Тёмный

Viongozi wa Kenya Kwanza wabadili kauli baada ya kukashifu maandamano ya vijana 

Citizen TV Kenya
Подписаться 5 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

Baadhi ya viongozi wa Kenya Kwanza sasa wameonekana kubadili msimamo wao kuhusu vijana wanaofanya maandamano nchini. Kwa kauli moja, viongozi hao ambao hapo awali walikashifu maandamano ya vijana, sasa wanadai kuwa vijana wa Kenya wanastahili kusikizwa. Lakini kama Nimrod Taabu anavyoarifu, viongozi hawa wakiongozwa na Kimani Ichungwa na Aaron Cheruiyot hawakuonekana kubadili msimamo kuhusu mswada tata wa fedha

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 299   
@kelvinmunene9876
@kelvinmunene9876 3 месяца назад
Nabado Nyinyi wote nyumbani direct ,Ruto and his regime must go go go
@diedanoluoch8226
@diedanoluoch8226 3 месяца назад
Please munene let's make it a reality everyone in Kenya deserves better than Ruto
@radicalljinari3863
@radicalljinari3863 3 месяца назад
They must am sick of this idiots
@kelvinmunene9876
@kelvinmunene9876 3 месяца назад
@@diedanoluoch8226 yes sir! That's heard loud and clear Gen s tusikubali kupangiwa future na watu wachache wenye wamewaste this nations resources and telling citizens to live by their means !
@MuxidiinMahat
@MuxidiinMahat 3 месяца назад
Double standard @kimani Ichungwa...mnafiki number one
@wamaithachege4316
@wamaithachege4316 3 месяца назад
Bure kabisa
@eddieoricho4998
@eddieoricho4998 3 месяца назад
Stay focused
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Huyo ni nyoka hafai wanatajirika wakinunua property now wanabadilisha kauli Genz should not accept kabisa this people's should be removed from office
@HarunMbugua-k2e
@HarunMbugua-k2e 3 месяца назад
Kenyans are not against taxation.The Simple language that our political class is not getting is that Kenyans are against over taxation and double taxation.Kenyans don't want to be punished because the previous govt took loans and didn't pay.Dont we have the relevant offices that deals with misuse of public funds or what is the work of Eacc they seem to have evidence of who and how our money was looted.Then they should act.We Kenyans we don't forget they told they have a plan on how to revive the economy without high fuel prices,to save us from fulizas,to borrow loans from inside our country to buy fuel with kshs then what happened in their first budget public participation was nothing to them they used their numbers in parliament.I think it is high time we forget about this so called electing suits in our elections coz they are misusing our political right.
@edwinkipngeno7549
@edwinkipngeno7549 3 месяца назад
Wherever this sheep belong,ichungwa mrudishe huko
@humphreyodhiambo512
@humphreyodhiambo512 3 месяца назад
we cannot listen to this people no matter what they say, REJECT THE FINANCE BILL 2024
@Edagwanathani
@Edagwanathani 3 месяца назад
Wanafiki!.. We're not going to listen to hypocrites. Kwanza wameua vijana wenzetu. We are pouring to the streets full force. Away with Ruto!
@kamche3563
@kamche3563 3 месяца назад
Na bado....HII SERIKALI YA WEZI TUNATOA
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Wanatetea kauli zao sasa ili waendele kuiba na kunyanyasa raia na kuwabebesha madeni
@MaryMmm233-yh3hf
@MaryMmm233-yh3hf 3 месяца назад
Kabisa zakayo lazima ashuke chini asikize raiya
@dennismuhoro5822
@dennismuhoro5822 3 месяца назад
Hii lazima iende
@user-qy1kr4yy9b
@user-qy1kr4yy9b 3 месяца назад
Theives
@annekariuki4734
@annekariuki4734 3 месяца назад
Celebrated by who when most people are dead out of poverty...
@kyalojulius1767
@kyalojulius1767 3 месяца назад
Dont listen to this fake leaders, wenye they have double speech, ata muongee nini mambo yenu hatutaki lazima reject finance bill
@mr.i5310
@mr.i5310 3 месяца назад
Sisi si watoto wenu bana,ma askari wenu wanatuua
@johnbrown3235
@johnbrown3235 3 месяца назад
four days ago, you were calling ichung'wah "the great son of kenya" !! what do you stand for??
@mr.i5310
@mr.i5310 3 месяца назад
@@johnbrown3235 we kwani unanifuata fuata,only a fool doesn't change his mind
@johnbrown3235
@johnbrown3235 3 месяца назад
@@mr.i5310very true... you change your mind every four days...if you keep on like that, you might be left with nothing!! but thanks for your honesty.
@Kibiro-tt6ch
@Kibiro-tt6ch 3 месяца назад
@@johnbrown3235true n vizuli Kuwa na musimamo
@Elibuk
@Elibuk 3 месяца назад
Inner circle of dictator ruto, the youth will take you down
@wabannah9009
@wabannah9009 3 месяца назад
"I am Now a Proud Kenyan"[The Youth have taken over)"!!!.
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Time has come
@KenJuma-tz2hg
@KenJuma-tz2hg 3 месяца назад
Nyinyi tunawatoa kwanza
@ahmedfeleb4877
@ahmedfeleb4877 3 месяца назад
ile stori ya kfc na uber iliendaje 😂😂😂
@annekamau5288
@annekamau5288 3 месяца назад
😂😂ata Mimi na shangaa. Now they are lying without brinking😅😅
@mrpain158
@mrpain158 3 месяца назад
Hizi ni fisi zimeamua kuvalia ngozi ya kondoo.tunawanjua Mr tutatenga.....amewatuma
@doteaorwa9523
@doteaorwa9523 3 месяца назад
GENz don't be threatened by this 204 Mps, this is your future and your children, as a millennium each day I cry for voting wrongly and not heeding Uhuru speech, its time Genz we are at your back and support you fully, RUTO AND REGIME MUST GO ,GO
@1_TOONCH
@1_TOONCH 3 месяца назад
Hawa hatuwezi bargain nao. I hope hii pain itatufikisha 2027.
@montkellskesesi5141
@montkellskesesi5141 3 месяца назад
No bargaining, they have to go home
@erickanyugo3253
@erickanyugo3253 3 месяца назад
Citizen TV badilisha headline: usiseme viongozi wa kenya kwanza, sema mabibi za Ruto.
@martinndagaru1671
@martinndagaru1671 3 месяца назад
🤣🤣🤣🤣
@ladylotus3046
@ladylotus3046 3 месяца назад
😅😅😅😅❤❤❤
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
True wote hao mume wao ni ruto
@MaryMmm233-yh3hf
@MaryMmm233-yh3hf 3 месяца назад
Eeee anakosea sana😂
@RuthWanja-hn7so
@RuthWanja-hn7so 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@rosemarykagwiria2135
@rosemarykagwiria2135 3 месяца назад
Kimani ichungwa bure kabisa
@carolinekasiemeka9848
@carolinekasiemeka9848 3 месяца назад
😂😂😂😂😂Kimani Machungwa.... Heeee kweli uko na ulimi mbili kwa mdomo...
@SharonEmmanueli
@SharonEmmanueli 3 месяца назад
UMEONA
@eddieoricho4998
@eddieoricho4998 3 месяца назад
😂
@miriamwangui1714
@miriamwangui1714 3 месяца назад
😂😂😂😂
@naomiwanjiru5383
@naomiwanjiru5383 3 месяца назад
Kimani ningoma
@florencezawadi3784
@florencezawadi3784 3 месяца назад
Ameshtuka juu ameona nyumbani anaenda bila mmbadala😂hata achange mind vip wembe n ule ule...nyumbani lazima aende....
@AbuuAli-nf4fb
@AbuuAli-nf4fb 3 месяца назад
GZ wasikubali sauti za uongo za viongozi wa UDA
@HESBONLUKHUBI-hm2sp
@HESBONLUKHUBI-hm2sp 3 месяца назад
Ondoa hio kitu mnaita Finance Bill completely
@hotep7942
@hotep7942 3 месяца назад
Why were they allowed to speak?you see how the church has always been in bed with our enemies
@nzyukomuia5527
@nzyukomuia5527 3 месяца назад
Why by the way!
@Allpro007
@Allpro007 3 месяца назад
Check history, the Bible came first for pacification and brutal military power to subjugate and plunder wealth, it is still true today , nothing has changed
@erickithuka6997
@erickithuka6997 3 месяца назад
The devil hides in church
@lakeinrocks
@lakeinrocks 3 месяца назад
These con churches are what we need to boycott. They thrive from our sadaka and hide these criminals. BOYCOTT CHURCHES THAT GIVE THIEVES A MOUTHPIECE
@florencezawadi3784
@florencezawadi3784 3 месяца назад
The same question nlikuwa nauliza mbona kanisa zina wapea nafasi😢wanaudhi...ndio mana mungu anatuadhibu...mbona hawapeleki huo upuzi kwa mosques?juu mapastor n walafi na hawamuheshimu mungu...huezi izi upuzi kwa misikiti n makanisa tuh
@SammyMaina-ru9bl
@SammyMaina-ru9bl 3 месяца назад
Politicians vigeugeu
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 3 месяца назад
Flowers girls. Wa ruto atakavyo sema wanaiga ,jana walisema mengine na leo wana sema tofauti ,shida sikusikizwa shida ni ruto mwenyewe ni disaster.
@juliuscanada
@juliuscanada 3 месяца назад
Vijana lets take votes kwa wingi come 2027 wazeeeeeee wote nimesema ruto regime waende nyumbani kupumzika Vijana its now the time to lead Kenya 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪💪
@jamesmusembi4688
@jamesmusembi4688 3 месяца назад
We will take them to their respective homes...hawa wanatuchezea...Ballot ya 2027 ata tushaawasahau kama nyinyi ni wetu...you deserve to stay at home😂
@scienceguy5259
@scienceguy5259 3 месяца назад
Kimani ichungwa KFC chicken eating,uber riding comment was just gold
@bANana-yf1qm
@bANana-yf1qm 3 месяца назад
These work on orders, hata kuongea they must be told what to say.😂😂
@Edagwanathani
@Edagwanathani 3 месяца назад
And the church must give its stand! Always giving platform to politician liars.. Will you serve GOD or money? Tell us!..
@ladylotus3046
@ladylotus3046 3 месяца назад
Money as usual.
@lynnedarling1135
@lynnedarling1135 3 месяца назад
These are just ruto's puppet..do not trust them
@baloz8974
@baloz8974 3 месяца назад
Exactly ndio waendele kula
@royleongaga4961
@royleongaga4961 3 месяца назад
To be honest all this current mp wote waende home to have this Gene z in power n Kenya will be good country
@AnampiuMarangu
@AnampiuMarangu 3 месяца назад
Politricks! What has changed?
@MULLAMUSICWORLDWIDE
@MULLAMUSICWORLDWIDE 3 месяца назад
Iyo strategy tunaiona tu , Tuesday lazima
@AlexWaiguru
@AlexWaiguru 3 месяца назад
Imani ichungwa unafaa kwenda nyumbani upumzike umeshindwa kazi
@janendegwa5462
@janendegwa5462 3 месяца назад
ichungwa you started story ya mashamba remove taxes on free hold land where do u want us to live
@Zack_the_great_602
@Zack_the_great_602 3 месяца назад
Hii ni siasa too wanatuchezea,,,but deep inside ....they are planning something
@jamesnganga6387
@jamesnganga6387 3 месяца назад
Gen Zs forever👊👊👊👊👊👊👊👊
@jimmymulee7333
@jimmymulee7333 3 месяца назад
no1 is saying we don’t clear debt but means for clearing it is where lies the problem…cut costs aimed at providing a flamboyant life to government officials including the president…then bearable taxes will be sufficient to slowly clear debt and bring forth development..
@IREENKAIRUTHI
@IREENKAIRUTHI 3 месяца назад
Mwendazake Ichungwa
@juliusmuhia1353
@juliusmuhia1353 3 месяца назад
Ichungwa must go
@evansmakori3289
@evansmakori3289 3 месяца назад
They are now playing mind games we ain't kids =, we've got brains and we are seeing what you are doing
@lukucity
@lukucity 3 месяца назад
So everyone is trying to own Gen Z
@jairuscr7310
@jairuscr7310 3 месяца назад
Sawa tuko watulifu but mtajua amjui , kilichotoa kagaga mayowa ,
@zekeb2888
@zekeb2888 3 месяца назад
Corrupt opportunists who have no shame 😂. Little do they know our generation isn’t about any political formation or any specific individual. It’s about getting rid of the corrupt political culture in Kenya in it’s entirety.
@hezronwanjau4802
@hezronwanjau4802 3 месяца назад
Just wait on Tuesday baado
@JulianMwende-d9p
@JulianMwende-d9p 3 месяца назад
Gen Zs bona mlipea Ichungwa ruhusa ya kuongea kanisani?🤔🤔
@Shikushiku654
@Shikushiku654 3 месяца назад
Icungwa wee wishing muno! Mwitio ukaga mbere ya kugwa
@Revolute003
@Revolute003 3 месяца назад
Ichungwa kumamako
@jimmymulee7333
@jimmymulee7333 3 месяца назад
its not like this guys are so interested in not borrowing debts bt truth be told is that it seems the former regimes have piled up the debts to a place where government aren’t eligible to ask 4 extra debts..hence to suffice their personal needs they bring that baggage to common mwananchi than cut down on their huge expenditures to accommodate best interest of the nation…
@SolomonAmere
@SolomonAmere 3 месяца назад
Tusikubali kupakwa ngo'mbe na sakayo,. Reject finance bill
@ibranur94
@ibranur94 3 месяца назад
Asanteni saana vijana wetu ❤
@stanleykimani7328
@stanleykimani7328 3 месяца назад
No turning back!!wake up and smell the coffee
@BroEdwinOfficial
@BroEdwinOfficial 3 месяца назад
But they already voted yes in parliament
@erickjuma7643
@erickjuma7643 3 месяца назад
Nani ni mtoto wa ichungwa hapa?
@josephkenga5627
@josephkenga5627 3 месяца назад
Viongozi waongo, wanasiasa huongea siasa na hii generation haiongei siasa;
@estherndanu8729
@estherndanu8729 3 месяца назад
Finance bill is un negotiable.hii inapita with or without demos.the nation must move forward
@falconinc.
@falconinc. 3 месяца назад
Msichanganywe,youths remain unbowed !!!
@leonardseur3717
@leonardseur3717 3 месяца назад
We go with your 1st words,
@muhamadkenya
@muhamadkenya 3 месяца назад
Unafiki
@BORDERSSAFARISTRAVEL
@BORDERSSAFARISTRAVEL 3 месяца назад
🇰🇪🇰🇪 TUESDAY 🇰🇪🇰🇪 OCCUPY PARLIAMENT RUTO MUST GO # GEN Z 🇰🇪 KENYA 🇰🇪👑👑👑 KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 KENYA
@juliusmuhia1353
@juliusmuhia1353 3 месяца назад
Ichungwa ni mwizi 😢anajifanya mtu mzuri niwizi
@_21.8
@_21.8 3 месяца назад
Wanadhania wakiongea kwa upole tutashuka😂😂😂😂Tuesday nayo mtajua GEN-Z POWER.. Its simple AND clear;nyinyi ndio hamuelewi "ruto must go"..wakati wa vipindi imeisha my friend..
@randomvideos8678
@randomvideos8678 3 месяца назад
KENYA KWISHA
@PaulOpule-bt1lr
@PaulOpule-bt1lr 3 месяца назад
Kimani Gachungwa walk thé talk not sugar coating
@swts4k
@swts4k 3 месяца назад
Manipulative tactics. Msiwaamini hawa waongo. Psychology watu. Maintain focus.
@lusarshameli7057
@lusarshameli7057 3 месяца назад
So basically they are saying the only ways the govt has to raise money are debt or excessive taxation?
@jeffwasike9316
@jeffwasike9316 3 месяца назад
Robots
@gugahmediaafrica9405
@gugahmediaafrica9405 3 месяца назад
GEN Z consist of...mijikenda,luhyas,luos,somalis,arabs,kikuyus,and all
@kakaamo8827
@kakaamo8827 3 месяца назад
Reverse physiology,stay focused
@fredmariita8930
@fredmariita8930 3 месяца назад
My fellow youths please tsisirudi nyuma mbaka ruto aende nyumbani.hawa watu tumewafika koooo
@solomonogutu8145
@solomonogutu8145 3 месяца назад
Ichungwa enda ukule minofu
@janjichibo1041
@janjichibo1041 3 месяца назад
Gen Z tafadhalini toeni hii serikali kwa ofisi hawa ni watu wabaya sana sana
@marvinodhiambo8362
@marvinodhiambo8362 3 месяца назад
Ruto must have told them what to do...
@cyrilologe
@cyrilologe 3 месяца назад
Wasn't he the one who said yesterday na kiburi?
@bramwelavigi1208
@bramwelavigi1208 3 месяца назад
Yaani bado kuna mafala walipea hizi nugu platform surely??? Tunajaribu kufungua makanisa macho lakini bado wanaogopa hawa politicians..The church has failed this nation.....Ugh!!🚮
@djtmselector
@djtmselector 3 месяца назад
Reject finance bill 2024 first then the dialogue will follow
@melvinkanje
@melvinkanje 3 месяца назад
Unafki ndio Umewajaa mkishibisha matumbo yenyu hamna haja na mwananchi wa kawaida Shem on you!!
@elizabethobai63
@elizabethobai63 3 месяца назад
Ni wanafiki tuu
@BIMZYKIMZY
@BIMZYKIMZY 3 месяца назад
Umeolewa n Ruto fala wee
@mutai_evans
@mutai_evans 3 месяца назад
Whatever they said before is still on record.
@robertkaruga7088
@robertkaruga7088 3 месяца назад
Wamalize waende
@IREENKAIRUTHI
@IREENKAIRUTHI 3 месяца назад
Politiciansbwamebebwa akili leo
@jeffwasike9316
@jeffwasike9316 3 месяца назад
Not even worth listening too
@brianmutie1442
@brianmutie1442 3 месяца назад
Finance bill chini kwanza ndio tuongee
@denisyegon2076
@denisyegon2076 3 месяца назад
Gen Z.
@willyngugi5078
@willyngugi5078 3 месяца назад
Attacking while defending at its peak😅😅
@samuelmaina5420
@samuelmaina5420 3 месяца назад
Thank you sirs, but I think opinions don't change that drastically if really one means for truth... Let those words be translated by deeds to amend that bill; We are after deeds that benefit our nation, words can only please the ears, but actions go to the heart. Thank you.
@MargaretIrara-ec9vd
@MargaretIrara-ec9vd 3 месяца назад
Was that the only church to attend in nyahururu. Waachiwe kanisa peke yao
@samuelmaina5420
@samuelmaina5420 3 месяца назад
I only pray this is not just a strategy being employed for the sake of kutuliza wananchi! We seek 'meaningfulness' and 'faithfulness' from your mouths sirs...
@JacksonMutinda-jw5qw
@JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад
Nashagaa kwanini awa demons upewa nafasi kanisani,,ufai kuachia izi viumbe kanasini
@tinasanta9920
@tinasanta9920 3 месяца назад
Hawa ni mikojo tu, wakwende nahuko
@oncharieric9437
@oncharieric9437 3 месяца назад
Conman sinakusanyana pamoja kuadhaa wakenya 😂😂
@ajmwa1982
@ajmwa1982 3 месяца назад
Ruto must go Even if they change the story
@kalonzo2073
@kalonzo2073 3 месяца назад
Na bado 😢😢
@abdab8466
@abdab8466 3 месяца назад
Gzen chukueni Kura election ikija msimamishe vijana
@corneliusselebwa1054
@corneliusselebwa1054 3 месяца назад
😂😂 sio Photoshop tena?
@Nat-wu4kj
@Nat-wu4kj 3 месяца назад
😂😂
@kelvinmunene9876
@kelvinmunene9876 3 месяца назад
Watajua hawajui
@mamasally707
@mamasally707 3 месяца назад
Do not pretend because you are in house of God.kenyans knows you. (Chameleons)
@meshackwarambo9351
@meshackwarambo9351 3 месяца назад
Please our leaders talk to us, make us understand that we are your bosses and make your explanation as simple as possible so that it can be understood. Be our servants.and not our bosses . That's my plea.
@jamohbabayaofamily4879
@jamohbabayaofamily4879 3 месяца назад
Kimani machungwa...wacheni ujinga mnaogopa gen zee
@radicalljinari3863
@radicalljinari3863 3 месяца назад
Very stupid govt sijui ata mnakaa mikutano mkiambiwa nini
@simiondickson8040
@simiondickson8040 3 месяца назад
No more stories we need action to be taken with immediate effect..
@TopgangCulture
@TopgangCulture 3 месяца назад
Still wondering who allowed them to give speech in that congregation..
Далее
| DAY BREAK | The Gachagua Impeachment [Part 1]
26:34
Просмотров 4,8 тыс.
ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?😁​⁠​⁠@osssadchiy
00:20
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 5 млн
"Maandamano lazima ifanyike, punda amechoka! "
3:52
Просмотров 22 тыс.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 8 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 588 тыс.
| DAY BREAK | The Gachagua Impeachment [Part 2]
1:00:08
Просмотров 3,2 тыс.
Maandamano Kenya | Siasa za kanda
29:31
Просмотров 19 тыс.
Young men and women joined demonstrations in Nyeri
4:21