Rais Samia Suluhu amesema Serikali ya Awamu ya Sita haitavumilia vitendo vyovyote vitakavyoleta machafuko nchini na kuwa matukio ya mauaji kama ya aliyekuwa Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA, Ally Kibao hayakubaliki na ndio maana Serikali imetaka uchunguzi wa haraka ufanyike ili kuwabaini wahusika.
Watu watatu wameuawa na watu wasiojulikana katika nyumba moja eneo la Nala Jijini Dodoma huku wawili wakichomwa moto katika chumba walichokuwa wamelala na mama kujeruhiwa kwa kupingwa na kitu kizito.
8 окт 2024