Uzinduzi wa Meli ya Biashara ya VILLE DE FOMBONI MOH 0022 inayotarajiwa kufanya biashara kati ya Mtwara na Comoro hapa Tanzania. Tukio hili limefanyika leo katika bandari ndogo ya Mtwara iliyoko karibu na Hotel ya Southern Cross, zamani ikiitwa Msemo Hotel ambapo Mgeni Rasmi ailikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Dendego ambaye aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda.
5 сен 2024