Тёмный

Vifaa muhimu kuwa navyo unapoanzisha YouTube Channel 

Richstar
Подписаться 50 тыс.
Просмотров 2,6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@Masjidfirdous-onlinetv
@Masjidfirdous-onlinetv Год назад
Na kwa jinsi gani unaweza kuweka video na sauti halisi ya object wakati huo huo video ikawa zinaonesha nje ya eneo ambalo object yupo
@edwintouches
@edwintouches Год назад
Naomba kuongezea! Hapo kwenye Focal length ungegusia kuhusu Full frame vs APSC, I think umelenga Full frame. Sababu 50mm kwenye APSC kushoot indoors ni mtihani, sababu 50mm kwenye APSC mfano sony ina crop 1.5 au Canon ina crop 1.6 ambapo 50mm kwenye sony APSC inakua 75mm na kwenye Canon APSC inakua 80mm. All in all good content man! 👍
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Well said brother 👏
@Dusanny
@Dusanny Год назад
Je, we upo mkoa gani
@ChoraleBmukungu
@ChoraleBmukungu Год назад
From Bujumbura, niko pamoja naww nakukubari sana umeelimisha jamii na nashukuru hata mimi nimejifunza mengi from your content, maua yako aisee❤
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Shukrani sana
@fineboyAfrica
@fineboyAfrica Год назад
Kaka kujiunga na kozi za Rich academy maelekezo zaidi
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Tuwasiliane 0714250356
@Ap80090
@Ap80090 11 месяцев назад
@robertkadumbagura4720
@robertkadumbagura4720 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@elycreativetz9947
@elycreativetz9947 Год назад
Richacademy 🎉
@6tvkibabe358
@6tvkibabe358 Год назад
Nzuri Broo ila ungekuwa unatupa na makadilio ya bei za vifaa ingekuwa poa
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Mbona nimeviandika mzee
@ev.gershompetro5065
@ev.gershompetro5065 8 месяцев назад
Tafadhali naomba namba Yako tuongee..
@Okanatz1
@Okanatz1 Год назад
Saw bg
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Thanks again
@GoodluckMsigwa
@GoodluckMsigwa 11 месяцев назад
Brother mm naenda krusha vipindi RU-vid unaweza kunipa WhatsApp number yako
@hmanews12
@hmanews12 Год назад
Habari kaka,, nime kua nikihitajo kujifunza Mambo ya kua RU-vid content creators ila napata ugumu san hat namna ya kuanza,, naomba nipate mawasiliano nikutafute kama nitakupata ninifunze kwa vitendo,, nitakulipa pia
@nehemixtelevision
@nehemixtelevision Год назад
got u bro
@hmdijitalsports
@hmdijitalsports Год назад
Big up bro
@majenzitv2711
@majenzitv2711 Год назад
Ahsante sana bro Kwa somonhili
@Nahodahajitz
@Nahodahajitz Год назад
Madini na nondo za mana, mwalim kama mwalim
@djamanitvonline3623
@djamanitvonline3623 Год назад
💯✅✅
@samtz30506
@samtz30506 Год назад
Sawa kaka. Lakin kaka ideas za ku shoot content za youtube
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Nayo ni changamoto?
@samtz30506
@samtz30506 Год назад
@@Richstartz yeap ni changamoto kubwa Sana
@fransiskakimbori3569
@fransiskakimbori3569 Год назад
Asante Sana kuendelea kunipa maujuzi broo rich
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Pamoja sana
@CramoTzcomedy
@CramoTzcomedy 7 месяцев назад
Naomba namba yako
@noelparmet5349subsribe-vidoe
Hi
@FaridiMohamed-dd4hr
@FaridiMohamed-dd4hr Год назад
Aisee brother upo vizur sana ila kwa mawasiliano vzr ningepata namba Yako kaka
@mwinukatv5898
@mwinukatv5898 Год назад
Brother mimi nakufatilia sana contents zako lakini kuna kitu ambacho sijafahamu kuhusu youtube. Kitu chenye sijaelewa unapotimiza vigezo vya kulipwa je viewers katika video zako huwa wanajumlishwa kwa idadi ya video ulizoweka au ni kila video inqjitegemea katika kulipwa
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Kwa idadi ya Videos zote sio moja moja
@anyisilejaphet2658
@anyisilejaphet2658 8 месяцев назад
Unafundisha online au? Na je gharama zake zikoje kwa kozi
@PatrickSummit
@PatrickSummit Год назад
kaka tunakupataje naomba mawasiliano
@Richstartz
@Richstartz Год назад
0714250356
@boscokikoti
@boscokikoti 11 месяцев назад
Naomba namba yako
@SRONLINETV
@SRONLINETV Год назад
Kaka nashida na adobe pro nahipatejee. Nisaiddie kwa hilii🙏🙏🙏
@Richstartz
@Richstartz Год назад
Premiere Pro progrma ama?
@SRONLINETV
@SRONLINETV Год назад
@@Richstartz naic ioio ya kueditia videoo
@Richstartz
@Richstartz Год назад
@@SRONLINETV www.adobe.com
@rutwizovideo1369
@rutwizovideo1369 Год назад
Kaka rich wewe ni mwamba nimepitia video nzima na kitabu nime download Swali sisi tunao tengeneza Content za wedding tununue maick gani na Light gani, na kwa upande wa Gospal waimbaji wengi tununue ren's gani?
Далее
Аушев, Путин, «пощечина»
00:56
Просмотров 675 тыс.
How to Shoot Cinematic Interviews | 10 Easy Steps
19:23
VIFAHAMU VIUNGO MBALIMBALI VYA CHAKULA/MAHANJUMATI
32:40
VYOMBO 10 MUHIMU JIKONI KWAKO 💯 @ikamalle
9:04
Просмотров 10 тыс.