MASHALLAH, KAZI MNAYOFANYA NI NGUMU SANA KULIKO KAZI ZOTE ZA ULIMWENGUNI. NAHAO AMBAO HAWATAKI KUTOKA GIZANI KWA UBISHI WAO NAWALA HATA HIYO BIBLIA HAWAIJUI BALI WANABABAISHA TU. WANAFATA MTU AMBAE HAKUTUMWA KWAO, NA WANAMSAHAU BABA YAO PAULO AMBAE AMEWALETEA UKRISTO NA BIBLIA. HATA PROFESSOR LUMUMBA ALISEMA UKRISTO SIO KITU CHA KUJIVUNIA, KWASABABU NI JINA MLILO PEWA NA WAPAGANI WA ANTOKIA. YESU HAKUWA MKRISTO WALA HAKUANZISHA UKRISTO.
Wala Yesu hakua muislam wala hakuacha uislamu.Ulikuja baada ya miaka 600 na mohamed ndio muislam wa kwanza sura 39:12 halafu soma sura 36:14 utuambie hao watu watatu ni kina nani?
Assalam Aleykum masheikh wetu. Let salim Cook wazungu wanasema 😂😂😂, jama ankuja kwa kifua na Aya ya jini bila kusoma bibilia yao amezimwa Na Sheikh nikacheka sana, mara usiedit sasa n yy anatamani kuedit asionekane namna alivo zimwa😂😂😂 MashaAllah chezea waislamu ww utajuta, wasomi kma nini.😂
When they lose argument and can’t proof what prophet was the Bible given and where and what time . He starts wasting time for others to ask a question.
Suratul ya 46 Ayah ya 29 Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani Basi walipo ihudhuria walisema Sikilizeni Na ilipo kwisha somwa walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya. Ayah ya 30 Wakasema Enyi kaumu yetu Sisi tumesikia Kitabu kilicho teremshwa baada ya Musa kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake na kinacho ongoza kwenye Haki na kwenye Njia Iliyo Nyooka. Kulingana na Ayah hizi mbili zaonesha kuwa majini walisikiliza Kitabu cha musa pia sio Qurani pekeake
Huyo msabato alazimisha kuwa kama majini walisikiliza quran mbona hawakusikiliza bibilia? Twamwambia silazima walisikiliza quran wawe wame sikiliza taurati au injili
N sawa kusema hivo sababu huwezi kuwa mwalim ukafundisha watu Kabila wewe mwenyewe hujaukubali walim, lazima uukubali walim kwa moyo ndipo upate cheti ukafundishe watu, Kwahio manabii wote kabla wapewe unabii lazima wanyenyekee kwa mola wao na huko ndiko kusilim yani ( kunyenyekea kwa mola wa ulimwengu wote