwa anawatetea hawa wawekezaji wakubwa mfano kesi ya juzi tuliyopigwa dola elfu 90?Ukija ndani ya Tanzania kwenyewe,hawa watanzania wenzetu ndio hufanya ufisadi na ubadhirifu kwa makusudi huku wakijua kuwa hata wakishitakiwa watashinda kwa sababu washtaki huwa wanakosa mashahidi .
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 2 месяца назад
Wanaoihujumu nchi sio mawakili bali viongozi wa serikali walioingia mikataba hiyo ambayo haina tija kwa nchi.Hata ukienda Afrika kusini na umefanya kosa kweli ni lazima serikali ikutafutie wakili wa kukutetea.Kuanzia leo naomba uondoe dhana iliyojengeka kichwani mwako kuwa eti mawakili kuwatetea wawekezaji wa kimataifa ni kuhujumu nchi.Wewe ushalishwa ujinga na umeaminishwa ujinga ila mimi nakufumbua.
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 месяца назад
@@MathewNathan-yb2bz Eti, toka leo......[zaidi,] eti nimelishwa ujinga.... *Yakhe, nisipotekeleza hilo la "kutoka leo"...utafanya nini?Wewe Mungu? Nimelishwa ujinga na nani? Silishwi; ninajilisha. Na kamwe sili ujinga! Inaonekana una uelewa na hayo ya mawakili. Nimesena wapo mawakili wetu wanaoshirikiana na makampuni ya me yanayotunyonya. Mifano ipo mingi katika michakato ya usajiri wa makampuni hayo nchini.
@FloraGervase
@FloraGervase 2 месяца назад
Mungu akufunike kwa damu yake yakatifu
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 2 месяца назад
Hongera mwabukusi oyee
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 2 месяца назад
Kabisaaa ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri🙏
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 2 месяца назад
Waumini wa haki na kweli hawawezi kukukejeli labda kichaa tuu
@EmmanuelKamaka
@EmmanuelKamaka 2 месяца назад
Hongera mwambukusi.hakika tusiojua sheria tunaimaninawewe.tumepatamtuwauhakika ninyotayetu watanzaniawote.
@AbuuMtamike
@AbuuMtamike 2 месяца назад
Hakuna giza lililo shinda nuru hata waludie mara 10 Mungu yupo pamoja na Mwabukusi(Musa dhidi ya farao)
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 месяца назад
Vibaraka wanaturudisha nyuma sana nchi hii
@WhiteMgeni
@WhiteMgeni 2 месяца назад
Hongera sanaaa mwabukusi hataningekua Mimi wakili ningekupigia kura upo vizuri
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 2 месяца назад
Mmh ipo tofauti kubwa sana kati ya taaluma ya Sheria na taaluma ya Wahandisi Makandarasi
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 2 месяца назад
Asante leo umeongea points isipo kuwa siku nyingine huwa unapinga vitu vingine ambavyo si vya kupingwa wewe ni binadamu hujakamilika kwa leo nakupa maua yako
@wasengaswillah
@wasengaswillah 2 месяца назад
Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 2 месяца назад
MWABUKUSI NAMKUBALI SANA NI MPIGANIA HAKI NA AMEIPAMBANIA HIYO NAFASI
@clevermgedzi4708
@clevermgedzi4708 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ unaongea kweli upo vema
@karolinchimani5316
@karolinchimani5316 2 месяца назад
Congratulations Mwabukusi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@mosesmwaisumo2838
@mosesmwaisumo2838 2 месяца назад
Kumbe wasomi ndio mbuzi yaan kwa tofauti ya kula karibia 400 et umeibiwa kula nkuba nilijua msomi kumbe duh
@akilimalindevu520
@akilimalindevu520 2 месяца назад
😂😂
@Sheba4651
@Sheba4651 2 месяца назад
Kwa nini asiseme kaibiwa😂😂 Hata uchaguzi wa magu 2020 ulimpa kura zote 99.9% pamoja na wabunge wake, ati kama uchaguzi wa kuchagua malaika asiye na mpinzani.
@OlosekiLokoy-sy6qg
@OlosekiLokoy-sy6qg 2 месяца назад
Tangu me nijielewe Leo ndo nimeona uchaguzi Tanzania hongera wakili hongera kaka hongera jembe hongera Tanzania ngorongoro tumepona
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 месяца назад
Wakili Mwabukusi atafarijika sana kama WaTanzania wenye haki ya kupiga kura watajiandikisha na kujitokeza kupiga kura ! Tutaonyesha Nguvu ya kura kama TLS.
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 2 месяца назад
Huyu Nkuba masikio na macho yake hayaoni tu vifijo vilivyotawala ukumbi?? Kura 807 nalizopata Nkuba wapi na wapi alizozipata Mwambukisi kura 1270wapi na wapi?? Nkuba aache chuki ajaribu tena miaka ijayo
@emmanuelmashishanga7141
@emmanuelmashishanga7141 2 месяца назад
SALAMU ZAO ZIWAFIKIE
@EzekiaKabuje
@EzekiaKabuje 2 месяца назад
Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu
@AlfredAlfred-yd2mg
@AlfredAlfred-yd2mg 2 месяца назад
Mungu smemsimamia mwabugusi haki itasimama dhulma itatoweka wastafu tupo naye pamoja
@MuganyiziJudex
@MuganyiziJudex 2 месяца назад
TLS mpyà Tanzania mpya je saa njema imefika?
@zaydamos874
@zaydamos874 2 месяца назад
Kweli kabisa father
@WadhifHajji
@WadhifHajji 2 месяца назад
Hongerasana mwambukusi
@claudesimukoko1436
@claudesimukoko1436 2 месяца назад
Wewe ni zaidi ya mwalimu #mchambuzi
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 2 месяца назад
Uko sahihi Ngurumo!
@IddyMustapha-tj4du
@IddyMustapha-tj4du 2 месяца назад
Upo sahihi mkuu lakin nawanasheria wenyewe watende hak maana wenyepesa wanawatumia mawakil kutudidimiza sisi tusio na pesa unamkuta mtu katenda kosa kwer labda kauwa lakin wakil anamtetea na anakuwa hana hatia sasa haki ikowap isije ikawa tunaluka matope tunakanyaga maj taka sheria hio hio inaweza ikamnyima mtu hak yake ikitumika vibaya
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 месяца назад
On technical grounds! Kinachoshinda ktk kesi ni ushahidi bayana na siyo hisia😮
@IddyMustapha-tj4du
@IddyMustapha-tj4du 2 месяца назад
@@festokemibala5832 Si ping Hilo ila ndungu ukimpeleka mtu mahakaman alafu huyo mtuhumiwa awe na pesa zake unatwanga maj kwenye kinu hata makonda alishasema watu wenye pesa wananamna yao Jin's wanavyochezesha mahakaman
@IddyMustapha-tj4du
@IddyMustapha-tj4du 2 месяца назад
@@festokemibala5832 wewe kama ni wakil na ni muumin wa hak kwanini umtete mtu unayejuwa kafanya kosa kwer ? Muogopen mungu jaman
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 2 месяца назад
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@JohnMabustar
@JohnMabustar 2 месяца назад
Simba kashinda kuwongoza Simba wenzake 😊😊😊 Mwabukusi oyeeeeee........
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 месяца назад
Ngoja tuone figisu sasa .inabidi ajilinde kwelikweli. Aache kulakula ovyo kwenye hafla za kiserikali
@salummohamed2689
@salummohamed2689 2 месяца назад
Huu ni mwanzo tu tuvusheni wanasheria wetu na nchi isiliwe na vijitu vichache vinavyotumia kodi zetu kuonyesha kuwa watupenda kumbe ni ulaghai tu wa kutufanya sisi tusiwe nacho wapate upenyo wa kutuhonga.
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 2 месяца назад
Ana haki ya kupinga!
@gililwise
@gililwise 2 месяца назад
Akapinge wazazi wake waliomzaa
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 месяца назад
Ahaki hiyo iwe unapinga tofauti ya kura 2 au zilizoharibika. Kura zaidi ya 400😂
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 2 месяца назад
Mbogamboga akili zenu hovyo sana
@HENRYMUNDI
@HENRYMUNDI 2 месяца назад
Nakuelewa kaka
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 месяца назад
Naamini kuna siku haki itapatikana nchi hii tukaze buti
@hadijasufiani6167
@hadijasufiani6167 2 месяца назад
Unachosema nikweli hongera kwahilo
@bonifacerobert2960
@bonifacerobert2960 2 месяца назад
Taaluma muhimu inayojidhalilisha na inayohitaji Mwabukusi wao ni taaluma ya HABARI. "JOURNALISM" IACHE UNAFIKI!
@AnteloSanga
@AnteloSanga 2 месяца назад
Mungu yu mwema tumepokwa vyakutosha wameona aibu hadharani.
@MathiasSongoyi
@MathiasSongoyi 2 месяца назад
Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.
@clarencehilary5588
@clarencehilary5588 2 месяца назад
Naiona tanganyika yetu inapatikana duh mungu mkubwa
@majutojohn5598
@majutojohn5598 2 месяца назад
😢Hakika Mungu Ameona na Kuonesha Haki
@InnocentEdward-h6v
@InnocentEdward-h6v 2 месяца назад
Mungu mkubwa sana
@lucksonsikaona505
@lucksonsikaona505 2 месяца назад
Walizoea kubebwa tls ni chama Cha wasomi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
👊👍✌️.
@JosephSenya-l9g
@JosephSenya-l9g 2 месяца назад
Ushindi wa mwambukusi ni ushindi wa watanzania wote wanyonge
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 2 месяца назад
HUYO WAKILI 'MSALITI' ANAEPINGA USHINDI WA MWABUKUSI ANATUMIWA...NA AMEKUBALI KUTUMIKA!
@AlanMbilinyi
@AlanMbilinyi 2 месяца назад
NKUBA NENDA KAKATE RUFAA MAKAMANI UAIBIKE MWIZI NA HAKI MUNGU ANASIMAMIA HAKI.WACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA. MWABUKUSI OYEEEE3
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 месяца назад
Kusoma,sio kuelimika.
@AlanMbilinyi
@AlanMbilinyi 2 месяца назад
USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WAUMMA NI USHINDI WA WATANGANYIKA.
@SimonKidando
@SimonKidando 2 месяца назад
Mwalimu mbona uchambui taharuki ya kutoonekana makonda!! Unachambuaga vzr sana jeserikali kupitia mkuu wa mkoa msaidizi makonda yuko likizo ?likizo ya wapi pasipo kuonekana
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 2 месяца назад
Makonda??? SK anafanya mjadala wa hoja, sio matukio ya kutenge ezwa na watawala.
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 2 месяца назад
Ccm.wanahisi.chadema.imeshinda.mwanzo.mzuri.2024.na.2025.mtakubali.mziki
@MonicaTimotheo
@MonicaTimotheo 2 месяца назад
KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU
@RebeccaKamwela
@RebeccaKamwela 2 месяца назад
😅😅😅kuna mmoja wao hapo kakaaa kichawa kabisa
@severimkatomutegeki6930
@severimkatomutegeki6930 2 месяца назад
😂Hongera Mwabukus
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 месяца назад
Nchi hii wezi wengi
@JacksonFrances
@JacksonFrances 2 месяца назад
🎉🎉🎉 VIPI (TLS) YENYE Mwabukusi na Tundu Lissu IKISHILIKIANA NA WANAHARAKATI,, WATUMISHI WA MUNGU nà WANANCHI WAPENDA HAKI KUHAKIKISHA BILA Katiba Mpya TUSIFANYE UCHAGUZI??
@fmbilinyi5137
@fmbilinyi5137 2 месяца назад
Kuelekea uchaguzi kudai Katiba ni kama tumechelewa, hpo ni kupambana kulinda uchaguzi (kura) ila ndani ya miaka mitatu ijayo Katiba itapatikana
Далее
WAPINZANI TUPENI MGOMBEA LEO, KESHO NI MBALI
17:09
Просмотров 30 тыс.
Mfahamu Wakili Mwabukusi/Aeleza Historia Yake - Part 1
20:59
TUMWAMINI ALIYETEKWA AU MTUHUMIWA?
16:37
Просмотров 9 тыс.
RASMI, TANZANIA IMEREJEA GIZANI KITAIFA NA KIMATAIFA
27:22