Wanawake ndio walitusababishia dhiki na taabu zote sisi wanaume katika huu ulimwengu nashangaa bado munawaamini?wapeni heshima zao ila musiwaamini kamwe.
It’s desperation, just like hospitals are giving advice to save lives, this narrative can critic and end with an idea of getting out of a hopeless situation.
jamani watu tuache tamaa za pesa bila kufikilia na huyo mke nae ana akili kama za mumewe huyo mzungu una uhakika kweli ana mapenzi ya kweli na wewe ufike huko akugeuzie kibao
Mwanamke ana akili nyingi sana.. Coz alifundishwa jamaa Hana mapenzi nab anathamini pesa kuliko mke n ndoa... Mama akajiongeza akaamua aende kwa atakayempenda kwa dhati.... Sasa just emagine mume anakuaga!? hii ina maana hakuna mapenzi hapo.....