Mungu awabariki watumishi wote mnaolitetea Taifa letu Tanzania.kuliko wanaokaa kimya.wanaokaa kimya maana yake wanakubaliana na Maovu yanayoendelea.Watumishi wa Mungu Pazeni sauti zenu kwa Pamoja dhidi ya Uovu huu mkuu juu ya Taifa.
Kunawachungaji wengine wametulia tuu kana kwamba hawajui kinacho endelea, nawasipo kemea juu ya Tanzanzania hofu iwe juu yao washindwe kabisa kusimama madhabahuni na wasipa5e Cha kunena mbele ya madhabahuni yako wasipo Sema kweli ya bwana
Ukweli hapa tulipo si petu waache Tz imekuwa ya machozi si ya amani ,najiuliza tu hivi Hawa wanaofanya ukatili huu sijui wanawatoto ?au wanandu hivi wanawezaje kunithamini pesa kuliko utu wa mtu hivi wanawezaje juu ya aliyewaumba hao wanaotendwa wanadhani Mungu anawaza nini juu Yao ?
Tanzania 🇹🇿 pameisha changamka! Eh Jehovah Mungu wangu mbone hii ndio ilikuwa nchi ya amani tuliokuwa tumebakiza Africa 🌍? Eh, Tz unaenda wapi? Jehovah Mungu wetu ikumbuke Africa 🌍
Hawa watumishi ukiwatafakari unaweza usione haja hata ya kwenda kanisan,kama gwajima aliyekuwa mtu wa haki kweli kweli unaweza ukajiuliza kama yuko hai au alishafariki au yanayoendelea hayajui wala hayasikii???
ANAANDAA NONDO.JIPE MOYO. SUBIRI ANAJUA YOOTE YANAYOENDELEA. TULIOMBEE TAIFA LETU TU NA VIONGOZI WETU ROHO WA MUNGU AWAGUSE WAJUTIE MATENDO YASIYOMPENDEZA MUNGU. MUNGU TUSAIDIE TAIFA LAKO.
Hiyo imefika wengi hujua kuwa akiuwa Anatubu , Nawambieni ukiuwa KWA mksudi nawe utakufa Hakuna Toba KWA Muaji , Msidanganywe na manabii WA uongo kuwa kunatoba KWA Muuaji