USIKU WA VITASA: Tazama Omary Zungu alivyokutana na moto wa Abdul Kubira katika pambano la tatu la raundi sita na kuchezea kichapo kwa pointi. Kuna wakati Omary Zungu amelamba sakafu… Ilikuwa ni raundi ya ngapi vileeee??
Ni #VitasaNight #NgumiImenyooka ndani ya #UbungoPlaza kuelekea pambano kuu kati ya Tony Rashid vs Sabelo Ngabinyana LIVE #AzamSports1HD
13 сен 2024