Sielewi lipi nitakutendea kuridhisha roho Yako badala la changa la aibu mbele ya wenza! Lipi lakuponyesha roho, Dada. Hatari kubwa!! Dr. Ogeto International
Wimbo Tereza unanikumbusha mbali sana wakati huo na maratlfiki zangu tulikuwa tunapenda kwenda vijana na baadhi ya marafiki zangu wametangulia mbelle za haki mungu aendelee kuwalaza mahali pema
Ama hakika ukisikiliza nyimbo hizi kwanza unapata ujumbe ulotulia vizuri poili unapata mipangilio ya vifaa AMBAPO hauwezi kuzima radio mpaka wimbo unapokwisha yaani ni Raha tupu!!
Natamani sana wimbo huu ukapitishwa kwenye mitambo ya kisasa ili iongezwe usikivu mzuri!. Sauti yenye punch ya Jerry Nashon inakata mawimbi barabara sana akipanda na kushuka. Huu ni moja ya wimbo unaweza kunitoa machozi japo nilikuwa mdogo sana enzi hizo!.
Hivi huu wimbo umetoka mwaka gani maana niliusikia kwa mara ya kwanza mwaka 2005 nikiwa darasa la 3 ingahawaje nilikuwa mtoto lakini nilikuwa naupenda sana.
Upigwapo wimbo huo nawakumbuka sana marafiki zangu tuliokuwa tunatoka KARIAKOO, JANGWANI SAID, MWINYI KHAMIS, NASIIB, MASIGA hawa wote kipindi hicho tupo Young Kids chini ya kocha Marehemu Kessy Tarzan. Ni KITAMBO SANA
RIP Dudumizi. Miziki yake hasa Thereza imenikumbusha wkt nasoma chuo kikuu. Naomba mtu a post wimbo wa Jerry ulikuwa unaitwa joy Joy joy dada Joy joy mie Toto la kimakonde lime......
nyimbo hunifanya nimkumbuke binti mmoja 1992 shule ya msingi hananasif kinondoni alikuwa anaitwa Irene joseph alikuwa mzuri smati na wanafunzi walimbabakia bila ya mafanikio ama kweli nyimbo ni silaha pekee inayomfanya my arud kwa muda mahali alipotoka!
unanikumbusha vijana jazz band walipiga zanzibar mess polisi tuliachungulia ya miti na rafiki yangu hatuna pesa wadogo wanafunzi pia wanted shebi hongera