Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) aliwapenda watu wote. Wakati wa harakati zake akiwa na Maswahaba(Wanafunzi) wake alipata kuona Jeneza ambalo lilikuwa na maiti ya Mkristo ndipo akaonesha ishara ya kuhuzunika, moja kati ya Swahaba wake akamuuliza Mtume: kwanini unahuzunika wakati yule ni Mkristo? akamjibu: yule pia ni Binadamu. Na Mtume aliwasilimisha watu kwa upendo,lugha nzuri na bila kulazimisha au kutumia nguvu. ALIWAPENDA WAKRISTO, MAYAHUDI NK.