Land Rover Defender 110 Hardtop PUMA. The British Machines. Hili ni Ndugu Jeshi hauwezi kufananisha na Toyota Vibakuli. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Guys this car is so expensive in UK 🇬🇧 mume wa queen 👸 Elizabeth ilikuwa ni gari yake number 1 na hata alipokufa basi msafara wake alipandishwa kwenye hiyo gari to be honest that is not a cheep car binafsi i wish one day nimiliki and yeyote alikuwa nayo must proud himself that car is worth 💙 na kila miaka ikienda that car huzidi value its a different car in this world 🌎. SNS TO UK 🇬🇧
Watu wengi hawajui kuwa Range Rover ambayo ni gari pendwa ni product inayotokanna na Land Rover. Hizo jamaa wa Arusha wana zi customize na zinakuwa powa sana. Wasouth wanazitumia sana. Ni gari expensive sana kwa sasa pengine kuliko hata magari pendwa ya sasa. Mimi binafsi ni gari yangu pendwa ya siku zote
Hii gari hata mimi naipenda sana coz iko juu yaan defender, jeep na land cruzer nazipenda sana zik juu juu na zinapita barabar aina nyng hasa za tz 🤣🤣 zinapita tu popote mashaallah.
kwaiyo unaipenda kitu eti kwa sababu Jay Z ameonakana nayo dah watu bado wanaakili zisizoweza kujitawala na kuchagua kitu unacho anakipenda yeye kama yeye hawa ndy watu wanao sombwa na tamaduni za magharibi kwaiyo Jay z akiwa shoga leo na ww unakuwa shoga au unamruhusu na mwanao awe kama jay z ?