من كان يؤمن بالله واليوم الآخر فليقل خيراً أو اليصمت msitukanane ikhwaan maana yote yalosemwa ni haq tupu sasa shida ni nn na Allah amfadhwilishe hafidhwahullahu
Waambie baba,matapeli hawa wanatuchafulia dini kwa njaa zao. Usiposema wewe na masheikh wengine wakweli,matapeli wataendelea na utapeli wao na mwisho jamii yote itapotea.Allah akuhifadhi sheikh wetu
Uislamu sio dini ya kufata viongozi wa dini, kiongozi akikosea ataambiwa atoe dalili, na ndio maana kishkish anatoa dalili za kukanusha madai yasio ya kweli, hakuna kupiga makofi na kupongeza huku, huku hakuna manabii, nabii wa mwisho ashakufa huku
Lugha ya kiarabu, waafrika acheni kufuata hizi dini zimeletwa, ukristo umeletwa na wazungu na uislam umeletwa na taarabu. Hizi dini tunazifuata lakini hatuna asili nazo