Тёмный

Vijana Jazz - Thereza 

Power Nguzo
Подписаться 53 тыс.
Просмотров 349 тыс.
50% 1

Old is Gold!

Опубликовано:

 

21 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 138   
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 месяцев назад
Ukisikiliza huu wimbo kwa umakini unagundua kabisa hivi vilikua vipaji na hawa wasasa ni njaa ndo inawasukuma
@frankmbapila8927
@frankmbapila8927 Месяц назад
2:07 😊 2:10 😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😅😅😅😅😊😊😊😊😮😅 3:14 😊😊😊😂😊😊😊😊
@SangomaSengwaji-ef9io
@SangomaSengwaji-ef9io 8 месяцев назад
Moja Kati ya nyimbo Bora mno mno kuwahi kuimbwa kwenye uso huu wa jamuhuri tangu kuzaliwa kwake 1961
@damasseseja5395
@damasseseja5395 6 лет назад
Hii ni kati ya nyimbo bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya mziki wa Tanzania, hakika zama zinapita na vipaji vinapotea.
@charlesnjerukigoro676
@charlesnjerukigoro676 Год назад
Hata ingawa kiswahili chanilemea kiasi, huyo mwana muziki aliwika zama zile na hata sasa
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 года назад
Sielewi lipi nitakutendea kuridhisha roho Yako badala la changa la aibu mbele ya wenza! Lipi lakuponyesha roho, Dada. Hatari kubwa!! Dr. Ogeto International
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 10 месяцев назад
Moja kati ya wimbo ninaupenda sana hakika music ni zaid ya album asante jery dudumizi na vijana yako
@mbungembunge9865
@mbungembunge9865 4 месяца назад
Miaka ya 80
@mcabby5037
@mcabby5037 Год назад
2023 still one of my favorite
@kilemilyimo
@kilemilyimo 11 месяцев назад
Nyimbo za enzi hizo zilikuwa na maudhui mazuri.
@edwardpyeko4126
@edwardpyeko4126 6 лет назад
Marehemu Chiriku Maneti kweli uliipa ulimwengu wa muziki zawadi kwa nyimbo zako moto moto. Rest in peace.
@FarajaLipiluka-vf6cw
@FarajaLipiluka-vf6cw 3 месяца назад
Nyimbo hii inanikumbusha mbali sana.
@mariamlyanga6822
@mariamlyanga6822 4 года назад
Wimbo Tereza unanikumbusha mbali sana wakati huo na maratlfiki zangu tulikuwa tunapenda kwenda vijana na baadhi ya marafiki zangu wametangulia mbelle za haki mungu aendelee kuwalaza mahali pema
@sangomamourice3251
@sangomamourice3251 5 лет назад
kila jambo lilisimama lilipostahili asante wakuu nakumbuka Home tz
@preciousrose4502
@preciousrose4502 2 года назад
This song runs so deep, you can feel his pain in every word.
@januwako8030
@januwako8030 Год назад
definitely,true l like to play this song more frequent.
@charlesnjerukigoro676
@charlesnjerukigoro676 Год назад
Very true, I even don't know what would become of me, Incase were in that quagmire
@frankmwashovya5532
@frankmwashovya5532 10 месяцев назад
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 года назад
Udanganyivu wa penzi na hatri. Weka wazo na pendo kwa sahani Moja. Changanisha ni hawamu ya opotevu. Dr. Ogeto International
@hatibunkua1800
@hatibunkua1800 3 года назад
Ama hakika ukisikiliza nyimbo hizi kwanza unapata ujumbe ulotulia vizuri poili unapata mipangilio ya vifaa AMBAPO hauwezi kuzima radio mpaka wimbo unapokwisha yaani ni Raha tupu!!
@pancrasmitabile5325
@pancrasmitabile5325 4 года назад
Nakumbuka mbali sana, nikiwa kijana wa miaka 24 nikiwa ndio naanza kaxi NBC
@allynayomo485
@allynayomo485 7 лет назад
nakumbuka mwaka 1991 tukiwa chidya sekondar tunasikiliza wimbo huo kipindi cha ombi lako toka RTD
@khazikanibanda999
@khazikanibanda999 4 года назад
Ally Nayomo chiwata
@NicholausSimiti
@NicholausSimiti 4 месяца назад
Unanikumbusha Miaka ya1990 Nilipokuwa na mpenz wangu aliyekwisha tangulia mbele ya haki
@shaabans.marijani9659
@shaabans.marijani9659 6 лет назад
Old is gold,i can't say enough of this song.
@davianlegend3756
@davianlegend3756 3 года назад
InstaBlaster...
@chimgegengaliyaya3883
@chimgegengaliyaya3883 6 лет назад
Vijana jazz, nakumbuka 1992/93 nikiwa nakipiga Mikumi National Park, Geofray Mashoto alitaka kuliwa na simba
@ramadhanmgaza4727
@ramadhanmgaza4727 3 года назад
Kaka unanikumbusha ba mdogo marehemu chondoma ndani ya gitaa na mkewe juli yupo mpk ss,,
@juliusmsote1442
@juliusmsote1442 8 месяцев назад
Natamani sana wimbo huu ukapitishwa kwenye mitambo ya kisasa ili iongezwe usikivu mzuri!. Sauti yenye punch ya Jerry Nashon inakata mawimbi barabara sana akipanda na kushuka. Huu ni moja ya wimbo unaweza kunitoa machozi japo nilikuwa mdogo sana enzi hizo!.
@saikomkumbwa4812
@saikomkumbwa4812 3 месяца назад
Sio wewe tu tuko wengi
@lwengephillip7516
@lwengephillip7516 5 месяцев назад
Hivi huu wimbo umetoka mwaka gani maana niliusikia kwa mara ya kwanza mwaka 2005 nikiwa darasa la 3 ingahawaje nilikuwa mtoto lakini nilikuwa naupenda sana.
@richardbenard6953
@richardbenard6953 3 года назад
Reminds me of when I was in my youth
@damasseseja5395
@damasseseja5395 6 лет назад
Kazi nzuri ya Jerry Nashon, Sulemain Mbwembwe, Hemed Maneti. Vijana Jazz ya ukweli,
@mohamedmganda1642
@mohamedmganda1642 4 года назад
Tulikua tunafaidi sana hizi nyimbo
@kanyaruchollah
@kanyaruchollah 3 года назад
Machozi yananitoka tu. Sina la kusema. Namkumbuka mbaaaali mnooo miaka ya 1988 Hadi 1992. RIP mliotutangulia, Rip Linner.
@gosbertmbanda262
@gosbertmbanda262 3 года назад
Hasante chiriku marehemu manet
@nellyjames3865
@nellyjames3865 5 лет назад
Jerry Nashon "DUDUMIZI" na EDDY SHEGY "SAUTI YA ZEGE" walipamba sana tasnia ya muziki. Hii ilikuwa weka mbali na watoto
@kigumikigumi5504
@kigumikigumi5504 2 года назад
Adam Bakari ndio sauti ya zege.
@AlexKing-yg2cc
@AlexKing-yg2cc 8 месяцев назад
Eddy Sheggy ni fast mover
@dannkoyzakoyza8521
@dannkoyzakoyza8521 4 года назад
Nakumbuka niko knondoni mkwajuni mafele street na akina sugar, mbetu juma limonga.
@luischoma-ww7db
@luischoma-ww7db Год назад
kula chuma hicho2023 june❤ wazee wetu mlitisha
@mohamedchillo4950
@mohamedchillo4950 8 лет назад
Hii inanikumbusha mbali sana Manzese Midizini tukiganga maisha na wazazi kipindi mimi ni mdogo , acha kabisa unaweza kulia
@afyayakorahayangu1731
@afyayakorahayangu1731 7 лет назад
Maeneo yetu hayo. dah midizini
@gracemagambo6210
@gracemagambo6210 11 месяцев назад
Mi wakati uo nilikuwa kwa shekh kione
@mudrickmbuyu3263
@mudrickmbuyu3263 6 лет назад
Nakumbuka kitambo sana katika ukumbi wa Vijana Hostel VIJANA DAY kila SUNDAY
@sangomamourice3251
@sangomamourice3251 5 лет назад
music ndio kitu pekee kinachoturudisha pamoja asante
@erickwambia2653
@erickwambia2653 10 лет назад
Big hit .nimeitafuta siku nyingi tu.best of Vijana jazz.thanks man for uploading
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 года назад
Hemedi Maneti Chiriku ni moto wa kuotea mbali. Ilibidi kushusha Zima moto kuponea chupuchupu. Dr ogeto International
@abdulazizmohamed2805
@abdulazizmohamed2805 2 года назад
Naomba mungu siku moja nikutane nao, wote, kuwa naomba. Namba za simu,
@mbungembunge9865
@mbungembunge9865 4 месяца назад
Jer Nashon,seleman mbwe mbwe,hemed manet wameshachukuliwa na muumba ,kidev wa kinanda kafarik mwaka huu januar
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 года назад
Hatari kubwa! Kusahau sura yake siku ya harusi. Siamini kamwe, labda mambo ya kababa!! Dr. Ogeto International
@jamirambwana6309
@jamirambwana6309 Год назад
Jamani izi nyimbo ndio basi tena Raha imekwisha zimebaki karaha Tu nyimbo zisizoeleweka Mimi siku zote siwezi kuimba nyimbo za sasa
@mussabakili1641
@mussabakili1641 Год назад
Wananikumbusha enzi ya Dunia ilikuwa tulivu, imani ya watu, heshima na mengineyo mazuri
@MashavuDonatus
@MashavuDonatus Месяц назад
Vijana jaz Bujumbura
@mariamlyanga6822
@mariamlyanga6822 4 года назад
Wimbo huu pia unanikumbusha marehemu Shaaban Yohana Wanted ,Jerry Nashon ,Suleiman Mbwembe na wengine wengi ilikuwa hatari sana
@nickykyumana3774
@nickykyumana3774 Год назад
Bila shaka tutakutana Mbinguni!
@benedictadamson1794
@benedictadamson1794 7 лет назад
Hivi Leo Dunia inaelekea wapi, namaana vijana hawasikilizi hata nyimbo za kuelimisha kama hizi!?
@amonijustini119
@amonijustini119 6 лет назад
Benedict Adamson /siku hizi vijana hawana tafsida (lugha ya picha) kila kitu wanaanika had I ikisikiliza unaona aibu!
@kakaokitomari9148
@kakaokitomari9148 5 лет назад
Nakumbuka mbali sana miaka ile makwizi kwakweli kwa sasa amna miziki tena
@mudrickmbuyu3263
@mudrickmbuyu3263 6 лет назад
Upigwapo wimbo huo nawakumbuka sana marafiki zangu tuliokuwa tunatoka KARIAKOO, JANGWANI SAID, MWINYI KHAMIS, NASIIB, MASIGA hawa wote kipindi hicho tupo Young Kids chini ya kocha Marehemu Kessy Tarzan. Ni KITAMBO SANA
@asiabakari9350
@asiabakari9350 6 лет назад
inanikumbusha enzi uhaii Wa baba yangu aliupenda sana wimbo huu
@Sufa07
@Sufa07 10 лет назад
R.I.P Jerry Nashon, Asante Power Nguzo kwa hii good memory
@markhabweotukho7416
@markhabweotukho7416 9 лет назад
When Music was music. I miss those days.
@winstonmassam7411
@winstonmassam7411 5 лет назад
Sure bro. Maisha yamebadilika sana.
@gillianemmanuel7839
@gillianemmanuel7839 8 лет назад
Taratibu na Kazi zinakwenda,nakumbuka mbali sana.
@kelvinrashmarwa7357
@kelvinrashmarwa7357 6 лет назад
Nakumbuka mbali enzi hizo vyuma vilikuwa vimekaza sana sio sasa Rtd hasa kipindi cha salam kwa wagonjwa
@richardmpunza2344
@richardmpunza2344 9 лет назад
Nimeipenda, vijana Jazz wananikumbusha ujanani
@shabanibumbo9349
@shabanibumbo9349 8 лет назад
Nakumbuka sana yaani wewe. acha tu. mziki wa zamani unamafundisho makubwa sana.
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 3 года назад
Hivi nashon na eddy sheggy waliwahi kuimba band moja kwa pamoja. Si balaa hilo. !?? Vipaji adimuv sana
@jafaripaje5366
@jafaripaje5366 2 года назад
Yeah waliiba Julie utafute hautajuta
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 2 года назад
Asante nilienda kutafuta nimekuta waliimba wimbo wa "wivu" wakiwa vijana jazz.
@gbrothers3103
@gbrothers3103 8 лет назад
Ama kweli kila zama na zama zake,radha halisi ya muziki wa TanzaniA
@nyachimwilongo5449
@nyachimwilongo5449 7 лет назад
Kila zama na wakati wake nakumbuka ni 1990
@TheFaraja
@TheFaraja 2 года назад
Huu ni wimbo ambao uikua ukichezeka kwenye madisko. Ukipita kariakoo kila kibanda cha kaseti kilicheza wimbo huu
@amadisandaku3131
@amadisandaku3131 3 года назад
Vijana kama vijana Old is gold Tunzi muruua sana
@saadmazen4528
@saadmazen4528 10 лет назад
This is the powerful voice of Dudumizi Jerry Nashon Omoro alipokuwa na Vijana Jazz
@ogetaseda1401
@ogetaseda1401 9 лет назад
+Saad Mazen Omolo
@nickykyumana3774
@nickykyumana3774 Год назад
We Acha!
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 Год назад
Asante.nimefurai na kuhudhunika.
@wilsonkasimbi8862
@wilsonkasimbi8862 10 месяцев назад
Nakumbuka wakati huo kipindi ni redio tanzania RTD kuna kipindi kiliitwa kombora asubuhii zilikuwa zikipingwa.
@alexmunibhi9539
@alexmunibhi9539 7 лет назад
So greaty!!
@kisadymohamedi6990
@kisadymohamedi6990 7 лет назад
Hatari sana vijana jazz inanikumbusha mbali sana
@noelmshana9591
@noelmshana9591 7 лет назад
inatukumbusha mbali sana kwanini tv zisiwe na vipindi maalum ht one hour live
@herykauli1004
@herykauli1004 6 лет назад
Nina swali kwa mwenye ufaham. Hivi hii Band ya vijana jazz bado ipo?Na kama ipo huwa wanapiga kumbi gani kwa Dar es Salaam?
@mbungembunge9865
@mbungembunge9865 4 месяца назад
Bendi haipo tena mkuu
@mwambungusivalon5060
@mwambungusivalon5060 6 лет назад
Enzi hizo radio aina National za mjapani na mbili sabasaba dudu proof betri zinatumika zaidi ya miezi miwili we acha tu
@katundumcailla1293
@katundumcailla1293 4 года назад
Drive me crazy...Jerry Nashon hakuwa mtu wa kawaida
@asponmwijage8691
@asponmwijage8691 9 лет назад
RIP Dudumizi. Miziki yake hasa Thereza imenikumbusha wkt nasoma chuo kikuu. Naomba mtu a post wimbo wa Jerry ulikuwa unaitwa joy Joy joy dada Joy joy mie Toto la kimakonde lime......
@omaryalfani137
@omaryalfani137 4 года назад
Wimbo ule unaitwa bint afrika upo kwenye albam ya top qween Joyce mtoto WA kimakonde ni moto sana nazuzuka kwa ndonya na machale yake ya asili
@thomaslali705
@thomaslali705 Год назад
Yasikie tuu yakisimuliwa, ila yasikukute.
@jamirambwana6309
@jamirambwana6309 Год назад
Aziimbiki jamani nyimbo za matusi Tu
@mgombeamgombeaa4643
@mgombeamgombeaa4643 3 года назад
Yakale dhahabu jamani hapa nimekujita Nina furaha.enzi Raha sana
@amonijustini119
@amonijustini119 6 лет назад
Vijana jazz-tereza ulibamba sana. Ahsante Kwa aliyeupost.
@amosngwililamunguibarikita3239
@amosngwililamunguibarikita3239 2 года назад
Maneti mhamed gotgota hii ilisababisha nikaowa jina tereza mziki mtamu
@sitatimunyifwa6535
@sitatimunyifwa6535 9 лет назад
Old is gold.
@saidmwinyi5747
@saidmwinyi5747 5 лет назад
Nyimbo zinanikumbusha mbali sana tereza VIP
@abdulazizmohamed2805
@abdulazizmohamed2805 2 года назад
Mjomba kinanda, muhando,
@abdulazizmohamed2805
@abdulazizmohamed2805 2 года назад
Wajomba zangu nawa kumbuka,. Sana,
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 лет назад
Vijana jazz mlikua vema aiseee
@gabonwashington3032
@gabonwashington3032 6 лет назад
ninomaaaa tereza band yangu namba moja
@amadmunis8610
@amadmunis8610 9 лет назад
Bg up xana? Nawakubali vijana jazz kwa nyimbo zao mahili na zenye ujumbe mzuri?
@rajabuselemanifunke8990
@rajabuselemanifunke8990 3 года назад
Ama kweli unanikunaga pa zaman
@omaryhussein1394
@omaryhussein1394 7 лет назад
akikupa busu la shavu nitakupa la kinywani nakumbuka mbali Sana
@otiipiach72
@otiipiach72 9 лет назад
Nice Music we have
@kelvinrashmarwa7357
@kelvinrashmarwa7357 6 лет назад
Pumzika kwa amani Jerry Nashon Dudumizi
@mgombeamgombeaa4643
@mgombeamgombeaa4643 3 года назад
Wimbo huu umenikumbusha mbali San
@flowila82
@flowila82 10 лет назад
Power nguzo long time
@NICHOLAUSSIMITI-ep2zp
@NICHOLAUSSIMITI-ep2zp Год назад
Ni ukwel kabisa
@deoblandes7833
@deoblandes7833 7 лет назад
Hizi nyimbo zilikua zinatisha
@winstonmassam7411
@winstonmassam7411 5 лет назад
Sana kaka!
@greatiq7835
@greatiq7835 3 года назад
That hurts! 😢😢😢
@khalidvova6601
@khalidvova6601 7 лет назад
nyimbo hunifanya nimkumbuke binti mmoja 1992 shule ya msingi hananasif kinondoni alikuwa anaitwa Irene joseph alikuwa mzuri smati na wanafunzi walimbabakia bila ya mafanikio ama kweli nyimbo ni silaha pekee inayomfanya my arud kwa muda mahali alipotoka!
@afyayakorahayangu1731
@afyayakorahayangu1731 7 лет назад
ulikua hananasif dah umenikumbusha home kitambo sana
@shanawilliam1050
@shanawilliam1050 2 года назад
Hananasif home sweet home
@frbm1729
@frbm1729 2 года назад
Kuna watu hawakutakiwa kuwa mapema aiseeee
@huseintajo8113
@huseintajo8113 2 месяца назад
baada yap edy shegy hamza kalala manet aliisuka upya
@justnebagyemu1587
@justnebagyemu1587 5 лет назад
Naupenda balaa
@mlamanlike_abdul2534
@mlamanlike_abdul2534 4 года назад
OLD IS GOLD
@AmriShabani
@AmriShabani 2 месяца назад
Solo ya Shabani Yohana wanted
@mamdaidullah7042
@mamdaidullah7042 6 лет назад
izi ndio zilikuwa nyimbo ata unaweza kuzisikiliza sio za asaivi za kubana pua
@paulangoloko8642
@paulangoloko8642 2 года назад
Mambo ayo 😃😀😃
@Msalaba
@Msalaba 7 лет назад
aibu umenipa mama..
@zilipendwamsuya1296
@zilipendwamsuya1296 5 лет назад
Nakumbuka tanga bara 13 bado niko primary school hisiakalisana acha tuu
@makamehaji7994
@makamehaji7994 5 лет назад
unanikumbusha vijana jazz band walipiga zanzibar mess polisi tuliachungulia ya miti na rafiki yangu hatuna pesa wadogo wanafunzi pia wanted shebi hongera
@evaristomajaribu2725
@evaristomajaribu2725 5 лет назад
Hapo Manet alishakufa mwaka 1988
@emmanuelpeter2604
@emmanuelpeter2604 8 лет назад
safi sana
@awadhiabduly4236
@awadhiabduly4236 7 лет назад
haaaa
@ramiaabeid8242
@ramiaabeid8242 9 лет назад
mziki wa ukweli
@mpunga40
@mpunga40 4 года назад
Naughty Theresa
@michaelmwambenja2252
@michaelmwambenja2252 9 месяцев назад
Duh
@awadhiabduly4236
@awadhiabduly4236 7 лет назад
saf sana
@hassanmatete7121
@hassanmatete7121 5 лет назад
Japo tunaitwa waenga lakini tuliinjoi sana
@wamupepe120
@wamupepe120 4 года назад
Nipicha ya nani iyo ,shut man ?
@bushupekinya613
@bushupekinya613 7 лет назад
ulikuwa mxiki usiyochuja
@erickwambia2653
@erickwambia2653 10 лет назад
Big hit .nimeitafuta siku nyingi tu.best of Vijana jazz.thanks man for uploading
Далее
Vijana Jazz - Usicheze Na Bahari No  2
10:57
Просмотров 84 тыс.
WIFI ZANGU VJB
9:31
Просмотров 489 тыс.
БЕЛКА РОЖАЕТ?#cat
00:20
Просмотров 307 тыс.
Vijana Jazz - Shoga
10:24
Просмотров 69 тыс.
Sogea Karibu - Juwata Jazz Band
8:48
Просмотров 275 тыс.
Karubandika
7:13
Просмотров 10 тыс.
Vijana Jazz - Mama Chichi
10:23
Просмотров 75 тыс.
Penzi Halina Umaarufu (feat. Vijana Jazz Band)
7:35
Rangi ya Chungwa
9:11
Просмотров 62 тыс.
Mfueni
9:30
Просмотров 44 тыс.
Orchestra Maquis Original - Niweve Pekee
7:00
Просмотров 360 тыс.
Vijana Jazz Band - Maisha Ya Amba
8:37
Просмотров 84 тыс.
Maquis Original - Kiongo
7:51
Просмотров 154 тыс.
БЕЛКА РОЖАЕТ?#cat
00:20
Просмотров 307 тыс.