Live On Live JK International Airport,Muimbaji Wa Muziki Wa Injili Kutoka 254 Nchini Kenya @evelynwanjiru_a amewasili Jijini D’salaam Kuungana na Mtumishi Wa Mungu @boazdanken_worship_minister Katika Ibada Ya “REVEALING JESUS THE MESSIAH LIVE RECORDING “ Itakayofanyika Kesho Tarehe 23 Aug 2024,Pale Viwanja Vya Chuo Cha Ardhi Barabara Ya Kwenda Makongo,Kuanzia Saa Moja Usiku.
Follow @paziatv @johnpazia Kupata Updates mbalimbali Kuhusu Ibada Hii .
16 сен 2024