Nimefurahi sana nimeangaliya zaidi ya nyimbo zenu(video)20 Mungu awbariki sana lakini sasa naitaji nyimba zenu za 2002 mfano kama:Sisi waamini tumepewa kazi ya kupatanisha watu wotw,Nakosa nitowe nini,Kumbuka upenda wa bwana Mungu,Hakika sijamupata mfalme kama Yesu,Kanisa la kwabza hapo kale,E baba asante kwa upenda,Musa alipokuwa akicunga kondoo na zaidi.Mubarikiwe Sana.