Jamani Hawa walio fanya hàya mungu awashughuliki yule Alie sema polisi kijana na kisimu Cha tumpote leo yupo Hulu watu wanapote eemungu tetea inchi ya wahuni na wapenda masilahi yesu ateswa msalabani
Serkali ichunguze sasaivi niwakati wa uchaguzi,yawezekana kabisa aya mambo ya utekaji chadema inausika,inatia mashaka kwanini kiongozi azomewe?tena nawafuasi wa chadema?tena mpaka Raisi anatukanwa,sibule kunajambo apo kunasintofaham serkali iwe makini na ikichama,chamaiki kitaketa machafuko kwenye nchihii.
Masauni umeshindwa wizara hata naibu kubwa kako hata kwenda kwenye msiba ambayo mmeuakisi wenyewe. Msauni na Mama yako mko kumaliza vijana na sasa mnaanza watu wazima. Hamna aibu kudharirisha watu wazima mpaka mnammwagia tindikali. Wewe jangiri kwenda hiyo sehemu kweli kunakitakacho fanyika? Wangekupiga pia na kukutupa huko Tanga kuna misitu mikubwa wakutupe huko huko.