#realestate #investment #hatimiliki
Kwa wewe amabaye unahitaji viwanja vizuri katika eneo ambalo liko vizuri sana na limepangiliwa hapa mjini Dar es salaam basi karibu kwenye mradi huu nafuu uliopo hapa Vikindu Malogoro.
Eneo ni tambarare sana na li.epimwa kwa kufuata kanuni na taratibu za upangaji wa mji.
Bei yake ni nafuu sana pia nimtelezo yaani kwa Tsh. 850,000/= Laki nane na elfu hamsini tu unajipatia kiwanja bila rongorongo.
kama uko nje ya nchi mtume mtua aje kuangalia free kwani viwanja havikai kabisa. Sifa za eneo hili ni zifuatazo,;
1. Umeme upo karibu
2. barabara zinapitika vizuri
3. Huduma za kijamii zipo
4. Malipo ni ya awamu bila riba wala dhamana
unaweza kutupigia kwa namba hii
+255747141871 au unaweza kututumia ujumbe WhatsApp.
#house #africancity #hati #kigamboni #travel #property #viwanja @mama Samis
12 сен 2024