Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Shida sio kuwinda wala shida sio kibali, kilichowapa hasira watanzaniaa wengi ni uhuru waliopewa hawa jamaa its seems like ni kama umezidi mipaka,,,,inaumiza kwakweli hata kama viongozi wetu wamekula kitu kutoka kwao ila sisi watanzaniaa tunao view uko mtandaoni tuna umia kwasabab uhuru kama huo, huwezi kuupata nchini mwao hata kama una kibali, hawa watu wana thamini sana vitu vyao,,, Tanzania ifikie hatua ibadilike!😢
Wanaowatishia wazungu uhai ni wapumbavu wakubwa. Badala ya kushughulika na hao wazungu wangeshughulika na watoa kibali ambao wameshalisemea hilo suala. Huu utakuwa ni ubaguzi tu unawasumbua hao jamaa.
Tatizo ni viongozi kutaka kujilimbikizia mali ,ukitizama rasilimali zote lakini huduma za Shule mbaya Hospitali na maisha duni kwa Watanzania ni viongozi tu ndio wanamaisha bora.
Hapa ndiyo nnapo shangazwa na Viongozi wa Kiafrica,Mzawa akiua hata Swala anafungulia mashtaka ya kufungwa Miaka 22 ila Wakuja akiua Tembo,Simba,Chui au Kifaru hautasikia kafunguliwa Mashtaka Shame on you all Leaders of Africa who protects Whitemen and Oppressed their natives people
Kwani simpaka akauwa uyo mamba SI serikal inajua msimshambulie viongoz ndio sababu wqnge mkataza asinge fanya hii ndio Africa yetu viongoz ndio wa hovyo
Sura yake inaonyesha tuuu kuwa ni mkatiri sana na inawezekana ametoka familia ya kichawi huko marekani...maana anavyoongea kwa jeuri...hawa ni majangiri kama majangiri wengine tuuu...kick them out from Africa...usije ukakuta hata hicho chakula wanawawekea dawa watoto zetu waje kuwa mashoga bila kutarajia...who knows labda wametumwa...kuwinda ni kama wanajificha kwenye kivuli.
Tatizo ni watu tulionao kwenye nafasi za kiutendaji . Wanakosa jicho sahihi la kuona Dunia inaelekia wapi na weledi hawana. Tunashindwa kusogea kwa sababu ya ubutu wa utendaji katika ofisi zetu . Nivema kuangalia nani yuko wapi na kafikaje hapo alipo? 😢
@@YUSUPHHUGUGU-vh9rxhuo uislam umeletewa sio dini yako jifunzeni kusoma ili mjue historia yenu nyie Waafrica na msipotambua mlipotoka kamwe hautojitambua unapoelekea.
@@YUSUPHHUGUGU-vh9rx ni dini ya mwarabu hiyo na Ngozi zingine wana dini zao wahindi wana dini yao waasia wana dini yao nyie kudandia dini za watu wengine
@@kiatu sasa wao kuja Tanzania na kuwinda tatzo liko wapi, mbona wapo watanzania kibao wanalipia vibali na kuwinda?, kuwinda sio haramu kama una kibali, swala LA wao kusaidia kaya masikini kwa chakula pia sio jambo baya mana kama wew unakula na kushiba wapo ambao hata mlo mmoja kwa SKU ni shida, tuache chuki zakijinga
@@mosesnyelo1380 ukiona jambo halijawafurahisha wengi jua kuna kitu hakipo sawa. Comments nyingi haziungi mkono jambo hili. Hii ni expression ya kutoridhishwa na sheria inayoruhusu hayo mambo, in that sense you are right. Ila handout za vyakula zinaliaibisha taifa kuanzia ngazi za serkali za mitaa hadi rais.
Kunamzungu anakuja africa kufanya kitu bila ya kua na Mifaidi achen Upuuz 😂😂😂et kulisha chakula pumbavu shame on them guys wazungu washenz hautowajua kama haujaish nao
Hapa namkumbuka MAGUFULI wangu akisema HAKUNA CHABURE hata iweje kwa hio watanzania mmeshindwa kuwanunulia penseli, watoto wenu yeye ameweza halafu mnata mumlipeje Mnamuonea tu Bure.
Mbona mimi ni mtanzania afu sina hasira. Nasisi tujifunze kuwinda na ndio maana tunashindwa kuua hata nyoka. acha tusiende mbali mamba wa nini sasa tz zaidi ya kutumia uchawi tu. naomba mkaue na wengine kama wapo
Wenyewe wazungu wanasema Viongozi wa Afrika ndio wanaiuza Afrika kwao 😢 ni sawa kusema mteja akija ukikata hawezi kukulazimisha .Lakini akija ukimpa kiti na kukubali inamaana umeuza utu wako.Tunajikomoa wenyewe kwa tamaa na ubinafsi
Ndugu yangu ukitaka kujua sisi waafrika ni wabinafsi na tunatamaa hatutosheki .Kiongozi anakaa miaka kumi madarakani analipwa mshahara na hata akitoka madarakani ataendelea kulipwa na kutibiwa yeye na familia yake ,kabla ya hapo alikuwa pia na mishahara mizuri tayari alikuwa na nyumba na mali kedekede ati akistaafu anajengewa na fedha za watanzania Jumba la kifahari hapo ukizingatia familia yake pia wanajiweza na kwa kukosa utu ubinaadamu hofu aibu huruma ati wao wanaona ni sawa kweli ni sawa jamani?Wakati kuna watumishi wa Serekali wamestaafu kulingana na mishahara mibovu hata pakulala hawana, Wazee ,yatima lakini kwa ubinafsi wanapokea kwa shangwe unataka kuniambia sisi wa Afrika tuna utu na ubinaadamu hatuna hata chembe.Nchi zilizoendelea viongozi wao ni tofauti kabisa sidhani kama hujengewa mahekalu wakistaafu na wakati walikua wakipewa mshahara .
Mm nashangaa sana yani watu from no where wanakuja kwetu tena kuuwa wanyama ambao hawana hatia hii mm binafsi sijapenda kweli huo ni ujangili wachukuliwe hatua hii nchi ni ya amani mambo ya kuua ua huku kwetu hatutaki waende kwao huko😳
Hapana kuna utaratibu nenda Wizara ya Mali asili wakueleze hii kitu sasa hivi haina mvuto enzi ya miaka 90- 201.., Msimu ulikuwa unaanza 30 June na kuisha December 31 ajira kibao huko makambini tip wanapewa hao wafanyakazi mtu akitoka porini ana fedha ya kula miezi yake mitano maana kule chakula na matumizi ni ya juu.mwenye kambi , ajira: Madereva, Wapishi, madobi, waiters, house keepers, proffesional hunters hawa wana leseni za uwindaji wamesomea kabisa , walinzi, wamasia kibao walikuwa wana pata ajira kwa ajili ya kuchuna ngozi wa wanyama waliowinda bila kuharibu, inakaushwa na chumvi ngozi inawekewa dawa isitoe wadudu , clearing na forwarding kusafirisha hizo nyara baada ya kulipia vibali vyote vya serikali watu wa sokoni vikapu na vikapu vya chakula mboga , matunda wauza samaki fresh soda, maji, pombe , diseli ya kuendesha generators , mafundi mechanics , ni vitu vingi vya kueleza ! Watu wenye makampuni ya ndege binafsi walikuwa wanafanya safari za kupeleka hao wawindaji kwenye makambi kulikuwa na viwanja vya kutua hizo ndege ndogo
Nitabaki kukandamiza kua Tanzania hakun kiongoz yeyote Ni ujinga mtupu naandika hay kwa maumiv San maan kuna mam masikini kule mbeya juzi tu alihukumiwa kifungo jela miaka22 kwa kuuza nyama kweny ndoo ten nyama pori spati picha km masikini wa kitanzania angeua mamba aise nchi imekaliwa hii
Nkumbuka majuz tu apa kunamama alikututwa na vipande vya nyama ya swqla kahukumiwa miaka22 ila hawa kenge tunaambiwa na wawindaji wanakibali yan inasikitisha sana😢
Hawa watu tusiwaamini asilimia mia moja kwamba wanaipenda africa vitu vibaya kama hivyo vya kuuwa mali asili zetu kama huyo mamba wetu. siku zinakuja watajifunza shabaha pia kwenye miili yetu .Huyo mamba alikuwa ni historia kubwa kwa nchi yetu na Afrika hebu tujiulize sisi tunaojitambua nchi yetu imepata faida gani? kiumbe huyo kuwawa ambaye ni historia kwetu na Afrka .Huyo mamba wakati wa uhai wake angehifadhiwa kwenye zoo nchi yetu ingeingiza fedha nyingi za kigeni.Lakini hiyo si shangai sana kwasababu Africa ndio maabara ya kila kitu kwa kigezo eti wanaipenda.Mungu iokoe Afrika.
Hawa wameua tena mamba mkubwaaa VIP KUHUSU YULE MAMA WA WA VIPANDE VYA SWALAA leoo wazungu mnaona faharii kisa hiyo misaa ya chakula mnajua nini wanachoooooo
Lazima watoe msaada kwani huyo mamba wakienda kumuza wanapata Mabilion ya ela kiatu cha ngozi ya mamba yenyewe ni mamilioni ya hela hakuna mzungu anaye toa msaada wa bure ..wanapiga hela ya kufa mtu hao..wasitu chore..na hawo awafanyagi kitu kwa hasara .huo msaada wanao sema ni thelusi moja tu yawanacho kipata ..
Wafunguliwe mashitaka serikali hawalioni hili au so mgeni akiuwa mnyama ni sawa lakini mwenyeji anafungwa na kutangazwa kwenye vyombo vya habari hii c sawa serikali ifanye kitu abeg
Mbona hi sioni Cha kushangaa,,, kwasababu hichi Ni kitengo Cha uwindaji na kimeruhusiwa kisheria na wanalipa pesa kuwinda wanyama,, na Ni wanyama mamilioni wameshawindwa hapa nchini kwetu kihalali,, hata huyo mamba Nani angemjua isipokuwa amepostiwa,,, Ni ilimbukeni kutokujuwa wameruhusiwa kisheria,,, wapo wengi wamewindwa ila kwa vile hawajapostiwa ,,, huyo mamba angezeeka angekufa heri awindwe nchi iingize mapato,,
Tusilaumu wazungu bali serikali maana mpka mtu anakuja kuuwa mnyama mkubwa kama huyu nchini kwako ,bc umeruhusu ,huruma kwa wale ambao mifugo ikiingia porni wanafilisiwa pleeni sana
Ngoja mbongo akutwe tu na vipande viwili vya nyama ya swala atavaliwa njuga huyo atapewa faini million 22 na kifungo miaka 22 wakat watu wanatia watu chupa za makalio kesi zinafutwa ukiuliza mbunge na huyu mzungu wananch masikini hawana pakusemea hao nao hakuna litakalo endelea tupo hapa tunaupigwa mwingi. Smh!.😂😂😂😂😂😂
Ashukuru TU ungelifanya Hili WAKATI uliopita WA MWAMBA na wewe ungeuliwa kama huyu mamba SHUKURU TU MWAMBA kapumzika huko chato LAKINI oooooooooo UNGETUAMBIA MTEMA KUNI ALIONA NINI
Apa mm siherew wanatufanya misukule serikali yetu ingalie ikituuu wanajeshi tunao simngetuma waka muhuwe mamba lakini ukubwa wake ni kivutio sisi ni Tanzania misukule aseee
If i may ask. Kuuwa wanyama ukiwajuta maeneo kwao. Sio kosa kana kwamba Selekari iwachukukiye hatua. Mbona kwao hata ukiuwa ndege hata bila kutalajiya unaweza fungwa. Ni kwa njia gani sasa hawa wazungu wanakuja Africa na kuuwa uwa wanyama hovyo. Wamepewa ruhsa na selekari ama nini. Kwa sababu kwao najuwa vizuri hawawezi fanya hivo. Naomba jibu bwana #Simulizi na Sauti.
😂 wakulaumiwa ni mamlaka husika ilowaruhusu kufanya hivyo mnapowalaumu hao mnawakosea sana maana wao hufanya hivyo for fun lakini pia ulaya na marekani legal hunting inaruhusiwa 😊