Aisee we jamaa!wewe ndo umeupatia huu mziki na unastaili kupewa respect kuliko waimbaji wengine wa huu mziki,,,kwanza unauckiliza ata ukiwa na wazee wako,hauna maneno ya ajabu wala matuc matuc,,,,safi sana Easy man nakupromc inshaallah mungu anifanyie wepes nikija bongo nitakuletea kazawadi ambacho kitakusaidia kwenye mambo yako ya mziki